Lowassa ambeba Sitta
MWEZI mmoja baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, kuwabeza maaskofu nchini, akisema kuwa baadhi ya nyaraka zao kwa waumini kuhusu mwenendo wa Bunge hilo hazikuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Sitta amemsikia Lowassa?
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa amewaangukia maaskofu wa Kanisa Katoliki, akiwaomba wasamehe sintofahamu iliyojitokeza kati ya Serikali na viongozi wa dini wakati wa Bunge Maalum la Katiba. Kauli ya Lowassa...
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Jk awatosa Lowassa, Sitta, Membe
RAIS Jakaya Kikwete, ameamua kuwatosa kiana baadhi ya makada wenzake wazee wanaonyesha nia kutaka kuwania urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwakani, Tanzania Daima limebaini. Alisema vijana ndiyo chachu ya...
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Sitta ataka mdahalo na Lowassa
9 years ago
Habarileo31 Aug
Sitta ataka akutanishwe na Lowassa
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Mbunge wa Urambo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta ametaka uandaliwe mdahalo kwenye vyombo vya habari kati yake na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa uelezwe ukweli juu ya ukweli wa sakata la Richmond.
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Lowassa, Sitta waanza kwa mbwembwe
9 years ago
Mzalendo Zanzibar31 Aug
Samwel Sitta Ataka Akutanishwe na Lowassa Katika Mdahalo Ili Aanike Ukweli wa Richmond
Monday, August 31, 2015 MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Mbunge wa Urambo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta ametaka uandaliwe mdahalo kwenye vyombo vya habari kati yake na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa […]
The post Samwel Sitta Ataka Akutanishwe na Lowassa Katika Mdahalo Ili Aanike Ukweli wa Richmond appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo12 Aug
Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/polepole.jpg?resize=702%2C702)
HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO
![](http://i2.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Msigwa.jpg?resize=595%2C300)