Dk Fenella: Wasanii jifunzeni muziki wa live
Dk Fenella alitoa kauli hiyo usiku wa juzi, wakati akifunga shindano la Club Raha Leo, lililoanza Januari 17, mwaka huu, likiwa na wasanii 60 na kukamilika juzi, likiwa na wasanii 21 ambapo 10 kati yao walipata zawadi ya fedha.
Alisema muziki wa live una wigo mpana kwa mwanamuziki na watu wanaomzunguka, kwa kuwa kupitia yeye...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania14 Apr
Dk Fenella: Wasanii jifunzeni muziki wa live
Na Festo Polea
WAZIRI wa Habari, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara, amewataka wasanii mbalimbali nchini wajifunze muziki wa moja kwa moja ‘live’ ili wajijenge kimuziki.
Dk Fenella alitoa kauli hiyo usiku wa juzi, wakati akifunga shindano la Club Raha Leo, lililoanza Januari 17, mwaka huu, likiwa na wasanii 60 na kukamilika juzi, likiwa na wasanii 21 ambapo 10 kati yao walipata zawadi ya fedha.
Alisema muziki wa live una wigo mpana kwa mwanamuziki na watu wanaomzunguka, kwa kuwa...
9 years ago
Bongo508 Oct
Wasanii wajifunze kuimba muziki wa live kwendana na mabadiliko — Barnaba
10 years ago
Dewji Blog28 Feb
Dkt. Fenella akutana na Wasanii Nchini
Hotuba Ya Waziri Wa Habari by moblog
Waziri wa Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akimueleza jambo Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. Francis Michael wakati wa mkutano na wasanii uliofanyika katika ukumbi wa uwanja mpya wa Taifa jana Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Idara ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo Prof. Herman Mwansoko akiongea na wasanii nchini na kuwaeleza kuhusu umuhimu wa sekta hiyo kushiriki kikamilifu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T-XSV2RcU3Q/VPGlH94LXaI/AAAAAAAHGfc/osWjOoF7MmM/s72-c/1.jpg)
Waziri Fenella akutana na wasanii nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-T-XSV2RcU3Q/VPGlH94LXaI/AAAAAAAHGfc/osWjOoF7MmM/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-e-jEQw7WChs/VPGlH6HqHcI/AAAAAAAHGfg/D7pt-J1uPFQ/s1600/2.jpg)
10 years ago
GPLWAZIRI FENELLA MUKANGARA AWATAKA WASANII WAIELIMISHE JAMII KUHUSU KATIBA MPYA
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Best Records kuwapa semina wasanii wa muziki
MKURUGENZI wa studio ya Best Records iliyopo jijini Dar es Salaam, Benjamin Nzogu, amesema wanakusudia kuanza kutoa semina kwa wasanii wote wanaofika kurekodi nyimbo zao kwao, hasa kwa wale wanaoonekana...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m8_7P9qWSQk/VPFjHmDlawI/AAAAAAAHGbg/lG3ff_aN4zw/s72-c/unnamed.jpg)
TUZO ZA WASANII BORA WA MUZIKI WA ZANZIBAR MWAKA 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-m8_7P9qWSQk/VPFjHmDlawI/AAAAAAAHGbg/lG3ff_aN4zw/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-snHdalURuNk/VPFjCg8JaTI/AAAAAAAHGaY/g4Y3NYL8u7I/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KgUMH0I5cGI/VPFjEPnCOWI/AAAAAAAHGas/dZIVjUoQAw0/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Gharama za muziki kichocheo cha mapenzi kwa wasanii
NA NYEMO MALECELA
VANESSA Mdee ambaye ameutambulisha rasmi wimbo wake mpya wa ‘No body but me’, ameweka wazi kwamba kushindwa kumudu gharama za uandaaji wa video, muziki bora kumekuwa sababu kubwa kwa wasanii wa kike kujiingiza katika mapenzi na watayarishaji wa muziki.
Vanessa alitoa siri hiyo juzi alipotembelea ofisi za New Habari (2006) Ltd inayochapisha magazeti ya Mtanzania, Bingwa, Dimba, Rai na The African.
Alisema wasanii wengi wa kike wanajikuta wanahitaji fedha kwa ajili ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9AYd56IeiR8/VcSJQt6x0KI/AAAAAAABTPc/P3TkA3QIw48/s72-c/11351952_951361521590111_1244190867_n.jpg)
WASANII WA MUZIKI WA BONGO FLAVOUR WAIKACHA SEMINA MUHIMU YA TCRA
![](http://2.bp.blogspot.com/-9AYd56IeiR8/VcSJQt6x0KI/AAAAAAABTPc/P3TkA3QIw48/s640/11351952_951361521590111_1244190867_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BV7loHXG008/VcSJQ8-_viI/AAAAAAABTPY/k1UKkc-zrhU/s640/11380286_1654921664791994_1455174282_n.jpg)
Nick amesema kati ya wasanii 70 waliokuwa wamealikwa kwenye semina hiyo, ni chini ya wasanii watano waliohudhuria.
“Tupo katika seminar ya wasanii wa bongo fleva iliyoandaliwa na TCRA….imeuzuriwa na viongozi wa juu na...