Mdee atoka jela kwa mbwembwe
HATIMAYE Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake nane wametoka gerezani baada ya kukamilisha masharti ya dhamana. Juzi Mdee na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Mar
BONDIA FRANCIS CHEKA ATOKA JELA SASA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE
![](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2013/05/Francis-Cheka.jpg)
Mahakama Mkoani Morogoro imembadilishia kifungo bondia Francis Cheka cha miaka mitatu ndani na sasa bondia huyo atatumikia kifungo cha nje.
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Chid Benz atoka kwa dhamana
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Lowassa, Sitta waanza kwa mbwembwe
10 years ago
Mwananchi13 Sep
URA yaichapa Simba kwa mbwembwe
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Gwajima atoka hospitali, aachiwa kwa dhamana
9 years ago
Mtanzania04 Sep
Sunday Oliseh atoka kapa kwa Mkwasa
NA BADI MCHOLO, DAR ES SALAAM
KOCHA wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, anawaumiza vichwa wapinzani wake, timu ya Nigeria ‘Super Eagles’ baada ya kupata ugumu wa kushindwa kuelewa falsafa ya kocha huyo mzawa, badala yake wamebaki kutumia muda mwingi kuangalia video za michezo ya zamani.
Kocha wa Nigeria, Sunday Oliseh, licha ya kuwa katika nafasi nzuri ya pili katika kundi G linaloundwa na timu za Misri, Chad na Taifa Stars, amekuwa akikesha kuangalia video za Stars na...
10 years ago
CloudsFM18 Dec
DIAMOND APOKELEWA KWA MBWEMBWE UGANDA JANA
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari' au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Uganda jana.
Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady wakiondoka Uwanja wa Ndege wa ndege jana.
Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady kwenye pozi.
Diamond Platnumz na Zari wakipigwa picha na wanahabari.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-d8iTaIMDbx4/VKEP8S3BlFI/AAAAAAADTBE/3U6iiENek8w/s72-c/20141227_212558.jpg)
WATANZANIA SEATTLE WAFUNGA MWAKA KWA MBWEMBWE
![](http://4.bp.blogspot.com/-d8iTaIMDbx4/VKEP8S3BlFI/AAAAAAADTBE/3U6iiENek8w/s1600/20141227_212558.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VlwugP_cMT4/VKEP9TEqHLI/AAAAAAADTBM/vR0NeMuAUiI/s1600/20141227_212611.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-i7glPTz5ZRg/VKEP94S3dKI/AAAAAAADTBU/9savMxiuRHo/s1600/20141227_212758.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C4U6GQlfyQs/VKEP_Fr61lI/AAAAAAADTBg/_as7MqrTZe8/s1600/20141227_212824.jpg)