Rihanna aanzisha kampuni ya urembo na mitindo, Fr8me
Rihanna anazidi kuimarisha biashara zake kwa kuanzisha kampuni ya masuala ya urembo na mitindo iitwayo Fr8me.
Kwa mujibu wa mtandao wa The Hollywood Reporter, kampuni hiyo ya Los Angeles itawasaidia wasanii kupata matangazo, upigaji picha wa majarida na kujiandaa na matukio ya red carpet.
Watu watakaosimamia kampuni hiyo ni pamoja na makeup artist wake, Mylah Morales, stylist Jason Bolden anayefanya kazi na Taraji P. Henson, hairstylist Patricia Morales anayefanya kazi na Fergie na Marcia...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLRIHANNA AANZISHA KAMPUNI YA UREMBO (FR8ME)
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Rihanna: Nyota anayezua gumzo kwenye mitindo
11 years ago
GPL9 years ago
GPLSIMULIZI YA MRISHO MPOTO: AANZISHA KAMPUNI, APELEKWA MAHAKAMANI
9 years ago
Bongo516 Dec
Daz Baba aanzisha kampuni ya kutengeneza video, ‘Premiere MK’
Msanii wa kundi la zamani Daz Nundaz, Daz Baba, amefungua kampuni yake ya kufanya video iitwayo ‘Premiere MK.’
Rapa huyo aliyewahi kutamba na wimbo ‘Namba 8’ ameiambia Bongo5 kuwa kampuni hiyo tayari imeshazinduliwa kwa kufanya video ya wimbo wake mpya uitwao Viwanjani.
“Lengo la kampuni yetu ni kusogeza sanaa mbele kwa sababu watu wengi wenye kampuni zao za video wanaringa sana. Kwahiyo tukaamua kuanzisha kampuni yetu ili itusaidie sisi pamoja na wasanii wengine. Kwahiyo kupitia kampuni...
11 years ago
MichuziKampuni ya Chemicotex yaja na bidhaa ya Tressa kwa ajili kuboresha urembo wa nywele za Mtanzania
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAPATIWA MAFUNZO YA UREMBO NA MSHAURI WA KITAALAMU WA KAMPUNI YA KIMATAIFA YA MARY KAY
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA UREMBO YA MARY KAY, YATOA DARASA KWA WAFANYAKAZI WA KIKE WA VODACOM KUHUSU MATUMIZI YA VIPODOZI
11 years ago
BBCSwahili10 Jun
Je Urembo wa kujichubua ni urembo?