Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkutano wa Maafisa Mipango kufanyika Oktoba

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bi Joyce Mkinga (Kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akitoa taarifa ya kufanyika kwa Mkutano wa Maafisa Mipango unaotarajiwa kufanyika Mwezi wa Oktoba mwaka huu. Kulia ni Mchumi Mkuu (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bw. Omary Juma.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA MAAFISA MIPANGO WAFUNGULIWA RASMI

Mkutano wa kitaalamu ambao unawakutanisha wataalamu mbalimbali kutoka tasnia za mipango, uchumi, takwimu na maendeleo, wenye wajibu wa kusimamia uchumi na mipango umefunguliwa rasmi na kuwakutanisha kwa pamoja wakurugenzi wa sera na mipango, maafisa mipango kutoka kwenye wizara, Serikali za Mitaa, idara na wakala wa Serikali, pamoja na taasisi za kitaaluma na watafiti wanaojishughulisha na masuala ya maendeleo na uchumi.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano huo, Balozi (Mstaafu) Dkt....

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI LUMBANGA AFUNGUA RASMI MKUTANO WA MAAFISA MIPANGO

 Mgeni Rasmi wa mkutano wa mwaka wa wachumi na maafisa mipango, Balozi Dkt. Matern Lumbanga akizungumza na washiriki wa Mkutano huo kabla ya kuufungua rasmi. Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango akisoma hotuba wakati wa mkutano wa mwaka wa wachumi na maafisa mipango unaofanyika jijini Dar es Salaam.  Baadhi ya viongozi wa wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakimsikiliza kwa makini Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Hayupo...

 

5 years ago

Michuzi

Teknolojia Yawezesha Mkutano wa Maafisa Waandamizi wa SADC Kufanyika Kuepuka COVID-19

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Kamati ya Maafisa Waandamizi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Balozi Kanali Wilbert Ibuge amefungua kikao cha Maafisa Waandamizi chenye jukumu la kundaa ajenda za mkutano wa Baraza la Mawaziri utakaofanyika tarehe 18, Machi mwaka huu Jijini Dar es Salaam,Tanzania, ambacho kimefanyika kutokana na maendeleo ya teknolojia ya Habari na Mawasiliano TEHAMA –ICT kwa nchi za SADC.
Akizungumza...

 

9 years ago

Michuzi

MKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KUANZA KUFANYIKA KESHO HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM

Na Dotto MwaibaleMKUTANO wa Nne wa Bara la Afrika wa kujadili mipango endelevu  katika eno la mafunzo kwa vijana na wataalamu  wasiojiweza na ushirikji wao katika soko la ajira, unatarajiwa kuanza kufanyika kesho Hoteli ya Girrafe jijini Dar es Salaam.
Mkutano huo ambao utashirikisha nchi mbalimbali tisa unatarajiwa kuhudhuriwa na wageni 50 kutoka katika nchi hizo za Afrika.
Akizungumza na waaandishi wa habari kuhusu Dar es Salaam jana kuhusu mkutano huo, Meneja Mipango wa Ofisi ya Maendeleo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Maafisa Mipango washirikishe makundi maalum upangaji bajeti — DED Ikungi

DSC01247

Mkuu wa shule ya msingi Ikungi mchanganyiko wilaya ya Ikungi, Mwl. Olivary Kamilly, akitoa taarifa yake kwenye kilele cha mahafali ya 63 yaliyofanyika kwenye viwanja vya shule hiyo kongwe iliyoanzishwa mwaka 1944.

Na Nathaniel Limu, Ikungi

MWENYEKITI  wa halmashauri ya wilaya Ikungi mkoani SIngida, Celestine Yunde, amewaagiza maafisa mipango kushirikisha viongozi wa taasisi zenye mahitaji maalumu wakati wa kuandaa bajeti.

Mwenyekiti Yunde ametoa wito huo wakati akizungumza kwenye mahafali...

 

10 years ago

Michuzi

MAAFISA MIPANGO WASHIRIKISHE MAKUNDI MAALUM UPANGAJI BAJETI - DED IKUNGI

DSC01247Mkuu wa shule ya msingi Ikungi mchanganyiko wilaya ya Ikungi, Mwl. Olivary Kamilly, akitoa taarifa yake kwenye kilele cha mahafali ya 63 yaliyofanyika kwenye viwanja vya shule hiyo kongwe iliyoanzishwa mwaka 1944.
Na Nathaniel Limu, IkungiMWENYEKITI wa halmashauri ya wilaya Ikungi mkoani SIngida, Celestine Yunde, amewaagiza maafisa mipango kushirikisha viongozi wa taasisi zenye mahitaji maalumu wakati wa kuandaa bajeti.
Mwenyekiti Yunde ametoa wito huo wakati akizungumza kwenye mahafali ya 63...

 

10 years ago

GPL

MAAFISA MIPANGO WASHIRIKISHE MAKUNDI MAALUM UPANGAJI BAJETI - DED IKUNGI‏

Mkuu wa shule ya msingi Ikungi mchanganyiko wilaya ya Ikungi, Mwl. Olivary Kamilly, akitoa taarifa yake kwenye kilele cha mahafali ya 63 yaliyofanyika kwenye viwanja vya shule hiyo kongwe iliyoanzishwa mwaka 1944. Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ikungi, Celestine Yunde, akizungumza kwenye mahafali ya 63 ya shule ya msingi Ikungi mchanganyiko yaliyofanyika kwenye viwanja vya… ...

 

9 years ago

Mtanzania

Tamasha fahari ya Mwafrika kufanyika Oktoba 3

FahariTUNU NASSOR NA LUGOLA CHITAGE (TUDARCO)
TAMASHA la Fahari ya Mwafrika litakaloshirikisha wadau wa sanaa ya mitindo, vichekesho na wapishi wa vyakula vya asili linatarajiwa kufanyika Oktoba 3 mwaka huu.

Mkurugenzi wa kampuni ya Black Sensation ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, Lilian Masuka, alisema tamasha hilo litakalofanyika Escape One linalenga kukuza mila na tamaduni za Kiafrika zinazoelekea kupotea nchini.

“Washindi wa shindano hili hawatachaguliwa kwa kupigiwa kura bali tafiti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani