KUMBE LINEX ALIKUJA DAR KUFANYA MUZIKI WA HIPHOP MWISHO AKAISHIA KUIMBA
STAA wa Bongo Fleva,Linex Sunday Mjeda amesema mashairi ya ngoma zake yana ufundi sana kama wanavyofanya watunzi wa ngoma za hiphop na yeye alisafiri kutoka mkoani Kigoma kuja Dar Es Salaam kama rapa japokuwa ngoma ya kwanza iliyomtambulisha ilikuwa ya kuimba, ya Mama Halima aliyoitoa mwaka 2010 na 2011.
Linex anafunguka ilikuaje na kina nani walimshauri kuimba.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxx1Gw25qwUkWZDtwA6OxBl1srh*dwqeS2-8RQ83Qgmc8oQ8RZsKFbrIBpApDgJn5u91O4*4M67uF5P6RW3yyPi3/MAD.jpg?width=650)
MAD ICE MKONGWE WA MUZIKI ANAYEVUTIWA NA LINEX
9 years ago
Bongo Movies16 Nov
Wema Sepetu Kanihamasisha Kuimba Muziki - Leyla
Msanii wa kike ambaye ameingia kwenye muziki wa Bongo Flava na kuachia wimbo wake mmoja wenye mahadhi ya Reggae Leyla Walden, amesema msanii Wema Sepetu ndiye aliyemuhamasisha kuingia rasmi kwenye muziki.
Leyla ameyasema hayo alipokuwa akiongea na East Africa Radio, na kueleza kuwa baada ya Wema Sepetu kuandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kuwa binti huyo ana kipaji, ilikuwa ni msaada mkubwa kwake na kuamini kuwa anaweza kufanya kitu.
"Nimekuwa nikiimba muda mrefu tangia nipo mdogo, it...
9 years ago
Bongo508 Oct
Wasanii wajifunze kuimba muziki wa live kwendana na mabadiliko — Barnaba
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Ally Kiba: Aeleza mambo matatu yaliyomsimamisha kuimba muziki kwa miaka mitatu
9 years ago
Bongo530 Dec
Una kipaji cha kuimba? Unaweza kushinda zawadi kibao kutoka #TecnoOwnTheStage kwa kufanya hivi
![12356592_764354003692580_994120953_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12356592_764354003692580_994120953_n-300x194.jpg)
Je una kipaji cha kuimba? Unahisi unaweza kuwafunika washiriki wa shindano la Tecno Own The Stage?
Basi una nafasi ya kushinda zawadi kibao kutoka Tecno.
Unachotakiwa kufanya ni kuupload video ya sekunde 15 ya wimbo alioimba mshiriki yeyote na kuipost kwenye ukurasa wa Facebook wa TECNO Own The Stage.
Video yako ikipata likes nyingi utashinda zawadi kila wiki.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
10 years ago
CloudsFM16 Feb
Kumbe Dully alipata taarifa za kifo cha baba yake akijiandaa kupanda stejini kufanya shoo
Habari zinasema kuwa msanii wa Bongo Fleva,Dully Sykes alipata taarifa za msiba wa baba yake wakati akijiandaa kupanda stejini kwenye shoo moja iliyofanyika mwishoni mwa wiki hii maeneo ya Mbezi Luis,jijini Dar.
11 years ago
GPL