Dkt. Fenella akutana na Wasanii Nchini
Hotuba Ya Waziri Wa Habari by moblog
Waziri wa Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akimueleza jambo Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. Francis Michael wakati wa mkutano na wasanii uliofanyika katika ukumbi wa uwanja mpya wa Taifa jana Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Idara ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo Prof. Herman Mwansoko akiongea na wasanii nchini na kuwaeleza kuhusu umuhimu wa sekta hiyo kushiriki kikamilifu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T-XSV2RcU3Q/VPGlH94LXaI/AAAAAAAHGfc/osWjOoF7MmM/s72-c/1.jpg)
Waziri Fenella akutana na wasanii nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-T-XSV2RcU3Q/VPGlH94LXaI/AAAAAAAHGfc/osWjOoF7MmM/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-e-jEQw7WChs/VPGlH6HqHcI/AAAAAAAHGfg/D7pt-J1uPFQ/s1600/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9KDhEYwjuE8/VgUJF5skOJI/AAAAAAAH7Gg/usYXAz9p9eg/s72-c/IMG_1284%2B%2528800x446%2529.jpg)
DKT FENELLA MUKANGARA AKUTANA NA VIKUNDI VYA UJASIRIAMALI NA KUNADI SERA ZAKE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-9KDhEYwjuE8/VgUJF5skOJI/AAAAAAAH7Gg/usYXAz9p9eg/s640/IMG_1284%2B%2528800x446%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lwn7GV-MH6A/VgUJFxKZSnI/AAAAAAAH7Gk/20jPMq3hLT0/s640/IMG_1394%2B%2528600x334%2529.jpg)
10 years ago
CloudsFM14 Apr
Dk Fenella: Wasanii jifunzeni muziki wa live
Dk Fenella alitoa kauli hiyo usiku wa juzi, wakati akifunga shindano la Club Raha Leo, lililoanza Januari 17, mwaka huu, likiwa na wasanii 60 na kukamilika juzi, likiwa na wasanii 21 ambapo 10 kati yao walipata zawadi ya fedha.
Alisema muziki wa live una wigo mpana kwa mwanamuziki na watu wanaomzunguka, kwa kuwa kupitia yeye...
10 years ago
Mtanzania14 Apr
Dk Fenella: Wasanii jifunzeni muziki wa live
Na Festo Polea
WAZIRI wa Habari, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara, amewataka wasanii mbalimbali nchini wajifunze muziki wa moja kwa moja ‘live’ ili wajijenge kimuziki.
Dk Fenella alitoa kauli hiyo usiku wa juzi, wakati akifunga shindano la Club Raha Leo, lililoanza Januari 17, mwaka huu, likiwa na wasanii 60 na kukamilika juzi, likiwa na wasanii 21 ambapo 10 kati yao walipata zawadi ya fedha.
Alisema muziki wa live una wigo mpana kwa mwanamuziki na watu wanaomzunguka, kwa kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lmm0fiL-JMY/VEjzJthOegI/AAAAAAAGs6M/SwBeA7Q-Qmc/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA BOTSWANA NCHINI,PIA AKUTANA NA BALOZI WA RWANZA NCHINI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lmm0fiL-JMY/VEjzJthOegI/AAAAAAAGs6M/SwBeA7Q-Qmc/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-i0DAZLpXP_k/VEjzK1awnMI/AAAAAAAGs6c/eP8mY-ztSAo/s1600/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-H8KxGPHd5FA/Uvz4pJI_8eI/AAAAAAAFM9g/3AzRaHPP1Js/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Dkt shein akutana na balozi wa ufaransa nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-H8KxGPHd5FA/Uvz4pJI_8eI/AAAAAAAFM9g/3AzRaHPP1Js/s1600/unnamed+(26).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-L8J8go0WKFc/Uvz4pbS2DgI/AAAAAAAFM9k/24FjnPg3FkE/s1600/unnamed+(27).jpg)
11 years ago
Michuzi14 May
Waziri Fenella Mukangara akutana na Mmiliki wa Startimes
![Star1](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/y0wck-z4-qleKC4_DrcL6uS7Rm6bfCyqZ2Sfbrl7ZL8vAbAck999PlwOn2_dgUDTwzSVe1EZ1OO6mAgP3NDT0WUvN8V5aqGi3sMcOCkMHzs1hKKN4AL3U_I=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/05/Star1.jpg)
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara (kushoto) akielezea jambo kwa Mmiliku wa Startimes Bw. I MR. Pang alipotembelea ofini kwa Waziri leo jijini Dar es Salaam.
![Star3.](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/XSmO1FkFMqgVRMwvCj8nYlyUwEPTZvyon9CG9XlO-u4nC6lf9GhOfvtrJD1wgvntYWHtCjBp4PPckID5UYF2iGWqgSN18n5WWuFCPDrVTDsqt3wp8aXXmI2_=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/05/Star3..jpg)
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara (katikati) akimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Sihaba Nkinga wakati wa kikao chao na mmiliki wa Startime Bw.Pang (kushoto) alipotembelea ofoini kwa Waziri leo jijini Dar es Salaam.
![Star4. (1)](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/I2EQCeQqiHlYCSUg6qevTHpELgwzamA6Vbx4nWTYGl9JqLtv4_Aam6sVBAa7bOFV5c6us8tj4XM9HmNweWUIzt_0JX4CbZU81sxVEZ3LeG_MVT69q7wRD3AteJU=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/05/Star4.-1.jpg)
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni...
10 years ago
GPLDKT. SHEIN AKUTANA NA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI CANADA
10 years ago
MichuziDkt. Shein akutana na Balozi Mpya wa Tanzania Nchini Canada,leo