KONGAMANO LA MTANDAO WA WANATAALUMA NCHINI KUFANYIKA OKTOBA 24
Rais wa mtandao wa wanataaluma nchini, Phares Magesa, akifafanua jambo kwa wanahabari (hawapo pichani). Waandishi wa habari waliokuwa katika hafla hiyo. RAIS wa mtandao wa wanataaluma nchini (TPN) Phares Magesa, amewaomba Watanzania na wadau mbalimbali kushiriki kongamano la wanataaluma wote nchini litakalofanyika Oktoba 24 mwaka huu…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Mgimwa: Jiungeni mtandao wa wanataaluma
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii Mahmoud Mgimwa amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu nchini kujiunga na Mtandao wa Wanataaluma (TNP) ili waweze kupata elimu bora juu ya ujasiliamali. Akizungumza jijini...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--0oWK_IzAS0/Va4krqZvE9I/AAAAAAAHqzg/tsqd7Hom8b0/s72-c/unnamed%2B%252896%2529.jpg)
Kongamano la kuhamasisha ushiriki wa Diaspora katika kukuza biashara ndogo na za kati kufanyika nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/--0oWK_IzAS0/Va4krqZvE9I/AAAAAAAHqzg/tsqd7Hom8b0/s640/unnamed%2B%252896%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y4HNlvwe70g/Va4krNTZSSI/AAAAAAAHqzc/rqPY-Vw4iUY/s640/unnamed%2B%252897%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania kufanyika Oktoba viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar
Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bw. Alvaro Rodriguez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya sherehe za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa pamoja na kutolea ufafanuzi malengo 17 ya maendeleo endelevu (SDGs) yenye lengo la kufuta kabisa umaskini.(Picha zote ne Geofrey Adroph wa Pamoja Blog).
Naibu Katibu Mkuu katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Hassan Simba Yahya akizungumza na waandishi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-52B9lNPF3ac/VhZHXSUQLSI/AAAAAAABmzw/TjW3ic3PzDA/s72-c/IMG_2741.jpg)
NIMRI KUFANYA KONGAMANO LA SAYANSI LA 29 KUANZIA OKTOBA 13-15, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-52B9lNPF3ac/VhZHXSUQLSI/AAAAAAABmzw/TjW3ic3PzDA/s640/IMG_2741.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0dOCZNNiJLU/VhZHXbspl2I/AAAAAAABmzs/hfxPFwMmJFE/s640/IMG_2702.jpg)
TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu inapenda kutoa taarifa kuwa itafanya Kongamano lake la...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Serengeti Film Awards kufanyika Oktoba
SERENGETI Film Awards Limited imeandaa tuzo kwa ajili ya Wasanii wanaofanya kazi katika tasnia ya filamu Tanzania, ambazo zitakuwa zikifanyika kila mwaka. Tuzo hizo ambazo zimepewa jina la ‘Serengeti Film...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/rasta.jpg)
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Tamasha fahari ya Mwafrika kufanyika Oktoba 3
TUNU NASSOR NA LUGOLA CHITAGE (TUDARCO)
TAMASHA la Fahari ya Mwafrika litakaloshirikisha wadau wa sanaa ya mitindo, vichekesho na wapishi wa vyakula vya asili linatarajiwa kufanyika Oktoba 3 mwaka huu.
Mkurugenzi wa kampuni ya Black Sensation ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, Lilian Masuka, alisema tamasha hilo litakalofanyika Escape One linalenga kukuza mila na tamaduni za Kiafrika zinazoelekea kupotea nchini.
“Washindi wa shindano hili hawatachaguliwa kwa kupigiwa kura bali tafiti...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MCoDt97qrXE/VA7byHANvXI/AAAAAAAGiN8/NnXk04Fg8O4/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Mkutano wa Maafisa Mipango kufanyika Oktoba
![](http://2.bp.blogspot.com/-MCoDt97qrXE/VA7byHANvXI/AAAAAAAGiN8/NnXk04Fg8O4/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
GPLSIKU YA MSANII TANZANIA KUFANYIKA OKTOBA 25 DAR