Jk awatosa Lowassa, Sitta, Membe
RAIS Jakaya Kikwete, ameamua kuwatosa kiana baadhi ya makada wenzake wazee wanaonyesha nia kutaka kuwania urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwakani, Tanzania Daima limebaini. Alisema vijana ndiyo chachu ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-0ZWkoqMozcI/VI2G4UlV_PI/AAAAAAAG3JU/pm6TFZtyiDE/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Ukawa watikisa kwa Wasira, Sitta, Membe
![](http://4.bp.blogspot.com/-0ZWkoqMozcI/VI2G4UlV_PI/AAAAAAAG3JU/pm6TFZtyiDE/s640/unnamed%2B(27).jpg)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetamba kutwaa vijiji na vitongoji wanavyotoka mawaziri, akiwamo Stephen Wassira (Ofisi ya Rais-Mahusiano na Uratibu);Samuel Sitta (Ushirikiano wa Afrika Mashariki) na Bernard Membe (Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa), katika matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa, yaliyotangazwa jana.
Maeneo mengine, ambayo Chadema wametamba kuyatwaa na kuwa chini ya himaya yao, ni anakotoka Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe; Naibu Waziri wa...
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Lowassa ambeba Sitta
MWEZI mmoja baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, kuwabeza maaskofu nchini, akisema kuwa baadhi ya nyaraka zao kwa waumini kuhusu mwenendo wa Bunge hilo hazikuwa...
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Sitta amemsikia Lowassa?
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa amewaangukia maaskofu wa Kanisa Katoliki, akiwaomba wasamehe sintofahamu iliyojitokeza kati ya Serikali na viongozi wa dini wakati wa Bunge Maalum la Katiba. Kauli ya Lowassa...
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Lowassa, Membe yametimia
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Sitta ataka mdahalo na Lowassa
9 years ago
Habarileo31 Aug
Sitta ataka akutanishwe na Lowassa
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Mbunge wa Urambo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta ametaka uandaliwe mdahalo kwenye vyombo vya habari kati yake na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa uelezwe ukweli juu ya ukweli wa sakata la Richmond.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiI9X3*RMNbmXOCCe5spK6-mfxcfSQdnf1KRX46MpBD3j*d5bogydkXsaA8ZWxkNw4pyGoQEbLGd14SQ-Midx53j/frontpage.gif?width=650)
LOWASSA VS MEMBE NANI MBABE?
10 years ago
Mwananchi23 May
Lowassa, Membe huru urais
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Lowassa, Membe waitesa CCM