Mkutano wa Maafisa Mipango kufanyika Oktoba
![](http://2.bp.blogspot.com/-MCoDt97qrXE/VA7byHANvXI/AAAAAAAGiN8/NnXk04Fg8O4/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bi Joyce Mkinga (Kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akitoa taarifa ya kufanyika kwa Mkutano wa Maafisa Mipango unaotarajiwa kufanyika Mwezi wa Oktoba mwaka huu. Kulia ni Mchumi Mkuu (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bw. Omary Juma.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-75mvVqg3r0s/VC5k9DtOIFI/AAAAAAADG3w/OijJeE3ahKk/s72-c/DSC06908.jpg)
MKUTANO WA MAAFISA MIPANGO WAFUNGULIWA RASMI
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano huo, Balozi (Mstaafu) Dkt....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-31a2LoRaCUI/VC45e5RRGWI/AAAAAAACsAg/6fhWqPH5RBs/s72-c/DSC06909.jpg)
BALOZI LUMBANGA AFUNGUA RASMI MKUTANO WA MAAFISA MIPANGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-31a2LoRaCUI/VC45e5RRGWI/AAAAAAACsAg/6fhWqPH5RBs/s1600/DSC06909.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oOlAurlf9_k/VC45fD5TPDI/AAAAAAACsAk/dGYlgCFplhA/s1600/DSC06907.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9OdkHchd0HY/VC45ofRTpkI/AAAAAAACsAw/Mhvmy3in7Yo/s1600/DSC06910.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w6eLjw-DUPY/Xm-I6ukTTjI/AAAAAAAC8lc/l0pMVK0sqfwVOa-kkfJNDhyJT_JUZVg-ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Teknolojia Yawezesha Mkutano wa Maafisa Waandamizi wa SADC Kufanyika Kuepuka COVID-19
Akizungumza...
9 years ago
MichuziMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KUANZA KUFANYIKA KESHO HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM
Mkutano huo ambao utashirikisha nchi mbalimbali tisa unatarajiwa kuhudhuriwa na wageni 50 kutoka katika nchi hizo za Afrika.
Akizungumza na waaandishi wa habari kuhusu Dar es Salaam jana kuhusu mkutano huo, Meneja Mipango wa Ofisi ya Maendeleo...
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Maafisa Mipango washirikishe makundi maalum upangaji bajeti — DED Ikungi
Mkuu wa shule ya msingi Ikungi mchanganyiko wilaya ya Ikungi, Mwl. Olivary Kamilly, akitoa taarifa yake kwenye kilele cha mahafali ya 63 yaliyofanyika kwenye viwanja vya shule hiyo kongwe iliyoanzishwa mwaka 1944.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
MWENYEKITI wa halmashauri ya wilaya Ikungi mkoani SIngida, Celestine Yunde, amewaagiza maafisa mipango kushirikisha viongozi wa taasisi zenye mahitaji maalumu wakati wa kuandaa bajeti.
Mwenyekiti Yunde ametoa wito huo wakati akizungumza kwenye mahafali...
10 years ago
Michuzi15 Oct
MAAFISA MIPANGO WASHIRIKISHE MAKUNDI MAALUM UPANGAJI BAJETI - DED IKUNGI
![DSC01247](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC01247.jpg)
Na Nathaniel Limu, IkungiMWENYEKITI wa halmashauri ya wilaya Ikungi mkoani SIngida, Celestine Yunde, amewaagiza maafisa mipango kushirikisha viongozi wa taasisi zenye mahitaji maalumu wakati wa kuandaa bajeti.
Mwenyekiti Yunde ametoa wito huo wakati akizungumza kwenye mahafali ya 63...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC01247.jpg)
MAAFISA MIPANGO WASHIRIKISHE MAKUNDI MAALUM UPANGAJI BAJETI - DED IKUNGI
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Tamasha fahari ya Mwafrika kufanyika Oktoba 3
TUNU NASSOR NA LUGOLA CHITAGE (TUDARCO)
TAMASHA la Fahari ya Mwafrika litakaloshirikisha wadau wa sanaa ya mitindo, vichekesho na wapishi wa vyakula vya asili linatarajiwa kufanyika Oktoba 3 mwaka huu.
Mkurugenzi wa kampuni ya Black Sensation ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, Lilian Masuka, alisema tamasha hilo litakalofanyika Escape One linalenga kukuza mila na tamaduni za Kiafrika zinazoelekea kupotea nchini.
“Washindi wa shindano hili hawatachaguliwa kwa kupigiwa kura bali tafiti...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/rasta.jpg)