Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA wazindua kampeni Sombetini kwa mbwembwe

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimezindua kampeni zake za udiwani kwenye Kata ya Sombetini jijini hapa kwa kulitaka Jeshi la Polisi kutimiza wajibu wao wa kulinda usalama wa raia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Chadema Kawe, Ilala, Ukonga wazindua kampeni

Wabunge wanaowania majimbo ya Kawe, Ukonga na Ilala kwa chama cha Chadema, wamezindua kampeni zao jana, huku wagombea wakijinasibu kwa ahadi mbalimbali.

 

11 years ago

Michuzi

CHADEMA WAZINDUA RASMI KAMPENI ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KALENGA


makumbusho_a0aac.jpg Viongozi na wanachama wa CHADEMA wakielekea kwenye makumbusho ya Chifu mkwawa kabla ya kuanza kampeni hizo mvua_6aa63.jpg Hapa wakitoka kwenye Makumbusho ya Chifu Mkwawa huku hali ya hewa ikiwa ni ya ubishi kutokana na mvua kubwa kunyesha kumnadii_f8eb3.jpg Mgombea wa Ubunge kupitia chama cha CHADEMA akinadiwa na Katibu mkuu wa chama hicho Dr. W. Slaa wakati wa kampeni hizo zilizoanza hii leo katika jimbo la Kalenga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lema, Nassari kuzindua kampeni Sombetini

WABUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha, Godbless Lema na Joshua Nassari, wanatarajia kuzindua kampeni za udiwani Kata ya Sombetini, kesho. Akizungumza na Tanzania Daima jana, mgombea...

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema wapokewa kwa mbwembwe za kipekee Mbeya

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Wilbroad Slaa na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) jana walipokewa kwa mbwembwe na umati wa wafuasi wa chama hicho waliovalia sare za chama hicho huku wakiwa na mabango.

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani Tanzania wazindua kampeni

Mgombea urais wa Muungano wa upinzani unaoitwa UKAWA nchini Tanzania Edward Lowassa leo amezindua kampeni za kugombea urais wa nchi hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

Ukawa Morogoro wazindua kampeni

VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) Jimbo la Morogoro Mjini vimezindua kampeni zao kwa kumnadi mgombea wa ubunge kupitia Chadema, Marcossy Albanie pamoja na wagombea wa udiwani kwa kata 29.

 

10 years ago

Habarileo

NBC wazindua kampeni wateja kushinda gari

BENKI ya NBC imezindua kampeni inawowapa wateja wa benki hiyo nafasi ya kuweka akiba na kujishindia gari aina ya Nissan Double Cabin Pick up.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani