MAD ICE MKONGWE WA MUZIKI ANAYEVUTIWA NA LINEX
Stori: Deogratius Mongela MMOJA wa wasanii wa muda mrefu kunako Bongo Fleva, Ahmed Mohamed Kakoyi ‘Mad Ice’, ambaye kwa sasa anafanya muziki wake kimataifa zaidi, amesema anavutiwa na wasanii wa nyumbani, lakini anasikitika kwamba wengi wao wanaiga muziki wa Nigeria. Msanii wa muda mrefu kunako Bongo Fleva, Ahmed Mohamed Kakoyi ‘Mad Ice’, Katika mahojiano maalum yaliyofanyika ofisini kwake, Mikocheni...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com10 years ago
GPL17 Nov
11 years ago
GPLMAD ICE AKIENDESHA MAISHA EPIC STUDIO ZILIZOKO MIKOCHENI
10 years ago
GPLMAD ICE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS, ALONGA NA GLOBAL TV ONLINE
10 years ago
CloudsFM23 Dec
KUMBE LINEX ALIKUJA DAR KUFANYA MUZIKI WA HIPHOP MWISHO AKAISHIA KUIMBA
STAA wa Bongo Fleva,Linex Sunday Mjeda amesema mashairi ya ngoma zake yana ufundi sana kama wanavyofanya watunzi wa ngoma za hiphop na yeye alisafiri kutoka mkoani Kigoma kuja Dar Es Salaam kama rapa japokuwa ngoma ya kwanza iliyomtambulisha ilikuwa ya kuimba, ya Mama Halima aliyoitoa mwaka 2010 na 2011.Linex anafunguka ilikuaje na kina nani walimshauri kuimba.
10 years ago
Mwananchi21 Mar
Mkongwe wa miondoko ya R&B mwenye muziki usiochuja
9 years ago
MichuziMsanii mkongwe wa muziki wa Bongo Flava Luteni Karama aja kivingine
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Flava, Luteni Karama (kushoto), amefanya ujio mpya wa kimuziki baada ya kuachia ngoma moja kali iitwayo ‘The Way I Feel’ akimshirikisha msanii toka Ufaransa, Jerry Julian (chini) na tayari imeanza kufanya vema kwenye mitandao na vituo vya redio na runinga.
Karama amepasha kuwa, baada ya kimya kirefu, ameamua kurejea kwenye game kwa mtindo tofauti ambapo muelekeo wake unathibitika katika kazi yake mpya ya The Way I Feel ambayo tayari...
10 years ago
Bongo Movies29 Dec
Leo ni birthday ya mkongwe wa muziki nchini Professa Jay. Hizi ni baadhi ya salamu za pongezi alizopata.
Leo ni birthday ya kaka mkubwa Joseph Haule ama Professa Jay anayetimiza miaka kadhaa hapa duniani. Na hizi ndi baadhi ya salamu za pongezi alizozipata toka kwa mastaa mablimbali wa filamu na muziki nchini.
KAJALA - Hbd kaka mkuu nakutakia maisha mema yenye baraka tele Professa Jay
JACQUILNE WOLPER . Mungu Akupe Afya Njema Na Akulinde pamoja na Kuendelea Kukupa Mafanikio,Mambo Mengi Umeyafanya Kwenye Muziki Wetu. Respect Sana. Nakukubali sana kaka yangu naunajua
FLORAH...
11 years ago
MichuziNGOMA AFRICA BAND YA UJERUMANI YAOMBOLEZA KIFO CHA MWANA MUZIKI MKONGWE MUHIDIN GURUMO (RIP)