Mazuu atambia mafanikio ya lebo yake KTMA 2014
MTAYARISHAJI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mzuri Ally ‘Mazuu,’ ametambia umahiri, umakini na ubunifu aliofanya katika vibao vitatu vinavyowania Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA 2014), akisema ndizo nyimbo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
MZURI ALLY ‘MAZUU’: Nastahili Tuzo ya Mtayarishaji wa Bora KTMA 2014
NI siku ya nne leo tangu kuanza rasmi kwa mchakato wa upigaji kura kwa washiriki wa kinyang’anyiro cha Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (Kilimanjaro Tanzania Music Awards – KTMA 2014),...
10 years ago
Habarileo29 Dec
Nassari atambia mafanikio yake
MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema) amesema atapita tena katika jimbo hilo mchana kweupe, kwani amefanya mambo mengi, ikiwemo kuhakikisha usafi wa Soko la Tengeru, hivyo wafanyabiashara kufanya biashara sehemu safi na salama.
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Bocco atambia mafanikio Azam FC
NAHODHA wa Azam FC, John Rafael Bocco ‘Adebayor’ametambia rekodi na mafanikio ya kikosi chake, huku akiitaja namba 19 kuwa ni namba ya bahati katika maisha yake ya soka Azam Complex,...
9 years ago
Bongo504 Dec
Keko aitaka lebo yake, Sony Music Africa imwachie aende, adai imekwamisha mambo yake
![21362c1c39-KEKO-NU](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/21362c1c39-KEKO-NU-300x194.jpg)
Rapper wa Uganda, Keko anaitaka lebo yake, Sony Music Africa imwachie aende zake.
Rapper huyo Ijumaa hii ametoa malalamiko yake kupitia Twitter kwa madai kuwa hajawahi kuwa na furaha kwenye mkataba huo wa miaka minne sasa.
Amedai kuwa Sony wamekuwa wazito kuachia nyimbo zake na hivyo kuwaangusha mashabiki wake.
“Nadhani ni bora kwa mashabiki niondoke Sony,” ameandika.
Hivi ndivyo alivyoandika:
I want @SonyMusicAfrica to release me from that contract because I’ve clearly been unhappy close...
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Cpwaa aanzisha ‘lebo’ yake
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Ilunga Khalifa ‘Cpwaa’, ameanzisha ‘lebo’ yake inayojulikana kwa jina la ‘Brain Storm Music’ ambayo tayari ameanza kusajili wasanii mbalimbali. Kwa mujibu wa Cpwaa,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rv4KerRRAaU/U-ySPMLsrVI/AAAAAAAF_ZM/O_9VMgTdOF0/s72-c/IMG_8003.jpg)
Benki ya Diamond Trust (DTB) yatangaza mafanikio yake makubwa kwa nusu mwaka wa 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-rv4KerRRAaU/U-ySPMLsrVI/AAAAAAAF_ZM/O_9VMgTdOF0/s1600/IMG_8003.jpg)
Bwa.Viju alisema...
9 years ago
Bongo511 Nov
Sheddy Clever aja na lebo yake, ‘Burn Records Tanzania’
![sheddy na Ne-yo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/sheddy-na-Ne-yo-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa wimbo ulioshinda tuzo kibao, Number One wa Diamond Platnumz, Sheddy Clever, ameanzisha lebo yake ya muziki.
Kupitia ukurasa wa Instagram, Sheddy Clever ameandika:
Kuna bora kipaji na Kipaji bora. Sasa hawa ni zaidi ya kipaji bora nina imani watafika pale wanapopataka na mimi nitawa support kwa nguvu zangu zote.Naomba itambulike hawa ndio wasanii wangu walio chini ya studio yangu Burnrecordz . Lakini hawawezi fanikiwa bila ya wewe shabiki na mpenzi wa bongofleva kuwapokea na...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/JACKYWACHUZII.jpg?width=650)
JACK CHUZ ATAMBIA NDOA YAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPPE9ljOONJR9hga9W3GCqcw0fBMRJmABXec1p-AVEhz1FA8F1fsbjmzR1PIN0VjK3-hdb9X9YOV4rnE89M3BGYt/aisha.jpg)
AISHA BUI ATAMBIA KAZI YAKE