Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mazuu atambia mafanikio ya lebo yake KTMA 2014

MTAYARISHAJI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mzuri Ally ‘Mazuu,’ ametambia umahiri, umakini na ubunifu aliofanya katika vibao vitatu vinavyowania Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA 2014), akisema ndizo nyimbo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

MZURI ALLY ‘MAZUU’: Nastahili Tuzo ya Mtayarishaji wa Bora KTMA 2014

NI siku ya nne leo tangu kuanza rasmi kwa mchakato wa upigaji kura kwa washiriki wa kinyang’anyiro cha Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (Kilimanjaro Tanzania Music Awards – KTMA 2014),...

 

10 years ago

Habarileo

Nassari atambia mafanikio yake

Joshua NassariMBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema) amesema atapita tena katika jimbo hilo mchana kweupe, kwani amefanya mambo mengi, ikiwemo kuhakikisha usafi wa Soko la Tengeru, hivyo wafanyabiashara kufanya biashara sehemu safi na salama.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bocco atambia mafanikio Azam FC

NAHODHA wa Azam FC, John Rafael Bocco ‘Adebayor’ametambia rekodi na mafanikio ya kikosi chake, huku akiitaja namba 19 kuwa ni namba ya bahati katika maisha yake ya soka Azam Complex,...

 

9 years ago

Bongo5

Keko aitaka lebo yake, Sony Music Africa imwachie aende, adai imekwamisha mambo yake

21362c1c39-KEKO-NU

Rapper wa Uganda, Keko anaitaka lebo yake, Sony Music Africa imwachie aende zake.

21362c1c39-KEKO-NU

Rapper huyo Ijumaa hii ametoa malalamiko yake kupitia Twitter kwa madai kuwa hajawahi kuwa na furaha kwenye mkataba huo wa miaka minne sasa.

Amedai kuwa Sony wamekuwa wazito kuachia nyimbo zake na hivyo kuwaangusha mashabiki wake.

“Nadhani ni bora kwa mashabiki niondoke Sony,” ameandika.

Hivi ndivyo alivyoandika:

I want @SonyMusicAfrica to release me from that contract because I’ve clearly been unhappy close...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Cpwaa aanzisha ‘lebo’ yake

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Ilunga Khalifa ‘Cpwaa’, ameanzisha ‘lebo’ yake inayojulikana kwa jina la ‘Brain Storm Music’ ambayo tayari ameanza kusajili wasanii mbalimbali. Kwa mujibu wa Cpwaa,...

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya Diamond Trust (DTB) yatangaza mafanikio yake makubwa kwa nusu mwaka wa 2014

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Diamond Trust (DTB),Bwa.Viju Cherian akizungumza mbele ya Waandishi wa Habari (hawapo pichani),Mapema leo ndani ya moja ya ukumbi wa mikutano Serena Hotel jijini Dar kuhusiana na ripoti ya nusu mwaka wa 2014 kuhusu utendaji wa benki hiyo kwa ongezeko kubwa la faida kabla yakodi (profit before Tax (PBT) ya sh.billioni 10.3 ikiwa ni  asilimia 38 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka 2013 sambamba na mafanikio makubwa iliyoyapata benki hiyo.
Bwa.Viju alisema...

 

9 years ago

Bongo5

Sheddy Clever aja na lebo yake, ‘Burn Records Tanzania’

sheddy na Ne-yo

Mtayarishaji wa wimbo ulioshinda tuzo kibao, Number One wa Diamond Platnumz, Sheddy Clever, ameanzisha lebo yake ya muziki.

sheddy

Kupitia ukurasa wa Instagram, Sheddy Clever ameandika:

Kuna bora kipaji na Kipaji bora. Sasa hawa ni zaidi ya kipaji bora nina imani watafika pale wanapopataka na mimi nitawa support kwa nguvu zangu zote.Naomba itambulike hawa ndio wasanii wangu walio chini ya studio yangu Burnrecordz . Lakini hawawezi fanikiwa bila ya wewe shabiki na mpenzi wa bongofleva kuwapokea na...

 

9 years ago

GPL

JACK CHUZ ATAMBIA NDOA YAKE

Imelda Mtema STAA wa filamu za Kibongo Jacqueline Pentzel maarufu kama Jack wa Chuz ametamba kuwa ndoa yake na Gardner Dibibi ipo imara licha ya kukumbwa na misukosuko ya kuachana na kurudiana. Akiteta na gazeti hili hivi karibuni, msanii huyo alisema kuwa hakwenda kucheza kwenye ndoa kama wasanii wenzake wanavyodhani, kwani licha ya kumuombea mabaya, amemudu kuwa imara kwa kumaliza matatizo yao kila yanapotokea na maisha...

 

10 years ago

GPL

AISHA BUI ATAMBIA KAZI YAKE

Stori: Mwandishi Wetu
WAKATI filamu yake ya Mshale wa Kifo ikiingia mtaani, Aisha Fathi ‘Aisha Bui’ amesema kazi yake hiyo itadhihirisha uwezo alionao kwani hata wazo la kuandika simulizi hiyo ni lake mwenyewe. Msanii wa Muvi Bongo, ‘Aisha Bui’ akipozi. “Najua kila mtu ana uwezo wake, lakini unaweza kushindwa kufanya hivyo kwa sababu ya kukosa nafasi, ndiyo maana mimi nimeamua kutumia kampuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani