Sheria itungwe kuruhusu muungano wa vyama
Juzi vyama vya upinzani vimeandika historia mpya tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992, baada ya vyama vinne vya upinzani vinavyounda Ukawa, kumtangaza mgombea mmoja wa urais wa Jamhuri ya Muungano na mgombea mmoja kwa nafasi ya urais wa Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nUyBPLoCMdY/U2eNE8ZjoJI/AAAAAAAFfqE/MtFyxPf80GQ/s72-c/MMGS4579.jpg)
SHERIA GANI INATUMIKA KURUHUSU UHIFADHI TAKA WA AINA HII,KANDO KANDO YA BARABARA KUU??
![](http://3.bp.blogspot.com/-nUyBPLoCMdY/U2eNE8ZjoJI/AAAAAAAFfqE/MtFyxPf80GQ/s1600/MMGS4579.jpg)
11 years ago
Habarileo14 Feb
Vyama vyaazimia kulinda Muungano
VIONGOZI wa vyama vya siasa, asasi za kiraia na asasi za dini waliokutana kutafuta maridhiano kabla ya kuanza kwa Bunge la Katiba wiki ijayo, wamekubaliana kuhakikisha Muungano uliopo unaimarishwa na kudumishwa.
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Maige: Tunakosea kuupa Muungano sura ya vyama
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Vyama vyataka tume iondoe utata hati ya Muungano
VYAMA vya siasa vya UND, UNDP na Demokrasia Makini, wameitaka Tume ya Marekebisho ya Katiba kutoa ufafanuzi juu ya hati ya muungano waliyoitumia wakati wa kuandaa rasimu ya katiba. Wakizungumza...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Maige avikosoa vyama vya siasa kuhodhi Muungano
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Siasa za vyama ziendeshwe kwa mujibu wa sheria
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Jaji Mutungi avitaka vyama kufuata sheria
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi imevitaka vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi ndogo unaoendelea hivi sasa katika jimbo la Kalenga na ule wa Chalinze kuzingatia kanuni...
9 years ago
Habarileo08 Sep
Vyama vya siasa vyatakiwa kutii sheria za nchi
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, amevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi mkuu, kuheshimu na kutii sheria za nchi hasa sheria ya usajili wa vyama na gharama za uchaguzi.
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Msajili avinyoshea kidole vyama vya siasa, ataka viheshimu Sheria ya Uchaguzi