Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Young Dee aeleza kilichosababisha akaachana na label yake ya zamani MDB

Young Dee ameelezea kwa uchungu kitu kilichosababisha akaachana na label yake ya zamani, Millian Dollar Boys (MDB) baada ya bosi wa kampuni hiyo, Max Rioba kudai amezingua. Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM jana, Young Dee alisema hakutaka kuzungumzia suala la Max kwakuwa anaheshimu mchango wake katika muziki wake. “Kama uliona nimekukosea, call […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Uongozi wa MDB waweka wazi ‘mkuki wa moyoni’ waliochomwa na Young Dee

Uongozi wa Millian Dollar Boys unaomiliki studio za Authentic za jijini Dar es Salaam umesikitishwa na kitendo cha ukosefu wa fadhila na shukrani, kilichofanywa na rapper Young Dee aliyekuwa chini yake. Millian Hivi karibuni Young Dee alidai kuwa uongozi huo pamoja na mambo mengine ulimzuia kuwa member wa kundi la Mtu Chee. CEO wa kampuni […]

 

9 years ago

Bongo5

Young Dee aeleza kwanini alijiondoa ‘Mtu Chee’

Young Dee amesema aliamua kuachana na kundi la Mtu Chee baada ya kuona halina malengo ya mbele. Young Dee ameimbia 255 ya XXL kuwa ameshauriwa na watu wake wa karibu kuachana na project za kundi hilo na kusimama yeye mwenyewe. “Haina u-serous katika kazi,” alisema. “Mfumo wake wa kazi ni ule wa mizuka, watu ambao […]

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol Angefanyaje?: Aeleza kilichosababisha Avril kutoonekana kwenye video yake

ben-avril

Miongoni mwa vitu ambavyo mashabiki huvitarajia kwenye video za nyimbo za collabo ni kuwaona wasanii wote waliohusika kwenye video, kitu ambacho kwa Ben Pol hakikufanikiwa kwa asilimia zote kwenye video yake mpya.

bnweee

Siku chache baada ya kuachia video ya wimbo wake ‘NINGEFANYAJE’, Ben Pol ameeleza sababu zilizopelekea muimbaji Avril kutoka Kenya aliyeshirikishwa kwenye wimbo huo, kutoonekana kwenye video hiyo anayoitaja kuwa kubwa kuliko video zote alizowahi kufanya.

Kwenye video hiyo...

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa

Baada kuwa kimya kwa takribani miaka miwili, Kundi la Mtu Chee lililokuwa linaundwa na rappers watatu, Ibrahim Mandingo a.k.a Country Boy, David Genzi a.k.a Young Dee pamoja na Boniventure Kabogo a.k.a Stamina linarudi rasmi likiwa na mabadiliko. Country Boy Member na mmoja wa waanzilishi wa kundi hilo Country Boy amesema kuwa Mtu Chee imepata member […]

 

9 years ago

Bongo5

Instagram waifungia akaunti ya Idris Sultan, aeleza kilichosababisha

Instagram imeifungia akaunti ya mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan. Idris ameimbia Bongo5 kuwa hatua hiyo imekuja baada ya kuvunja masharti ya mtandao huo. Amesema anadhani sababu za kufungikiwa kwa akaunti yake ni kutokana na kupost kipande cha video kutoka kwenye filamu ya The Interview iliyowahi kupigwa marafuku katika baadhi ya nchi. “Nafikiria labda kutokana […]

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram

Wiki iliyopita mmoja wa waanzilishi wa kundi la Mtu Chee, Country Boy alisema kuwa Young Dee amejiengua kwenye kundi hilo na nafasi yake imechukuliwa na Young Killer. Wiki hii kuna cover imeanza kusambazwa ya ngoma mpya ya Mtu Chee ambayo kweli wanaonekana Country Boy, Stamina na Young Killer. Bongo5 imemtafuta Young Killer kutaka kufahamu kuhusu […]

 

9 years ago

Bongo5

Rapa Baby Boy kuvunja ukimya wa miaka miwili, aeleza kilichosababisha ukimya huo

baby boy

Rapa wa kitambo aliyewahi kutoa nyimbo kama ‘Tunapendana’ aliyofanya na Steve RnB, Baby Boy amepanga kuvunja ukimya wa miaka miwili aliokaa bila kuachia kazi yoyote.

baby boy

Baby Boy ambaye kipindi cha nyuma alikuwa akisimamiwa na Zizzou Entertainment ameiambia Bongo5 sababu za kuwa kimya.

“Nimekuwa kimya japo sikuwahi kuacha kurecord nakuandika ngoma mpya ila nlikuwa nasita kuzitoa kutokana na kutokuwa na management, lakini imefika time nimeamua kuachia ngoma japo bado siko katika management kama...

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Africanjam.Com

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani