Sefue: Ubunifu kichocheo cha maendeleo
NA WILLIAM SHECHAMBO WATANZANIA wametakiwa kujijengea utamaduni wa kubuni mambo mbalimbali ya kimaendeleo kwa kutumia sayansi na teknolojia kwa kuwa hakuna maendeleo bila ubunifu. Balozi Ombeni SefueViongozi wa nchi wamekuwa wakionyesha njia katika ubunifu kwenye sekta zote tangu awamu ya kwanza ya Mwalimu Julius Nyerere, mpaka sasa ambapo maendeleo yanazidi kuonekana wakati nchi ikielekea kwenye uchumi wa kati. Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alitoa rai hiyo Dar es Salaam jana,...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Hatifungani ni kichocheo cha maendeleo
9 years ago
MichuziKATIBU KIONGOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA KIKAO KAZI CHA WADAU WA KUCHOCHEA MAENDELEO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1il6JC1TrKk/VE5ZbQOIVeI/AAAAAAAGtn8/E56FRd_gjqk/s72-c/1%2Ba.jpg)
Jotoardhi kichocheo cha Uchumi - RC Arusha
Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha John Mongela wakati akifungua mafunzo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Magesa Mulongo, kuhusu masuala yanayohusu jotoardhi yaliyoanza leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC).
Mafunzo hayo...
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Rushwa ni kichocheo kikubwa cha umaskini nchini
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Gharama za muziki kichocheo cha mapenzi kwa wasanii
NA NYEMO MALECELA
VANESSA Mdee ambaye ameutambulisha rasmi wimbo wake mpya wa ‘No body but me’, ameweka wazi kwamba kushindwa kumudu gharama za uandaaji wa video, muziki bora kumekuwa sababu kubwa kwa wasanii wa kike kujiingiza katika mapenzi na watayarishaji wa muziki.
Vanessa alitoa siri hiyo juzi alipotembelea ofisi za New Habari (2006) Ltd inayochapisha magazeti ya Mtanzania, Bingwa, Dimba, Rai na The African.
Alisema wasanii wengi wa kike wanajikuta wanahitaji fedha kwa ajili ya...
5 years ago
MichuziMAENDELEO YA UBUNIFU WA MJI WA SERIKALIYAJADILIWA
Ofisi ya Waziri Mkuu inaendelea na zoezi la kuratibu awamu ya pili ya uendelezaji wa mji wa serikali eneo la Mtumba, makao makuu ya nchi jijini Dodoma. Awamu hii ya pili inahusisha Ubunifu na ujenzi wa majengo makubwa ya Ofisi zitakazotumiwa na Wizara za serikali.
Akiongea, leo tarehe 20 Aprili, 2020, katika kikao cha Kamati ya Makatibu wakuu na Wataalamu wa michoro ya Ubunifu na usanifu , Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu, (Waziri Mkuu na Bunge), Tixon Nzunda, amefafanua kuwa awamu hii ya...
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Fahamu jinsi unavyoweza kutumia kushindwa kwako kama kichocheo cha kupata ushindi maishani
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EHJA0J19GxI/U3DZRK0JMCI/AAAAAAAFhJg/gCKI7uiFi2Q/s72-c/unnamed+(52).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MFUKO WA UBUNIFU NA MAENDELEO YA WATU (HDIF)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EHJA0J19GxI/U3DZRK0JMCI/AAAAAAAFhJg/gCKI7uiFi2Q/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0nQQARdBTDU/U3DZRCNZnoI/AAAAAAAFhJU/cMjPQwMElAc/s1600/unnamed+(53).jpg)
11 years ago
GPLKATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE ATEMBELEA KITUO CHA TAIFA CHA UTUNZAJI KUMBUKUMBU (NRC) DODOMA