Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa ambeba Sitta

MWEZI mmoja baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, kuwabeza maaskofu nchini, akisema kuwa baadhi ya nyaraka zao kwa waumini kuhusu mwenendo wa Bunge hilo hazikuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Sitta amemsikia Lowassa?

WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa amewaangukia maaskofu wa Kanisa Katoliki, akiwaomba wasamehe sintofahamu iliyojitokeza kati ya Serikali na viongozi wa dini wakati wa Bunge Maalum la Katiba. Kauli ya Lowassa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jk awatosa Lowassa, Sitta, Membe

RAIS Jakaya Kikwete, ameamua kuwatosa kiana baadhi ya makada wenzake wazee wanaonyesha nia kutaka kuwania urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwakani, Tanzania Daima limebaini. Alisema vijana ndiyo chachu ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Sitta ataka mdahalo na Lowassa

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Samuel Sitta amesema anataka mdahalo katika vyombo vyote vya habari na mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa ili kuwaeleza wananchi ukweli juu ya kuhusika kwake na kashfa ya Richmond.

 

9 years ago

Habarileo

Sitta ataka akutanishwe na Lowassa

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Mbunge wa Urambo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta ametaka uandaliwe mdahalo kwenye vyombo vya habari kati yake na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa uelezwe ukweli juu ya ukweli wa sakata la Richmond.

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa, Sitta waanza kwa mbwembwe

Mwanza/Dodoma/Dar. Makada wanaoomba kupitishwa na CCM kuwania urais jana walianza kusaka wadhamini kwa staili ya aina yake baada ya Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta kuibuka na basi la kifahari atakalotumia kuzunguka mikoani, huku Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa akitua Mwanza kwa ndege.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Samwel Sitta Ataka Akutanishwe na Lowassa Katika Mdahalo Ili Aanike Ukweli wa Richmond

Monday, August 31, 2015 MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Mbunge wa Urambo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta ametaka uandaliwe mdahalo kwenye vyombo vya habari kati yake na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa […]

The post Samwel Sitta Ataka Akutanishwe na Lowassa Katika Mdahalo Ili Aanike Ukweli wa Richmond appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”


HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO Hamfrey Polepole na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa wamekabana kwa hoja kali kuhusu uamuzi wa Chadema na Ukawa kwa ujumla kumpokea Edward Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea Urais.Polepole na Msigwa walikutana jana katika kipindi cha ‘Mada Moto’ kinachorushwa na kituo cha runinga cha Chanel Ten kujadili mada iliyotajwa kama ‘Lowassa Ndani ya CCM’.Polepole alionesha msimamo wake wa kumkataa Edward Lowassa kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani