Lowassa, Sitta waanza kwa mbwembwe
Mwanza/Dodoma/Dar. Makada wanaoomba kupitishwa na CCM kuwania urais jana walianza kusaka wadhamini kwa staili ya aina yake baada ya Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta kuibuka na basi la kifahari atakalotumia kuzunguka mikoani, huku Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa akitua Mwanza kwa ndege.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Lowassa ambeba Sitta
MWEZI mmoja baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, kuwabeza maaskofu nchini, akisema kuwa baadhi ya nyaraka zao kwa waumini kuhusu mwenendo wa Bunge hilo hazikuwa...
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Sitta amemsikia Lowassa?
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa amewaangukia maaskofu wa Kanisa Katoliki, akiwaomba wasamehe sintofahamu iliyojitokeza kati ya Serikali na viongozi wa dini wakati wa Bunge Maalum la Katiba. Kauli ya Lowassa...
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Sitta ataka mdahalo na Lowassa
9 years ago
Habarileo31 Aug
Sitta ataka akutanishwe na Lowassa
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Mbunge wa Urambo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta ametaka uandaliwe mdahalo kwenye vyombo vya habari kati yake na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa uelezwe ukweli juu ya ukweli wa sakata la Richmond.
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Jk awatosa Lowassa, Sitta, Membe
RAIS Jakaya Kikwete, ameamua kuwatosa kiana baadhi ya makada wenzake wazee wanaonyesha nia kutaka kuwania urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwakani, Tanzania Daima limebaini. Alisema vijana ndiyo chachu ya...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
URA yaichapa Simba kwa mbwembwe
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Mdee atoka jela kwa mbwembwe
HATIMAYE Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake nane wametoka gerezani baada ya kukamilisha masharti ya dhamana. Juzi Mdee na...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
CHADEMA wazindua kampeni Sombetini kwa mbwembwe
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimezindua kampeni zake za udiwani kwenye Kata ya Sombetini jijini hapa kwa kulitaka Jeshi la Polisi kutimiza wajibu wao wa kulinda usalama wa raia...
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Chadema wapokewa kwa mbwembwe za kipekee Mbeya