Kongamano la muziki wa reggae kufanyika leo
NA THERESIA GASPER
BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) kwa kushirikiana na Kampuni ya Reggae Production House, iliyo chini ya Msanii Mkongwe wa reggae, Innocent Nganyagwa, limeandaa kongamano maalumu kwa ajili ya kurudisha hadhi ya muziki wa reggae nchini itakayofanyika leo katika makao makuu ya Basata Ilala jijini Dar es Salaam.
Kongamano hilo lina lengo la kurudisha muziki wa reggae jukwaani na kujadili mwelekeo wa muziki huo ili urudishe hadi yake.
Ofisa Habari wa Basata, Alistidesi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yallYWJbJ*b3iqQKFydqzasPqogbvfujTnFdxopnLErfoxy-VPYx8k7WLwS0gjT*YuYcpJAhoL6E7gAxLRnM0fhkwCy4Qou-/basata.jpg)
BASATA KURUDISHA HADHI YA MUZIKI WA REGGAE
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZhVsrLD0Lni*YA2HfmIBGEIjrVhStmi00pEQLF7V6Dg*X5ORt6r3WBKr7iy4kKTyXe2-kh88ZYISevQJYE2jOFyBZ-8p3Ei8/1..jpg?width=650)
BASATA, WADAU WAJIPANGA KUURUDISHA JUKWAANI MUZIKI WA REGGAE
9 years ago
Bongo529 Sep
BASATA, wadau waweka mikakati kuupa hadhi muziki wa Reggae
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Exclusive: Mtanzania DABO ametajwa kuwania tuzo za reggae za kimataifa na muziki wa dunia 2014 (IRAWMA)
Unaweza kuwa humfahamu kwa vile hana kelele nyingi….TUONYESHE UZALENDO KWA KUMPIGIA KURA SASA
Msanii bora wa muziki wa Reggae Tanzania, DABO (Pichani) amepata nafasi ya kuipeperusha bendera ya Tanzania katika anga za kimataifa, baada ya kuchaguliwa kuwania tuzo kubwa kabisa za reggae za kimataifa na muziki wa dunia 2014 (International Reggae and World Music Awards (IRAWMA).
DABO anawania tuzo hizi katika kipengele cha Mtumbuizaji Mpya Bora, akikabiliwa na ushindani kutoka kwa wasanii MC...
11 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DK. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA 28 NIMR NA KONGAMANO LA WANASAYANSI WATAFITI LEO
10 years ago
GPLKONGAMANO LA WAJASIRIAMALI KUFANYIKA DAR, MWANZA
10 years ago
GPLKONGAMANO LA MTANDAO WA WANATAALUMA NCHINI KUFANYIKA OKTOBA 24
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mLdoiSxt0_o/U90k59aqhTI/AAAAAAAF8gw/5i2aYqQDtjY/s72-c/v6.jpg)
KONGAMANO LA MARIDHINO YA MCHAKATO WA KATIBA MPYA KUFANYIKA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-mLdoiSxt0_o/U90k59aqhTI/AAAAAAAF8gw/5i2aYqQDtjY/s1600/v6.jpg)
Baraza la Vyama vya Siasa nchini limeamua mazungumzo ya maridhiano kati ya pande zinazokizana kuhusu kuendelea kwa Bunge Maalum la Katiba kutokana na mvutano wa kutaka serikali mbili au tatu yaendelee kupitia kamati zitakazoundwa.
Aidha baraza hilo,limeamua kufanyike kongamano Agosti 9 na 10 mwaka huu mjini Dodoma kwa ajili ya kuangalia maslahi mapana ya taifa.
Hayo yamesemwa leo na Mwenyekiti wa baraza hilo, Peter Kuga Mziray, wakati akizungumza na...
10 years ago
GPLKONGAMANO LA TAIFA LA WATOTO, VVU NA UKIMWI KUFANYIKA DAR