Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii wa kuimba hatushirikishani kwasababu kila mmoja anamtegea mwenzie amuanze — Rich Mavoko

Msanii wa bongo fleva Rich Mavoko amesema kuwa wasanii wengi wa Bongo fleva huwa hawashirikishani katika kazi zao kutokana na kila msanii kumtegea msanii mwingine ndiyo amuanze kumfata na kumuomba wafanye kazi. “Kuhusu swala la kufanya nyimbo mi nafikiri kila mtu anategemea mwenzake atamuanza, atampigia simu ooh bwana nataka kufanya nyimbo na wewe lakini kila […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Rich Mavoko ataja sababu zilizomfanya awe kimya kwa zaidi ya mwaka mmoja

mavoko new

Rich Mavoko ameachia wimbo mpya Jumanne (Nov.24), ikiwa ni mwaka mzima na miezi miwili toka alipoachia single ya mwisho ‘Pacha Wangu’.

mavoko new

Wakati akitambulisha single mpya iitwayo ‘Naimani’ kupitia XXL ya Clouds Fm, Mavoko amezitaja sababu zilizomfanya asitoe wimbo kwa kipindi kirefu toka mwaka jana.

“Cha kwanza Pacha Wangu ni wimbo nimetoa mwezi wa 9 (2014) lakini pia imekuwepo kwa muda mrefu, sisemi kwamba natakiwa nitoe nyimbo ikae muda mrefu hapana.”

Mavoko aliendelea,

“lakini kusuasua...

 

10 years ago

Bongo5

Talaka ya Amber Rose na Wiz Khalifa: Kila mmoja anamshutumu mwenzie kuchepuka

Ndoa ya Wiz Khalifa na Amber Rose imefika ukingoni. Amber Rose anamshutumu Wiz Khalifa kuwa amekuwa akimsaliti kwa kipindi kirefu na kumtolea sababu zisizo na kichwa wala wa miguu. Vyanzo vilivyo karibu na Amber, vimeiambia TMZ kuwa tangu kuanza kwa ziara ya Wiz, July mrembo huyo amekuwa akimhisi mume wake kuchepuka. Amber anawaambia marafiki zake […]

 

5 years ago

Bongo5

Mavoko: Nimeamua kuja na mtindo wa kuimba utakaokuwa wangu peke yangu

Rich Mavoko amesema anaendelea kutengeneza mtindo wa kuimba utakaomfanya asifanane na msanii yeyote.

Ameiambia Bongo5 kuwa mtindo huo aliuanzisha kama majaribio kwenye Kokoro na baada ya kuona watu wameuelewa, ameuboresha zaidi kwenye wimbo mpya aliofanya na Harmonize, Show Me.

“Nilikuwa natamani nipate style ambayo haifanywi na watu wengine Bongo, kama nilivyofanya kwenye Kokoro na kwenye verse ya Show Me,” Mavoko ameiambia Bongo5. “Soko pia linahitaji ubunifu, hata ninachokifanya ni...

 

10 years ago

GPL

11 years ago

Tanzania Daima

Rich Mavoko aeleza ya moyoni

MSANII wa Bongo fleva, Richard Martin ‘Rich Mavoko’ amewataka wasanii wenzake wawe na moyo wa kuwakumbuka wenzao waliotangulia mbele za haki hata kwa kuwatembelea wazazi au ndugu zao waliopo duniani....

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Bongo5

Music: Rich Mavoko – Naimani

Rich-Mavoko-Naimani

Wimbo mpya wa msanii wa bongo fleva Rich Mavoko unaitwa “Naimani”. Producer Boy David & Aby Dad

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Rich Mavoko — Tururu

Hii ndo ngoma Mpya kutoka kwa Rich Mavoko ngoma inaitwa “Tururu” imefanyika katika Studio za Sharo Baro Records Producer Bab Junior

 

10 years ago

Africanjam.Com

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani