Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sheria itungwe kuruhusu muungano wa vyama

Juzi vyama vya upinzani vimeandika historia mpya tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992, baada ya vyama vinne vya upinzani vinavyounda Ukawa, kumtangaza mgombea mmoja wa urais wa Jamhuri ya Muungano na mgombea mmoja kwa nafasi ya urais wa Zanzibar.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SHERIA GANI INATUMIKA KURUHUSU UHIFADHI TAKA WA AINA HII,KANDO KANDO YA BARABARA KUU??

 Kamera ya Globu ya Jamii,mchana wa leo imepita kwenye barabara ya Morogoro rodi kuanzia Magomeni mpaka Shekilango na kukuta malundo ya taka ngumu yakiwa yamekusanywa kwa mafungu mafungu namna hii.hapo ndipo swali likanijia,kwamba hivi uhifadhi taka wa namna hii umeruhusiwa kisheria ama ni ndio mambo yetu yake yale kuleana.?? na kama ni Sheria ni ipi inayoruhusu uchafuzi wa mazingira namna hii?? nilijikuta nikikosa majibu na ndipo ilipobidi kuja na mada hii hapa Globu ya Jamii ili tuweze...

 

11 years ago

Habarileo

Vyama vyaazimia kulinda Muungano

VIONGOZI wa vyama vya siasa, asasi za kiraia na asasi za dini waliokutana kutafuta maridhiano kabla ya kuanza kwa Bunge la Katiba wiki ijayo, wamekubaliana kuhakikisha Muungano uliopo unaimarishwa na kudumishwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Maige: Tunakosea kuupa Muungano sura ya vyama

Wiki hii, Bunge Maalumu la Katiba limepamba moto kutokana na mipasho na vijembe ambavyo vimeibua gumzo kwa watazamaji na wasikilizaji wa chombo hicho muhimu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vyama vyataka tume iondoe utata hati ya Muungano

VYAMA vya siasa  vya UND, UNDP na Demokrasia Makini, wameitaka Tume ya Marekebisho  ya Katiba kutoa ufafanuzi juu ya hati ya muungano waliyoitumia wakati wa kuandaa rasimu ya katiba. Wakizungumza...

 

11 years ago

Mwananchi

Maige avikosoa vyama vya siasa kuhodhi Muungano

Mjumbe wa Bunge la Katiba Ezekiel Maige amesema vyama vya siasa vimekosea kufanya muungano kuwa sera yao kwa kuwa kitakachoshinda kikifa, kutakuwa na hatari ya kufa na muungano.

 

9 years ago

Mwananchi

Siasa za vyama ziendeshwe kwa mujibu wa sheria

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekaririwa na vyombo vya habari na mitandao ya kijamii akisema kwamba wanasiasa walioshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, hawaruhusiwi kuitisha mikutano ya hadhara kwa ajili ya kuwashukuru wananchi kwa kuwa wanaweza kuvuruga shughuli za maendeleo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jaji Mutungi avitaka vyama kufuata sheria

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis  Mutungi imevitaka vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi ndogo unaoendelea  hivi sasa katika jimbo la Kalenga na ule wa Chalinze kuzingatia kanuni...

 

9 years ago

Habarileo

Vyama vya siasa vyatakiwa kutii sheria za nchi

MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, amevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi mkuu, kuheshimu na kutii sheria za nchi hasa sheria ya usajili wa vyama na gharama za uchaguzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Msajili avinyoshea kidole vyama vya siasa, ataka viheshimu Sheria ya Uchaguzi

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amevitahadharisha vyama vya siasa kuzingatia Sheria ya Gharama za Uchaguzi wakati mchakato wa kutafuta wagombea ukiendelea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani