Barnaba ana majibu ya kwanini hapati tuzo licha ya kuwa mchango wake kwenye muziki unafahamika
Msanii Barnaba anafahamika sio tu kwa uwezo wake mkubwa wa kuimba live na kupiga vyombo, bali hata uandishi wa nyimbo. Ameshawaandikia hits wasanii wengi wakubwa. Lakini pamoja na hayo yote bado hajabahatika kushinda tuzo, na yeye binafsi ana majibu ya kwanini anadhani hajapata tuzo. “Kila kitu kina wakati,wataelewa tu uzuri mashabiki wenyewe wanaelewa nani mtunzi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Nov
Lollipop aeleza kwanini haimbi muziki wa Bongo fleva licha ya kuwaandikia hits wasanii wengine
![lollipop2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/lollipop2-300x194.jpg)
Mwandishi wa nyimbo pamoja na mtayarishaji wa muziki Lollipop ametoa sababu za kwanini yeye anaimba muziki wa gospel na si Bongo Fleva, licha ya kuwa ameshawaandikia hits wasanii wengine wanaofanya Bongo fleva.
Lollipop ndiye mwandishi wa ‘Siachani Nawe’ na ‘Nivumilie’ za Barakah Da Prince, pamoja na ‘Basi Nenda’ na nyingine za Mo Music.
“Muziki wa gospel kwangu mimi ni maisha kamili, lakini production pamoja na ishu za uandishi nimefanyika kuwa sehemu ya kazi yangu,” alisema Lollipop...
10 years ago
Vijimambo18 Feb
DULLY SYKES AELEZEA MCHANGO WA BABA YAKE KATIKA MUZIKI WAKE
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/dullynababaake.jpg)
Kutokana na Msiba huo Tokea Juzi simu ya Dully Imekuwa haipatikani Ila leo @DjHaazu wa @MamboJamboRadio amempata na Kupiga naye Story mbili tatu kuhusiana na Marehemu Mzee Sykes kwa kifupi.Katika Mazungumzo yake Dully ameeleza kuwa Mzee Wake alikuwa anaugua Muda mrefu na...
9 years ago
Bongo527 Oct
Adele akiri kuwa mtoto wake si shabiki wa muziki wake
10 years ago
Dewji Blog08 May
Kituo cha redio cha Efm chamkumbuka mwanamuziki Juma Nature kwa mchango wake katika muziki nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-yMTInvMETOk/VUw59V-lecI/AAAAAAAAQCE/vm-0zsAz7sw/s640/DU7C5232.jpg)
Mkuu wa Mawasiliano wa Kituo cha Redio cha EFM, Denis Ssebo (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha lijulikalo kama Komaa Concert litalofanyika mwishoni mwa mwezi mei kwa ajili ya kuadhimisha miaka 16 ya muziki ya msanii Juma Nature ‘maarufu Kiroboto’ namna ya kuonesha kuthamini mchango wake katika muziki wa bongo fleva na kuwakumbusha watanzania juu ya safari ya muziki wa Tanzania kwa ujumla. Kulia ni mwanamuziki huyo, Juma Nature...
9 years ago
Bongo528 Nov
Msechu aeleza kwanini hawezi kuwa na wivu kwa mchumba wake
![Peter Msechu na Mpenzi wake](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Peter-Msechu-na-Mpenzi-wake-300x194.jpg)
Peter Msechu amesema anampenda na kumwamini mke wake.
Akizungumza na E-Newz ya EATV, Msechu alisema mchumba wake aliyezaa naye mtoto mmoja wamefahamiana tangu mwaka 2002.
“Namwachaje mwanamke nimemganda kama luba, hata nimkute na wanaume 4000 namwambia ‘mama kaoge tuendelee na maisha,” alisema alisema Mchechu.
“Maisha ni mazuri sana, mama wa mtoto wangu nimekutana naye mwaka 2002, hesabu huu ni mwaka wa ngapi nipo na huyu mama? Na huyo mama ndio aliyenipigia simu akaniambia ‘mpenzi wangu...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7QPs5KjijR8/VWSJdQxwhGI/AAAAAAAAuco/1Vn-4TUVI-I/s72-c/k-linn.jpg)
K-Lynn azungumzia maisha yake kama mama, kwanini hawezi kurudi kwenye muziki na kazi ya interior design
![](http://1.bp.blogspot.com/-7QPs5KjijR8/VWSJdQxwhGI/AAAAAAAAuco/1Vn-4TUVI-I/s640/k-linn.jpg)
Ni nadra sana kukutana na Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi maarufu kama K-Lynn lakini kupitia tuzo za watu tulifanikiwa kupiga story mbili tatu.
K-Lynn ameiambia Bongo5 kuwa maisha akiwa kama mama watoto wawili mapacha yamekuwa ya aina yake na anayafurahia kila sekunde.“Nimejifunza kuwa mvumilivu, nimejifunza upendo ambao sijawahi kujisikia kabla. Jinsi unavyompenda mtoto ni tofauti ambavyo unaweza kumpenda mtu yoyote yule katika maisha yako,” alisema.
Katika hatua nyingine Miss Tanzania huyo wa...
9 years ago
Bongo514 Sep
Picha: Beyonce na Jay Z mapenzi tele licha ya tetesi kuwa ndoa yao ipo kwenye mawe tena
10 years ago
Bongo510 Jul
Eddy Kenzo aeleza sababu za kwanini BET walimkabidhi tuzo yake kwenye Red Carpert