Gharama za muziki kichocheo cha mapenzi kwa wasanii
NA NYEMO MALECELA
VANESSA Mdee ambaye ameutambulisha rasmi wimbo wake mpya wa ‘No body but me’, ameweka wazi kwamba kushindwa kumudu gharama za uandaaji wa video, muziki bora kumekuwa sababu kubwa kwa wasanii wa kike kujiingiza katika mapenzi na watayarishaji wa muziki.
Vanessa alitoa siri hiyo juzi alipotembelea ofisi za New Habari (2006) Ltd inayochapisha magazeti ya Mtanzania, Bingwa, Dimba, Rai na The African.
Alisema wasanii wengi wa kike wanajikuta wanahitaji fedha kwa ajili ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Hatifungani ni kichocheo cha maendeleo
10 years ago
Uhuru NewspaperSefue: Ubunifu kichocheo cha maendeleo
NA WILLIAM SHECHAMBO WATANZANIA wametakiwa kujijengea utamaduni wa kubuni mambo mbalimbali ya kimaendeleo kwa kutumia sayansi na teknolojia kwa kuwa hakuna maendeleo bila ubunifu.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1il6JC1TrKk/VE5ZbQOIVeI/AAAAAAAGtn8/E56FRd_gjqk/s72-c/1%2Ba.jpg)
Jotoardhi kichocheo cha Uchumi - RC Arusha
Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha John Mongela wakati akifungua mafunzo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Magesa Mulongo, kuhusu masuala yanayohusu jotoardhi yaliyoanza leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC).
Mafunzo hayo...
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Rushwa ni kichocheo kikubwa cha umaskini nchini
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-O6T3Sxi-xxc/VAabEhBUg1I/AAAAAAAGcK8/BWBw6DN5yMA/s72-c/Kamnda%2BRas%2BMakunja%2Bwa%2BNgoma%2BAfrica%2Bband.jpg)
USHAURI WA KAMANDA RAS MAKUNJA KWA WASANII KUHUSU SOKO LA MUZIKI ULAYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-O6T3Sxi-xxc/VAabEhBUg1I/AAAAAAAGcK8/BWBw6DN5yMA/s1600/Kamnda%2BRas%2BMakunja%2Bwa%2BNgoma%2BAfrica%2Bband.jpg)
WASANII LAZIMA WAANGALIE KWA MAKINI MIKATABA NA MUDA KUTUMBUIZA
Baada ya vyombo vya habari kuandikia kwa wingi tukio la fujo zilizotokea wikiendi ya 30.Augost 2014 katika show ya mwanamuziki Diamond, Blog ya jamii na timu ya Michuzi Media imefanya juhudi za kutaka kusikia maoni na mtazamo wa mwanamuziki wa Tanzania aliyeupigania muziki wa Tanzania katika soko la ughaibuni kwa miaka 21 si mwingine bali ni Kamanda ras Makunja wa FFUau...
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Fahamu jinsi unavyoweza kutumia kushindwa kwako kama kichocheo cha kupata ushindi maishani
10 years ago
Dewji Blog08 May
Kituo cha redio cha Efm chamkumbuka mwanamuziki Juma Nature kwa mchango wake katika muziki nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-yMTInvMETOk/VUw59V-lecI/AAAAAAAAQCE/vm-0zsAz7sw/s640/DU7C5232.jpg)
Mkuu wa Mawasiliano wa Kituo cha Redio cha EFM, Denis Ssebo (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha lijulikalo kama Komaa Concert litalofanyika mwishoni mwa mwezi mei kwa ajili ya kuadhimisha miaka 16 ya muziki ya msanii Juma Nature ‘maarufu Kiroboto’ namna ya kuonesha kuthamini mchango wake katika muziki wa bongo fleva na kuwakumbusha watanzania juu ya safari ya muziki wa Tanzania kwa ujumla. Kulia ni mwanamuziki huyo, Juma Nature...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-G7uAjCukzKc/VGsjm6yJd_I/AAAAAAACu4c/8hXrJxjIG2c/s72-c/1.jpg)
BASATA NA KITUO CHA UTAMADUNI CHA UJERUMAN (GOETH INSTITUT) WAENDESHA MAFUNZO KWA WASANII WA SANAA ZA MIKONO
![](http://3.bp.blogspot.com/-G7uAjCukzKc/VGsjm6yJd_I/AAAAAAACu4c/8hXrJxjIG2c/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vR33RtLDsoM/VGsjm8i4ynI/AAAAAAACu4k/CfwfPWcQj3E/s1600/2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdNYunJg0zFgOAAs68UgEMKhGa9VgzYtB1spjXuZAn5ZEovOEAVkbyC0lgP-3J4XapXF6qN9r29GdlSzxwMJST-G/MeninahTimesFmleo_full.jpg?width=650)
MENINAH: NAOGOPA MAPENZI YATAVURUGA MUZIKI WANGU