Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATANZANIA SEATTLE WAFUNGA MWAKA KWA MBWEMBWE

 Watanzania Washington, Seattle wakifanya sherehe ya kufunga mwaka iliyofanyika siku ya Jumamosi Desemba 27, 2014 katika mji wa Seattle uliopo jimbo la Washington na kuhudhuriwa na Watanzania na marafiki zao.Watanzania Washington, Seattle wakipata picha ya kumbukumbu katika sherehe ya kufunga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka 2015 iliyofanyika siku ya Jumamosi Desemba 27, 2014.Wakina dada wa Seattle katika picha ya pamoja.ni kupendeza kwa kwenda mbele katika sherehe ya kufunga mwaka...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WASHINGTON SEATTLE KUMPOKEA RAIS JAKAYA KIKWETE LEO JUMATANO

Ndugu waTanzania wenzangu. Natumai munaendelea na afya njema.
Mheshimiwa Rais na ujumbe wake watawasili Seattle: Jumatano Tarehe 1/4/2015, Usiku.Tunaombwa tufike tumpokee Mhe. Rais Jakaya Kikwete na kusalimiana nae 
Jumuiya ya Tanzaseattle inawaomba kufika kwa wakati kama ilivyoainishwa:
Pahala:
FOUR SEASONS HOTEL SEATTLE99 Union StreetSeattle, Wa 98101
Siku na Saa:
Jumatano 1/4/2015,Saa Tatu Usiku- Wednesday April 1st, 2015 at 9pm.


Kwa niaba ya Uongozi wa Tanzaseattle.Ahsanteni kwa kufika kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WASHINGTON SEATTLE KUMPOKEA RAIS JAKAYA KIKWETE KESHO JUMATANO

Ndugu waTanzania wenzangu. Natumai munaendelea na afya njema.
Mheshimiwa Rais na ujumbe wake watawasili Seattle: Jumatano Tarehe 1/4/2015, Usiku.Tunaombwa tufike tumpokee Mhe. Rais Jakaya Kikwete na kusalimiana nae 
Jumuiya ya Tanzaseattle inawaomba kufika kwa wakati kama ilivyoainishwa:
Pahala:
FOUR SEASONS HOTEL SEATTLE99 Union StreetSeattle, Wa 98101
Siku na Saa:
Jumatano 1/4/2015,Saa Tatu Usiku- Wednesday April 1st, 2015 at 9pm.


Kwa niaba ya Uongozi wa Tanzaseattle.Ahsanteni kwa kufika kwa...

 

11 years ago

Michuzi

Hoja ya haja ya Mwenyekiti wa Watanzania wa Washington-Seattle kuhusu uraia pacha

Yamekuwepo malumbano na mada nyingi kuhusu uraia pacha na jinsi ilivyo muhimu kuwa na uraia pacha kwa Watanzania wanaoishi nje ya nchi, na hapa namaanisha siyo ughaibuni tu hata wale waishio nchi jirani zinazotuzunguka. Pamoja na mada zote nzuri naomba kwa ruksa yenu turudi kwenye sheria yenyewe ya uraia Tanzania kama inavyojulikana kama (Tanzania citizenship Act no 6 1995).  Katika mada yangu hii naomba tujikite hasa kwenye aina ya uraia unaotambuliwa na sheria hii pamoja na lengo la...

 

9 years ago

Mwananchi

Wafanyakazi MCL Dar, Moshi wafunga mwaka

Wafanyakazi wa magazeti yanayochapishwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd juzi, walifanya sherehe ya kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016.

 

10 years ago

Mwananchi

HOJA YA MWAKA: Uchaguzi wa wabunge wa Finland na mafunzo kwa watanzania

Ndugu wasomaji wangu leo nimeona niendelee na mfululizo wa kuwandaa wananchi na Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 kwa kujifunza yanayotokea kwenye chaguzi za nchi nyingine duniani. Wiki mbili zilizopita niliandika tena kwa mara ya pili kuhusu uchaguzi wa Nigeria na kilichotokea katika ngazi mbalimbali za uchaguzi huo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Salamu za mwaka mpya za Rais Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwa watanzania

h4

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.

HOTUBA YA MWAKA 2015 – FINAL.doc by moblog

 

9 years ago

Dewji Blog

Halotel kufikisha mtandao kwa asilimia 95 ya watanzania hadi mwishoni mwa mwaka 2016

1

Naibu Mkurugenzi wa Kampuni ya mawasiliano ya Halotel, Le Van Dai akizungumza na wanahabari katika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam leo kuhusuiana na mtandao huo kutanua huduama zake hadi kufikia asimimia 95 ya watazanzania. Wanaoshuhudia ni Naibu Mkurugenzi wa Rasilimali Watu, Emanuel Malyeta (kushoto), na kulia kwake ni mwanasheria wa kampuni hiyo,Christopher Masai.

4

Naibu Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Halotel, Emanuel Malyeta akifafanunua jambo kwa waandishi wa habari....

 

10 years ago

Vijimambo

Salamu za Mbunge wa Nzega -CCM Dr. Hamisi Kigwangalla kwa Watanzania , Mwaka Mpya 2015


 Mbunge wa Nzega -CCM Dr Hamisi Kigwangalla-Ni Mwaka Mpya Tena! Dr. Hamisi Kigwangalla, MB.Ndugu Watanzania wenzangu,Kwa heshima na taadhima na kwa moyo wa kiutumishi, najisikia furaha kuwatumia salamu za Mwaka mpya 2015. Kwa hakika Mungu amekuwa mwema sana kwangu na kwako mwaka 2014 kwa namna nyingi mbalimbali, ila kwa kiasi kikubwa kwa kutujalia zawadi ya uhai, mafanikio kwenye kazi zetu, uvumilivu tulipoanguka, nguvu tulipokutana na changamoto mbalimbali, na uwezo wa kupambana nazo...

 

10 years ago

GPL

SALAMU ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA WATANZANIA,

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.                          Utangulizi Ndugu zangu; Watanzania Wenzangu; Kama ilivyo ada imefikia siku ya kuuaga mwaka mmoja na kuukaribisha mwaka mwingine. Leo tunauaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2015. Tunamshukuru Muumba wetu mwingi wa rehema kwa kutujaalia uzima na kutuwezesha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani