Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAD ICE MKONGWE WA MUZIKI ANAYEVUTIWA NA LINEX

Stori: Deogratius Mongela MMOJA wa wasanii wa muda mrefu kunako Bongo Fleva, Ahmed Mohamed Kakoyi ‘Mad Ice’, ambaye kwa sasa anafanya muziki wake kimataifa zaidi, amesema anavutiwa na wasanii wa nyumbani, lakini anasikitika kwamba wengi wao wanaiga muziki wa Nigeria. Msanii wa muda mrefu kunako Bongo Fleva, Ahmed Mohamed Kakoyi ‘Mad Ice’, Katika mahojiano maalum yaliyofanyika ofisini kwake, Mikocheni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAD ICE AKIENDESHA MAISHA EPIC STUDIO ZILIZOKO MIKOCHENI

Mad Ice ndani ya Studio za Epic maeneo ya Mikocheni. Muonekano wa Epic Studio kwa ndani. Mad Ice, Man Fred na Baraka wa kundi la The Core wakijadili jambo ndani ya studio.…

 

10 years ago

GPL

MAD ICE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS, ALONGA NA GLOBAL TV ONLINE

Mad Ice akiwa ndani ya studio za Global TV Online leo. Mad Ice akibadilishana mawazo na Mwandishi wa Global, Andrew  Carlos kabla ya mawasiliano.…

 

10 years ago

CloudsFM

KUMBE LINEX ALIKUJA DAR KUFANYA MUZIKI WA HIPHOP MWISHO AKAISHIA KUIMBA

STAA wa Bongo Fleva,Linex Sunday Mjeda amesema mashairi ya ngoma zake yana ufundi sana kama wanavyofanya watunzi wa ngoma za hiphop na yeye alisafiri kutoka mkoani Kigoma kuja Dar Es Salaam kama rapa japokuwa ngoma ya kwanza iliyomtambulisha ilikuwa ya kuimba, ya Mama Halima aliyoitoa mwaka 2010 na 2011.Linex anafunguka ilikuaje na kina nani walimshauri kuimba.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkongwe wa miondoko ya R&B mwenye muziki usiochuja

Licha ya kuwa nyimbo zake nyingi alizitoa miaka ya 90 lakini zinapopigwa mpaka sasa zinaonekana kuwagusa wapenzi wengi wa muziki wenye miondoko ya taratibu.

 

9 years ago

Michuzi

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Flava Luteni Karama aja kivingine

Na Kaka Mwinyi


Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Flava, Luteni Karama (kushoto), amefanya ujio mpya wa kimuziki baada ya kuachia ngoma moja kali iitwayo ‘The Way I Feel’ akimshirikisha msanii toka Ufaransa, Jerry Julian (chini) na tayari imeanza kufanya vema kwenye mitandao na vituo vya redio na runinga.


Karama amepasha kuwa, baada ya kimya kirefu, ameamua kurejea kwenye game kwa mtindo tofauti ambapo muelekeo wake unathibitika katika kazi yake mpya ya The Way I Feel ambayo tayari...

 

10 years ago

Bongo Movies

Leo ni birthday ya mkongwe wa muziki nchini Professa Jay. Hizi ni baadhi ya salamu za pongezi alizopata.

 

Leo ni birthday ya kaka mkubwa Joseph Haule ama Professa Jay anayetimiza miaka kadhaa hapa duniani. Na hizi ndi baadhi ya salamu za pongezi alizozipata toka kwa mastaa mablimbali wa filamu na muziki nchini.

 

KAJALA  -  Hbd kaka mkuu nakutakia maisha mema yenye baraka tele Professa Jay

 

JACQUILNE WOLPER . Mungu Akupe Afya Njema Na Akulinde pamoja na Kuendelea Kukupa Mafanikio,Mambo Mengi Umeyafanya Kwenye Muziki Wetu. Respect Sana. Nakukubali sana kaka yangu naunajua

 

FLORAH...

 

11 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND YA UJERUMANI YAOMBOLEZA KIFO CHA MWANA MUZIKI MKONGWE MUHIDIN GURUMO (RIP)

 Tumepokea kwa huzuni tele na majonzi makubwa taarifa ya kifo cha mkongwe wa muziki wa dansi nchini Tanzania na Africa ya mashariki marehemu mzee Muhidin Maalimu Gurumo Kilichotokea leo 13.04.2014 huko nyumbani Tanzania. Pamoja na kuwa mbali na nyumbani bendi ya muziki wa dansi Ngoma Africa Band yenye makao yake nchini Ujerumani  inaungana na watanzania wote popote pale katika kuomboleza msiba huu. Tunatoa pole zetu kwa bendi ya Msondo Ngoma pamoja na familia ya marehemu,mwenyezi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani