Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii wajifunze kuimba muziki wa live kwendana na mabadiliko — Barnaba

Mwimbaji na mwandishi mahiri wa nyimbo, Barnaba amewashauri wasanii wenzake kujifunza kutumbuiza muziki wa live wanapokuwa kwenye majukwaa. Barnaba anafahamika kwa uwezo wake mkubwa wa kutumia vyombo mbalimbali vya muziki na ni miongoni mwa wasanii waliolelewa na kukuzwa na nyumba ya vipaji Tanzania – THT. Akizungumza kupitia Planet Bongo ya EA Radio, Barnaba amesema kutokana […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Dk Fenella: Wasanii jifunzeni muziki wa live

WAZIRI wa Habari, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara, amewataka wasanii mbalimbali nchini wajifunze muziki wa moja kwa moja ‘live’ ili wajijenge kimuziki.
Dk Fenella alitoa kauli hiyo usiku wa juzi, wakati akifunga shindano la Club Raha Leo, lililoanza Januari 17, mwaka huu, likiwa na wasanii 60 na kukamilika juzi, likiwa na wasanii 21 ambapo 10 kati yao walipata zawadi ya fedha.

Alisema muziki wa live una wigo mpana kwa mwanamuziki na watu wanaomzunguka, kwa kuwa kupitia yeye...

 

10 years ago

Mtanzania

Dk Fenella: Wasanii jifunzeni muziki wa live

Dk. Fenella Mukangara, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na MichezoNa Festo Polea

WAZIRI wa Habari, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara, amewataka wasanii mbalimbali nchini wajifunze muziki wa moja kwa moja ‘live’ ili wajijenge kimuziki.

Dk Fenella alitoa kauli hiyo usiku wa juzi, wakati akifunga shindano la Club Raha Leo, lililoanza Januari 17, mwaka huu, likiwa na wasanii 60 na kukamilika juzi, likiwa na wasanii 21 ambapo 10 kati yao walipata zawadi ya fedha.

Alisema muziki wa live una wigo mpana kwa mwanamuziki na watu wanaomzunguka, kwa kuwa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Wema Sepetu Kanihamasisha Kuimba Muziki - Leyla

Msanii wa kike ambaye ameingia kwenye muziki wa Bongo Flava na kuachia wimbo wake mmoja wenye mahadhi ya Reggae Leyla Walden, amesema msanii Wema Sepetu ndiye aliyemuhamasisha kuingia rasmi kwenye muziki.

Leyla ameyasema hayo alipokuwa akiongea na East Africa Radio, na kueleza kuwa baada ya Wema Sepetu kuandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kuwa binti huyo ana kipaji, ilikuwa ni msaada mkubwa kwake na kuamini kuwa anaweza kufanya kitu.

"Nimekuwa nikiimba muda mrefu tangia nipo mdogo, it...

 

10 years ago

CloudsFM

KUMBE LINEX ALIKUJA DAR KUFANYA MUZIKI WA HIPHOP MWISHO AKAISHIA KUIMBA

STAA wa Bongo Fleva,Linex Sunday Mjeda amesema mashairi ya ngoma zake yana ufundi sana kama wanavyofanya watunzi wa ngoma za hiphop na yeye alisafiri kutoka mkoani Kigoma kuja Dar Es Salaam kama rapa japokuwa ngoma ya kwanza iliyomtambulisha ilikuwa ya kuimba, ya Mama Halima aliyoitoa mwaka 2010 na 2011.Linex anafunguka ilikuaje na kina nani walimshauri kuimba.

 

11 years ago

Mwananchi

Ally Kiba: Aeleza mambo matatu yaliyomsimamisha kuimba muziki kwa miaka mitatu

Kwa muda mrefu wafuasi wa mwanamuziki Ally Salehe Kiba maarufu Alikiba, wamekuwa wakijiuliza sababu zilizomfanya mwimbaji huyo kukaa kando ya muziki kwa muda mrefu.

 

9 years ago

Bongo5

Barnaba aanzisha label yake ya muziki, ‘High Table’

Muimbaji na mtunzi wa nyimbo, Barnaba, ameanzisha label ya kusimamia wasanii wa muziki iitwayo ‘High Table’ na tayari ameshawasaini wasanii wanne. Barnaba ameiambia E-News ya EATV kuwa wasanii ambao tayari wamesainishwa ni Ice Boy, Sia, Asia na Mula Fleva. “Kuna Ice Boy yule anayerap alikuwa kwa Young Killer zamani, nimeshamchukua. Watu watashangaa kwanini Barnaba amechukua […]

 

10 years ago

Bongo5

Wasanii wa kuimba hatushirikishani kwasababu kila mmoja anamtegea mwenzie amuanze — Rich Mavoko

Msanii wa bongo fleva Rich Mavoko amesema kuwa wasanii wengi wa Bongo fleva huwa hawashirikishani katika kazi zao kutokana na kila msanii kumtegea msanii mwingine ndiyo amuanze kumfata na kumuomba wafanye kazi. “Kuhusu swala la kufanya nyimbo mi nafikiri kila mtu anategemea mwenzake atamuanza, atampigia simu ooh bwana nataka kufanya nyimbo na wewe lakini kila […]

 

9 years ago

Bongo5

Fid Q asema ataendelea kuimba live band ili kuboresha show za Hip Hop

Rapper Fareed Kubanda aka Fid Q amesema ataendelea kufanya show na live band ili kuboresha show za muziki wa Hip Hop. Fid Q ambaye alionesha uwezo wake wa kuimba live na bendi kwenye show ya Kilifest iliyofanyika weekend iliyopita katika viwanja Leades Club jijini Dar es salaam, ameambia Planet Bongo ya East Africa Radio kuwa, […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani