Idris Sultan kuja na TV show mbili, zitakazooneshwa kupitia Vuzu na BET
Mshindi wa shindano la Big Brother Africa 2014, Hotshots Idris Sultan, amesema anakuja na vipindi viwili vya TV vitakavyorushwa kupitia vituo vya runinga vya Vuzu, Afrika Kusini na BET Africa. Idris amesema kuonekana kwake kwenye mitandao wa kijamii isidhaniwe kuwa amekosa kazi za kufanya. “Ukiwa mtu maarufu watu wanahitaji kukuona muda wote na huwezi kupata […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo509 Oct
Reality Tv show ya Idris Sultan kuanza kuoneshwa December BET, aeleza sababu za kuchagua kituo hicho cha Marekani
9 years ago
Bongo516 Nov
Idris Sultan: Mimi na Samantha tumeachana

Idris Sultan na Samantha wa Afrika Kusini hawapo tena pamoja – kwa mujibu wa mshindi huyo wa Big Brother Africa 2014.
Akiongea Jumapili, November 15 kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, Idris alithibitisha kuwa uhusiano wao umeshavunjika.
Samantha na Idris walikuwa wamefika mbali zaidi kwenye uhusiano wao kiasi cha mrembo huyo waliyefahamiana kwenye shindano hilo kuja Tanzania na kuishi na Idris kwa wiki kadhaa.
Idris akiwa na mtangazaji wa kipindi cha The Playlist, Lil Ommy
“It’s...
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
GPLDIAMOND PLATNUMZ, IDRIS SULTAN NDANI YA DAR LIVE
10 years ago
Michuzi.jpg)
Vote Idris Sultan to win Big Brother Africa
.jpg)
How to Vote
1.Vote for free up to 100 times on the website and again up to 100
times on the mobile site
FIRST register here
https://connect.dstv.com/4.0.863/en-ZA/Login/?returnUrl=http%3A%2F%2Fbigbrotherafrica.dstv.com%2Fvote
It will take you 5 minutes only to send 100 free votes to Idris
2.Download the WeChat app on your smartphone, add ID BigBrotherAfrica
and vote up to 100 times FOR FREE !
3.In Tanzania through sms " VOTE Idris" and send to 15426 Vote up to
100 times by SMS...
10 years ago
Bongo Movies10 Aug
Nuh Mziwanda Amvaa Idris Sultan, Kisa Shilole!
Picha limeanzia kwenye post ya Instagram ya mshindi wa Big Brother Africa Hotshots, Idris Sultan ambayo aliweka picha ya girlfriend wake Samantha wa Afrika Kusini.
Miongoni mwa watu walio comment kwenye picha hiyo ni pamoja na mmiliki wa ‘moyo’ wa Shishi Baby, Nuh Mziwanda ambaye alimchimba ‘biti’ Idris, akidai kuwa amekuwa akimsumbua mpenzi wake Shilole kwa kumtumia ujumbe ambao hapendezwi nao.
“Nikianza kumsumbua demu wako, kaam unavyomsumbua wangu utafurahi, nimekuvumilia sana bro, sasa...
10 years ago
Bongo523 Jan
Picha: Idris Sultan anunua nyumba hii ya kifahari!
11 years ago
GPL
IDRIS SULTAN, MWAKILISHI WA TANZANIA BBA HOTSHOTS 2014