Jotoardhi kichocheo cha Uchumi - RC Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-1il6JC1TrKk/VE5ZbQOIVeI/AAAAAAAGtn8/E56FRd_gjqk/s72-c/1%2Ba.jpg)
Na Asteria Muhozya, ArushaImeelezwa kuwa, nguvu ya nishati mchanganyiko ikiwemo jotoardhi ni kichocheo na kipimo cha maendeleo kwa nchi yoyote kutokana na umuhimu wa nishati hiyo kwa shughuli mbalimbali zikiwemo za uchumi na viwanda.
Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha John Mongela wakati akifungua mafunzo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Magesa Mulongo, kuhusu masuala yanayohusu jotoardhi yaliyoanza leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC).
Mafunzo hayo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Hatifungani ni kichocheo cha maendeleo
10 years ago
Uhuru NewspaperSefue: Ubunifu kichocheo cha maendeleo
NA WILLIAM SHECHAMBO WATANZANIA wametakiwa kujijengea utamaduni wa kubuni mambo mbalimbali ya kimaendeleo kwa kutumia sayansi na teknolojia kwa kuwa hakuna maendeleo bila ubunifu.
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Rushwa ni kichocheo kikubwa cha umaskini nchini
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nnByrYMir-U/ViDaGE7x67I/AAAAAAAIAUQ/AykBTLxRxqY/s72-c/Pic%2B1.jpg)
KAMPUNI YA UENDELEZAJI JOTOARDHI HAPA NCHINI YATOA ELIMU YA NISHATI YA JOTOARDHI KWA WAKAZI WA KISAKI, MOROGORO VIJIJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-nnByrYMir-U/ViDaGE7x67I/AAAAAAAIAUQ/AykBTLxRxqY/s640/Pic%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YCCkQ4TDzms/ViDaF4-g9_I/AAAAAAAIAUM/gnjjvvM0Mj4/s640/Pic%2B2.jpg)
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Gharama za muziki kichocheo cha mapenzi kwa wasanii
NA NYEMO MALECELA
VANESSA Mdee ambaye ameutambulisha rasmi wimbo wake mpya wa ‘No body but me’, ameweka wazi kwamba kushindwa kumudu gharama za uandaaji wa video, muziki bora kumekuwa sababu kubwa kwa wasanii wa kike kujiingiza katika mapenzi na watayarishaji wa muziki.
Vanessa alitoa siri hiyo juzi alipotembelea ofisi za New Habari (2006) Ltd inayochapisha magazeti ya Mtanzania, Bingwa, Dimba, Rai na The African.
Alisema wasanii wengi wa kike wanajikuta wanahitaji fedha kwa ajili ya...
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Fahamu jinsi unavyoweza kutumia kushindwa kwako kama kichocheo cha kupata ushindi maishani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-j05GOWYLiB8/XvB8e8SGAoI/AAAAAAALu5Y/fHlSZlSuHNMefCThnNXjW4J2AiQlxplHQCLcBGAsYHQ/s72-c/hCWUmxf2_400x400.png)
TAKUKURU MANYARA YAMPANDISHA MAHAKAMANI MMILIKI WA KITUO CHA MAFUTA CHA SIMON LEMEYA KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-j05GOWYLiB8/XvB8e8SGAoI/AAAAAAALu5Y/fHlSZlSuHNMefCThnNXjW4J2AiQlxplHQCLcBGAsYHQ/s320/hCWUmxf2_400x400.png)
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilayani Simanjiro, Manyara kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka itamfikisha katika Mahakama ya Wilaya mmiliki wa Kituo cha mafuta cha Simon Lemeya kwa makosa ya uhujumu uchumi.
Lemeya atafikishwa Mahakama ya Wilaya ya Simanjiro leo Juni 22 kwa makosa ya kughushi, matumizi ya nyaraka, kudanganya na kuisababishia serikali hasara ya Sh Milioni 5,609,000 kinyume cha sheria ya uhujumi uchumi Cap 200 marejeo ya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bm_xZvGMFNk/Vnd9mWghqDI/AAAAAAAAFOw/eMl7_1caneA/s72-c/1.jpg)
WAZIRI DKT. MAHIGA ATEMBELEA KITUO CHA MIKUTANO CHA KIMATAIFA CHA AICC JIJINI ARUSHA
Balozi Mahiga alisema hayo Desemba 19 baada ya kufanya ziara kwenye eneo hilo na Kituo cha mikutano cha kimataifa cha AICC .
Eneo hilo litajengwa Mahakama ya Kimataifa ya Kimbari(MICT)Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu(AfCHPR) na...
10 years ago
Dewji Blog21 Sep
Kampuni ya vifaa vya kielektroniki Samsung yalenga kukuza uchumi wa jiji la Arusha
Kampuni ya Samsung inazindua rasmi duka kubwa na kituo chake cha huduma kwa wateja lililopo barabara ya Sokoine mjini Arusha siku ya leo. Uzinduzi huo utawawezesha wateja wake wote mkoani Arusha kupata huduma stahiki na bidhaa halisi za Samsung. Kituo hiki ni cha kwanza kuzinduliwa mkoani Arusha na kampuni hii yenye idadi kubwa ya watumiaji na vifaa bora vya kielektroniki ulimwenguni.
“Mtazamo wa maisha ya wateja hubadilika kwa kasi kubwa na kuwafanya kuongeza mahitaji ya bidhaa na huduma...