Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA RASTAFARI MOVEMENT KUFANYIKA OKTOBA 18

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SIKU YA MSANII TANZANIA KUFANYIKA OKTOBA 25 DAR

Mmoja wa watayarishaji wa tamasha hilo, Catherine Metili (kushoto), Peter Mwendapole, Abdul Salvador, na Mkurugenzi wa kampuni ya Haak Neel Production, Godfrey Katula wakiwa mbele ya wanahabari (hawapo pichani) jana.
Wanahabari wakiwa…

 

9 years ago

Dewji Blog

Maonyesho ya Mavazi Kuhamasisha Amani Tanzania kufanyika Oktoba 17 Dar

20151006142603450_640_905_1_0

FASHION FOR PEACE: Fashion Show on Saturday 17th October at 8PM at King Solomon Hall (Behind Eaters Point, Namanga) Dar es Salaam, Tanzania.

GET YOUR TICKET: +255767123055 www.mustafahassanali.net

 

 

 

9 years ago

Dewji Blog

Maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania kufanyika Oktoba viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar

Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bw. Alvaro Rodriguez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya sherehe za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa pamoja na kutolea ufafanuzi malengo 17 ya maendeleo endelevu (SDGs) yenye lengo la kufuta kabisa umaskini.(Picha zote ne Geofrey Adroph wa Pamoja Blog).

DSC_0181

Naibu Katibu Mkuu katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Hassan Simba Yahya akizungumza na waandishi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), yaandaa onesho la sites kufanyika ukumbi wa Mlimani City Oktoba Mosi jijini Dar

Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji Bodi ya Utalii Tanzania, Devotha Mdachi (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu Onesho la Sites litakalofanyika Oktoba Mosi hadi 3, 2015 Ukumbi wa Mlimani City. Kushoto ni Ofisa Mauzo Mkuu wa Shirika la Ndege la Ethiopia, Lima Dsilva na  Meneja Huduma wa Shirika la Ndege la Ethiopia, Dawit Mekonnen.

Meneja Huduma za Utalii wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Philip Sebastian (wa pili kulia), akizungumza katika...

 

10 years ago

Vijimambo

BODI YA UTALII TANZANIA (TTB), YAANDAA ONESHO LA SITES KUFANYIKA UKUMBI WA MLIMANI CITY OKTOBA MOSI JIJINI DAR ES SALAAM

Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji Bodi ya Utalii Tanzania, Devotha Mdachi (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu Onesho la Sites litakalofanyika Oktoba Mosi hadi 3, 2015 Ukumbi wa Mlimani City. Kushoto ni Ofisa Mauzo Mkuu wa Shirika la Ndege la Ethiopia, Lima Dsilva na  Meneja Huduma wa Shirika la Ndege la Ethiopia, Dawit Mekonnen.  Meneja Huduma za Utalii wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Philip Sebastian (wa pili kulia), akizungumza katika mkutano...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serengeti Film Awards kufanyika Oktoba

SERENGETI Film Awards Limited imeandaa tuzo kwa ajili ya Wasanii wanaofanya kazi katika tasnia ya filamu Tanzania, ambazo zitakuwa zikifanyika kila mwaka. Tuzo hizo ambazo zimepewa jina la ‘Serengeti Film...

 

9 years ago

Mtanzania

Tamasha fahari ya Mwafrika kufanyika Oktoba 3

FahariTUNU NASSOR NA LUGOLA CHITAGE (TUDARCO)
TAMASHA la Fahari ya Mwafrika litakaloshirikisha wadau wa sanaa ya mitindo, vichekesho na wapishi wa vyakula vya asili linatarajiwa kufanyika Oktoba 3 mwaka huu.

Mkurugenzi wa kampuni ya Black Sensation ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, Lilian Masuka, alisema tamasha hilo litakalofanyika Escape One linalenga kukuza mila na tamaduni za Kiafrika zinazoelekea kupotea nchini.

“Washindi wa shindano hili hawatachaguliwa kwa kupigiwa kura bali tafiti...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa Maafisa Mipango kufanyika Oktoba

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bi Joyce Mkinga (Kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akitoa taarifa ya kufanyika kwa Mkutano wa Maafisa Mipango unaotarajiwa kufanyika Mwezi wa Oktoba mwaka huu. Kulia ni Mchumi Mkuu (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bw. Omary Juma.

 

10 years ago

GPL

KONGAMANO LA MTANDAO WA WANATAALUMA NCHINI KUFANYIKA OKTOBA 24

Rais wa mtandao wa wanataaluma nchini, Phares Magesa, akifafanua jambo kwa wanahabari (hawapo pichani). Waandishi wa habari waliokuwa katika hafla hiyo. RAIS wa mtandao wa wanataaluma  nchini (TPN) Phares Magesa, amewaomba Watanzania na wadau mbalimbali kushiriki kongamano la wanataaluma wote nchini litakalofanyika Oktoba 24 mwaka huu…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani