BASATA, wadau waweka mikakati kuupa hadhi muziki wa Reggae
Wadau wa muziki wa reggae nchini kwa kujengewa mazingira na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) wameweka mikakati ya pamoja ya kuhakikisha wanaurudisha jukwaani muziki huo na kuainisha changamoto mbalimbali zinazoukabili. Katibu wa chama cha waandishi wa Habari za Sanaa na Utamaduni (CAJAtz) Hassan Bumbuli akisisitiza jambo wakati akiongea na wadau wa muziki wa reggae […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yallYWJbJ*b3iqQKFydqzasPqogbvfujTnFdxopnLErfoxy-VPYx8k7WLwS0gjT*YuYcpJAhoL6E7gAxLRnM0fhkwCy4Qou-/basata.jpg)
BASATA KURUDISHA HADHI YA MUZIKI WA REGGAE
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZhVsrLD0Lni*YA2HfmIBGEIjrVhStmi00pEQLF7V6Dg*X5ORt6r3WBKr7iy4kKTyXe2-kh88ZYISevQJYE2jOFyBZ-8p3Ei8/1..jpg?width=650)
BASATA, WADAU WAJIPANGA KUURUDISHA JUKWAANI MUZIKI WA REGGAE
10 years ago
Mwananchi09 Feb
Magavana waweka mikakati ya sarafu moja
10 years ago
VijimamboWANAWAKE WAGOMBEA WAWEKA MIKAKATI YA KUSHINDA UDIWANI NA UBUNGE 2015
Kwa Mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, Idadi ya Watanzania sasa imefikia milioni 44.9 huku wanawake wakiwa ni asilimia 51.3 ilihali wanaume ni asilimia 48.7. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 inabainisha kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni ya kidemokrasia, ya kidunia ambayo...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-d6-y7zI6uHs/U0JbgIdgm9I/AAAAAAAFZIw/L9BP5KI4VJ8/s72-c/unnamed+(75).jpg)
WATANZANIA WASOMAO BEIJING CHINA WACHAGUANA, WAWEKA MIKAKATI YA KUDUMISHA MUUNGANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-d6-y7zI6uHs/U0JbgIdgm9I/AAAAAAAFZIw/L9BP5KI4VJ8/s1600/unnamed+(75).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-F9XK9NsGpPU/U0JbhaNoerI/AAAAAAAFZJA/Jvsr55XoHWU/s1600/unnamed+(76).jpg)
9 years ago
Mtanzania28 Sep
Kongamano la muziki wa reggae kufanyika leo
NA THERESIA GASPER
BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) kwa kushirikiana na Kampuni ya Reggae Production House, iliyo chini ya Msanii Mkongwe wa reggae, Innocent Nganyagwa, limeandaa kongamano maalumu kwa ajili ya kurudisha hadhi ya muziki wa reggae nchini itakayofanyika leo katika makao makuu ya Basata Ilala jijini Dar es Salaam.
Kongamano hilo lina lengo la kurudisha muziki wa reggae jukwaani na kujadili mwelekeo wa muziki huo ili urudishe hadi yake.
Ofisa Habari wa Basata, Alistidesi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nCFr1pBiRm4/XnXckOlp88I/AAAAAAALkog/FOYQnZ0HR6cwnBxEVAYpicUObYJrz6WqwCLcBGAsYHQ/s72-c/5be10df3d5a9d9b84690063962bbfb23.jpg)
MKOA WA KATAVI ,WADAU WAWEKA MKAKATI WA KUJENGA JENGO LA KISASA LA KLINIKI YA TIBA ASILI
MKUU wa Mkoa wa Katavi Juma Homera amesema pamoja na kuendelea na shughuli mbalimbali za maendeleo ndani ya Mkoa huo kwa sasa wanaendelea na mkakati wa kujenga Kliniki ya Tiba asili kwa kushirikiana na wadau mbalimbali.
Kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa Homela ni kwamba wamefikia hatua hiyo baada ya wannanchi wa Mkoa huo na wadau wa tiba asili kutoa ombi hilo na hiyo ni baada ya kuwepo kwa vitendo vya udanganyifu katika utoaji wa tiba asili.
Amesisitiza kwamba ...
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Exclusive: Mtanzania DABO ametajwa kuwania tuzo za reggae za kimataifa na muziki wa dunia 2014 (IRAWMA)
Unaweza kuwa humfahamu kwa vile hana kelele nyingi….TUONYESHE UZALENDO KWA KUMPIGIA KURA SASA
Msanii bora wa muziki wa Reggae Tanzania, DABO (Pichani) amepata nafasi ya kuipeperusha bendera ya Tanzania katika anga za kimataifa, baada ya kuchaguliwa kuwania tuzo kubwa kabisa za reggae za kimataifa na muziki wa dunia 2014 (International Reggae and World Music Awards (IRAWMA).
DABO anawania tuzo hizi katika kipengele cha Mtumbuizaji Mpya Bora, akikabiliwa na ushindani kutoka kwa wasanii MC...