Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Instagram waifungia akaunti ya Idris Sultan, aeleza kilichosababisha

Instagram imeifungia akaunti ya mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan. Idris ameimbia Bongo5 kuwa hatua hiyo imekuja baada ya kuvunja masharti ya mtandao huo. Amesema anadhani sababu za kufungikiwa kwa akaunti yake ni kutokana na kupost kipande cha video kutoka kwenye filamu ya The Interview iliyowahi kupigwa marafuku katika baadhi ya nchi. “Nafikiria labda kutokana […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Reality Tv show ya Idris Sultan kuanza kuoneshwa December BET, aeleza sababu za kuchagua kituo hicho cha Marekani

Kama mipango ya mshindi wa Big brother Africa 2014, Idris Sultan ikienda vizuri basi dunia itashuhudia show mbili mpya za Tv za star huyo wa Tanzania kupitia channel ya Marekani- BET Idris amesema moja ya show hizo ni reality show kama ilivyo ya kina Kim Kardahsian, KUWTK na Husbands Of Hollywood, na nyingine ni ya […]

 

9 years ago

Bongo5

Young Dee aeleza kilichosababisha akaachana na label yake ya zamani MDB

Young Dee ameelezea kwa uchungu kitu kilichosababisha akaachana na label yake ya zamani, Millian Dollar Boys (MDB) baada ya bosi wa kampuni hiyo, Max Rioba kudai amezingua. Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM jana, Young Dee alisema hakutaka kuzungumzia suala la Max kwakuwa anaheshimu mchango wake katika muziki wake. “Kama uliona nimekukosea, call […]

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol Angefanyaje?: Aeleza kilichosababisha Avril kutoonekana kwenye video yake

ben-avril

Miongoni mwa vitu ambavyo mashabiki huvitarajia kwenye video za nyimbo za collabo ni kuwaona wasanii wote waliohusika kwenye video, kitu ambacho kwa Ben Pol hakikufanikiwa kwa asilimia zote kwenye video yake mpya.

bnweee

Siku chache baada ya kuachia video ya wimbo wake ‘NINGEFANYAJE’, Ben Pol ameeleza sababu zilizopelekea muimbaji Avril kutoka Kenya aliyeshirikishwa kwenye wimbo huo, kutoonekana kwenye video hiyo anayoitaja kuwa kubwa kuliko video zote alizowahi kufanya.

Kwenye video hiyo...

 

9 years ago

Bongo5

Idris Sultan: Mimi na Samantha tumeachana

IdrisSamantha1

Idris Sultan na Samantha wa Afrika Kusini hawapo tena pamoja – kwa mujibu wa mshindi huyo wa Big Brother Africa 2014.

IdrisSamantha1

Akiongea Jumapili, November 15 kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, Idris alithibitisha kuwa uhusiano wao umeshavunjika.

Samantha na Idris walikuwa wamefika mbali zaidi kwenye uhusiano wao kiasi cha mrembo huyo waliyefahamiana kwenye shindano hilo kuja Tanzania na kuishi na Idris kwa wiki kadhaa.

11351782_200458186953510_849931754_n
Idris akiwa na mtangazaji wa kipindi cha The Playlist, Lil Ommy

“It’s...

 

10 years ago

Michuzi

Vote Idris Sultan to win Big Brother Africa


How to Vote
1.Vote for free up to 100 times on the website and again up to 100
times on the mobile site

     FIRST register here
     https://connect.dstv.com/4.0.863/en-ZA/Login/?returnUrl=http%3A%2F%2Fbigbrotherafrica.dstv.com%2Fvote

     It will take you 5 minutes only to send 100 free votes to Idris
2.Download the WeChat app on your smartphone, add ID BigBrotherAfrica
and vote up to 100 times  FOR FREE !

3.In Tanzania through sms " VOTE Idris" and send to 15426  Vote up to
100 times by SMS...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Idris Sultan anunua nyumba hii ya kifahari!

Ule usemi kuwa hakuna ‘baba/mama mwenye gari’ mjini bali kuna ‘baba/mama mwenye nyumba’, huenda ukawa umemuingia mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan. Idris akiwa kwenye nyumba yake Kupitia Instagram, Idris ameonesha nyumba inayoonekana kuwa ameinunua au kukopeshwa na kumshukuru mtu aitwaye Ghalib Said Mohammed “I have seen thousands of people through my life time, got […]

 

10 years ago

GPL

IDRIS SULTAN, MWAKILISHI WA TANZANIA BBA HOTSHOTS 2014

Mpiga picha na Msanifu kurasa, Idris Sultan mwakilishi wa Tanzania kwenye Big Brother HotShots ya mwaka huu. Idris Sultan akiwa katika…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani