Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vyama vyaazimia kulinda Muungano

VIONGOZI wa vyama vya siasa, asasi za kiraia na asasi za dini waliokutana kutafuta maridhiano kabla ya kuanza kwa Bunge la Katiba wiki ijayo, wamekubaliana kuhakikisha Muungano uliopo unaimarishwa na kudumishwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Ataka vyama kulinda amani

VIONGOZI wa vyama vya siasa wametakiwa kulinda amani ya nchi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kwa kufanya kampeni za amani.

 

11 years ago

Habarileo

‘Watanzania wafikirie kulinda Muungano’

Stephen WassiraWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira amesema ni vyema Watanzania wakafikiria kudumisha Muungano kwa kutazama kero zilizoonekana miaka 50 iliyopita ikiwemo kero za watendaji, sheria na kuondoa kabisa kero zote ili kuweza kusonga mbele.

 

10 years ago

Habarileo

Magufuli aapa kulinda Muungano kwa nguvu

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli na mgombea mwenza, Samia Suluhu Hassan wakiwapungia mamia ya wananchi waliojitokeza kuwapokea walipokwenda kutambulishwa kwenye ofisi ya CCM Zanzibar jana. (Na Mpigapicha Wetu).MGOMBEA wa Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema ataulinda Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964 kwa lengo la kuleta mshikamano na maendeleo kwa wananchi wa pande mbili za muungano wa Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Sheria itungwe kuruhusu muungano wa vyama

Juzi vyama vya upinzani vimeandika historia mpya tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992, baada ya vyama vinne vya upinzani vinavyounda Ukawa, kumtangaza mgombea mmoja wa urais wa Jamhuri ya Muungano na mgombea mmoja kwa nafasi ya urais wa Zanzibar.

 

11 years ago

Mwananchi

Maige: Tunakosea kuupa Muungano sura ya vyama

Wiki hii, Bunge Maalumu la Katiba limepamba moto kutokana na mipasho na vijembe ambavyo vimeibua gumzo kwa watazamaji na wasikilizaji wa chombo hicho muhimu.

 

11 years ago

Mwananchi

Maige avikosoa vyama vya siasa kuhodhi Muungano

Mjumbe wa Bunge la Katiba Ezekiel Maige amesema vyama vya siasa vimekosea kufanya muungano kuwa sera yao kwa kuwa kitakachoshinda kikifa, kutakuwa na hatari ya kufa na muungano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vyama vyataka tume iondoe utata hati ya Muungano

VYAMA vya siasa  vya UND, UNDP na Demokrasia Makini, wameitaka Tume ya Marekebisho  ya Katiba kutoa ufafanuzi juu ya hati ya muungano waliyoitumia wakati wa kuandaa rasimu ya katiba. Wakizungumza...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano

Leo nijikite katika kuongeza uelewa juu ya tofauti iliyopo kati ya mambo ya muungano na yasiyo ya muungano. Nchi yetu inatokana na muungano wa zilizokuwa nchi mbili huru kwa maana ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ambazo ziliwezesha kuundwa kwa nchi mpya, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani