Reality Tv show ya Idris Sultan kuanza kuoneshwa December BET, aeleza sababu za kuchagua kituo hicho cha Marekani
Kama mipango ya mshindi wa Big brother Africa 2014, Idris Sultan ikienda vizuri basi dunia itashuhudia show mbili mpya za Tv za star huyo wa Tanzania kupitia channel ya Marekani- BET Idris amesema moja ya show hizo ni reality show kama ilivyo ya kina Kim Kardahsian, KUWTK na Husbands Of Hollywood, na nyingine ni ya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo508 Oct
Idris Sultan kuja na TV show mbili, zitakazooneshwa kupitia Vuzu na BET
Mshindi wa shindano la Big Brother Africa 2014, Hotshots Idris Sultan, amesema anakuja na vipindi viwili vya TV vitakavyorushwa kupitia vituo vya runinga vya Vuzu, Afrika Kusini na BET Africa. Idris amesema kuonekana kwake kwenye mitandao wa kijamii isidhaniwe kuwa amekosa kazi za kufanya. “Ukiwa mtu maarufu watu wanahitaji kukuona muda wote na huwezi kupata […]
9 years ago
Bongo526 Oct
Instagram waifungia akaunti ya Idris Sultan, aeleza kilichosababisha
Instagram imeifungia akaunti ya mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan. Idris ameimbia Bongo5 kuwa hatua hiyo imekuja baada ya kuvunja masharti ya mtandao huo. Amesema anadhani sababu za kufungikiwa kwa akaunti yake ni kutokana na kupost kipande cha video kutoka kwenye filamu ya The Interview iliyowahi kupigwa marafuku katika baadhi ya nchi. “Nafikiria labda kutokana […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaarbwCuiUK8fyZp-PYA-C9hplaWi8G*25ZM76xhZnYu5ekPSeFqCKZVo0sRYpjTffQMUy2galGMjr08vfYapTAqm/yemi.jpg?width=650)
YEMI AELEZA SABABU YA KUWASHAMBULIA WAANDAJI WA TUZO ZA BET
Mwimbaji maarufu wa Nigeria, Yemi Alade. Lagos Nigeria BAADA ya mwimbaji maarufu wa Nigeria, Yemi Alade, maarufu kama Jonny Crooner kutokana na wimbo wake, kushindwa katika mpambano wa Tuzo za BET nchini Marekani, amewashambulia waandaji wa mashindano hayo kwamba hawakuwafanyia haki waimbaji kutoka Afrika. “Kusema ukweli Waafrika hatutendewi haki kama wenzetu kutoka mabara mengine,†alisema mwimbaji huyo mrembo...
10 years ago
Bongo510 Jul
Eddy Kenzo aeleza sababu za kwanini BET walimkabidhi tuzo yake kwenye Red Carpert
Msanii wa Uganda aliyeshinda tuzo ya 2015 BET Viewer’s Choice Best International Artist, Eddy Kenzo ametoa maelezo ya kwanini alikabidhiwa tuzo yake kwenye Red Carpet. Licha ya kuwa wasanii wa Afrika na UK wamekuwa wakibaguliwa kwenye tuzo hizo kwa kupewa tuzo zao muda tofauti kabla ya tukio lenyewe, lakini mambo yalikuwa tofauti zaidi kwa msanii […]
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/GRcdb-x-Fsg/default.jpg)
9 years ago
MichuziMbunge wa Jimbo la Fuoni Zanzibar Mhe Abaas Mwinyi Atimiza Ahadi Zake kwa Kituo cha Afya Fuoni kwa Kukabidhi Dawa na Masinki ya Vyoo kwa Kituo Hicho.
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
George Floyd: Sababu 4 zilizofanya kifo cha M'marekani mweusi kusababisha maandamano makubwa Marekani
Wakati Donald Trump alipotoa onyo lake , pengine hakufikiria kwamba atalazimika kuishi na hali ngumu kama inayoendeelea nchini Marekani.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fWna0YitEHI/XphWBkRr4TI/AAAAAAAEGwA/JjVAdN7Z0GAlzuW9_6mQOv0NxwQAxh9AgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
M-Bet kuzindua Stimulated Reality League (SRL)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fWna0YitEHI/XphWBkRr4TI/AAAAAAAEGwA/JjVAdN7Z0GAlzuW9_6mQOv0NxwQAxh9AgCLcBGAsYHQ/s1600/download.jpg)
M-Bet imezindua michezo ya kubashiri inayojulikana kama Simulated Reality League (SRL) , Kupitia kampuni ya SportRadar inayotoa huduma za teknolojia ya odds mbalimbali za michezo ya kubashiri, ikiwa inafanya kazi na makampuni zaidi ya 500 duniani kote.
M-bet imezindua SRL ikiwa ni...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania