Young Dee aeleza kilichosababisha akaachana na label yake ya zamani MDB
Young Dee ameelezea kwa uchungu kitu kilichosababisha akaachana na label yake ya zamani, Millian Dollar Boys (MDB) baada ya bosi wa kampuni hiyo, Max Rioba kudai amezingua. Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM jana, Young Dee alisema hakutaka kuzungumzia suala la Max kwakuwa anaheshimu mchango wake katika muziki wake. “Kama uliona nimekukosea, call […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Oct
Uongozi wa MDB waweka wazi ‘mkuki wa moyoni’ waliochomwa na Young Dee
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Dee aeleza kwanini alijiondoa ‘Mtu Chee’
9 years ago
Bongo528 Dec
Ben Pol Angefanyaje?: Aeleza kilichosababisha Avril kutoonekana kwenye video yake
![ben-avril](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/ben-avril-300x194.jpg)
Miongoni mwa vitu ambavyo mashabiki huvitarajia kwenye video za nyimbo za collabo ni kuwaona wasanii wote waliohusika kwenye video, kitu ambacho kwa Ben Pol hakikufanikiwa kwa asilimia zote kwenye video yake mpya.
Siku chache baada ya kuachia video ya wimbo wake ‘NINGEFANYAJE’, Ben Pol ameeleza sababu zilizopelekea muimbaji Avril kutoka Kenya aliyeshirikishwa kwenye wimbo huo, kutoonekana kwenye video hiyo anayoitaja kuwa kubwa kuliko video zote alizowahi kufanya.
Kwenye video hiyo...
9 years ago
Bongo507 Oct
Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa
9 years ago
Bongo526 Oct
Instagram waifungia akaunti ya Idris Sultan, aeleza kilichosababisha
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram
9 years ago
Bongo504 Dec
Rapa Baby Boy kuvunja ukimya wa miaka miwili, aeleza kilichosababisha ukimya huo
![baby boy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/baby-boy-300x194.jpg)
Rapa wa kitambo aliyewahi kutoa nyimbo kama ‘Tunapendana’ aliyofanya na Steve RnB, Baby Boy amepanga kuvunja ukimya wa miaka miwili aliokaa bila kuachia kazi yoyote.
Baby Boy ambaye kipindi cha nyuma alikuwa akisimamiwa na Zizzou Entertainment ameiambia Bongo5 sababu za kuwa kimya.
“Nimekuwa kimya japo sikuwahi kuacha kurecord nakuandika ngoma mpya ila nlikuwa nasita kuzitoa kutokana na kutokuwa na management, lakini imefika time nimeamua kuachia ngoma japo bado siko katika management kama...
11 years ago
GPL20 Jul
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-6bxX-a8nnfk/VWlzaZLdC-I/AAAAAAAABrY/ixcla0lu6Gs/s72-c/cowobama.jpg)