Barnaba aanzisha label yake ya muziki, ‘High Table’
Muimbaji na mtunzi wa nyimbo, Barnaba, ameanzisha label ya kusimamia wasanii wa muziki iitwayo ‘High Table’ na tayari ameshawasaini wasanii wanne. Barnaba ameiambia E-News ya EATV kuwa wasanii ambao tayari wamesainishwa ni Ice Boy, Sia, Asia na Mula Fleva. “Kuna Ice Boy yule anayerap alikuwa kwa Young Killer zamani, nimeshamchukua. Watu watashangaa kwanini Barnaba amechukua […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo527 Oct
Barnaba aanzisha bendi yake ‘Barnaba Classic’
9 years ago
Bongo531 Dec
Quick Rocka aanzisha kundi jipya la muziki ‘One G’
![_K0A2053](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/K0A2053-300x194.jpg)
Quick Rocka ameanzisha kundi jipya liitwalo ‘One G.’
Amesema kundi hilo litakuwa chini ya label yake, Switch.
“Kubwa zaidi 2016 ni ujio wa kundi la wasanii wangu One G kupitia record label yangu Switch na producer wangu Luffa,” aliiambia Bongo5.
“Kwahiyo mwaka unaokuja tutaanza nao kwa sababu tayari wana ngoma yao mpya pamoja na video. Lengo letu ni kupeleka muziki mbele na kuleta ushindani mpya kwenye muziki na wasanii wachanga watoke,” alisema.
Hata hivyo Quick amesema ujio wa kundi hilo...
9 years ago
Bongo523 Oct
Young Dee aeleza kilichosababisha akaachana na label yake ya zamani MDB
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Cpwaa aanzisha ‘lebo’ yake
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Ilunga Khalifa ‘Cpwaa’, ameanzisha ‘lebo’ yake inayojulikana kwa jina la ‘Brain Storm Music’ ambayo tayari ameanza kusajili wasanii mbalimbali. Kwa mujibu wa Cpwaa,...
9 years ago
Bongo508 Oct
Akon adai hajutii kuacha kumsainisha Drake kwenye label yake alipotambulishwa kwake mwaka 2005
9 years ago
Bongo508 Oct
Wasanii wajifunze kuimba muziki wa live kwendana na mabadiliko — Barnaba
9 years ago
Bongo509 Oct
Barnaba ana majibu ya kwanini hapati tuzo licha ya kuwa mchango wake kwenye muziki unafahamika
11 years ago
Mwananchi17 May
Muziki wa dansi umejinyonga na kamba yake?
10 years ago
GPL03 Aug