MAAFISA MIPANGO WASHIRIKISHE MAKUNDI MAALUM UPANGAJI BAJETI - DED IKUNGI
Mkuu wa shule ya msingi Ikungi mchanganyiko wilaya ya Ikungi, Mwl. Olivary Kamilly, akitoa taarifa yake kwenye kilele cha mahafali ya 63 yaliyofanyika kwenye viwanja vya shule hiyo kongwe iliyoanzishwa mwaka 1944.
Na Nathaniel Limu, IkungiMWENYEKITI wa halmashauri ya wilaya Ikungi mkoani SIngida, Celestine Yunde, amewaagiza maafisa mipango kushirikisha viongozi wa taasisi zenye mahitaji maalumu wakati wa kuandaa bajeti.
Mwenyekiti Yunde ametoa wito huo wakati akizungumza kwenye mahafali ya 63...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Maafisa Mipango washirikishe makundi maalum upangaji bajeti — DED Ikungi
Mkuu wa shule ya msingi Ikungi mchanganyiko wilaya ya Ikungi, Mwl. Olivary Kamilly, akitoa taarifa yake kwenye kilele cha mahafali ya 63 yaliyofanyika kwenye viwanja vya shule hiyo kongwe iliyoanzishwa mwaka 1944.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
MWENYEKITI wa halmashauri ya wilaya Ikungi mkoani SIngida, Celestine Yunde, amewaagiza maafisa mipango kushirikisha viongozi wa taasisi zenye mahitaji maalumu wakati wa kuandaa bajeti.
Mwenyekiti Yunde ametoa wito huo wakati akizungumza kwenye mahafali...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC01247.jpg)
MAAFISA MIPANGO WASHIRIKISHE MAKUNDI MAALUM UPANGAJI BAJETI - DED IKUNGI
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-rJ0IlpEwnlE/Ve1rG3y9hFI/AAAAAAAAFgc/fkT4HlToiq8/s72-c/DAS.jpg)
MKUTANO WA KUJADILI UPANGAJI WA MIPANGO WA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-rJ0IlpEwnlE/Ve1rG3y9hFI/AAAAAAAAFgc/fkT4HlToiq8/s640/DAS.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vyGbe6M2xgA/Ve1rH3v4HdI/AAAAAAAAFg0/RcV4r04JwMw/s640/KIMULI.jpg)
Mkutano huo wenye madhumuni ya kushirikiana katika matokeo ya utekelezaji wa mradi wa CEGO (citizens engaging in government oversight in health service provision ) kwa kupitia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Sks7sHqEEng/XnTpv6Hlf_I/AAAAAAAAkZY/ckJKRDusfB0br2U83h6PmENGW4hB4pJ-ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200320-WA0020.jpg)
DC IKUNGI ATOA MAAGIZO MAZITO YA UGONJWA WA CORONA KWA MAAFISA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sks7sHqEEng/XnTpv6Hlf_I/AAAAAAAAkZY/ckJKRDusfB0br2U83h6PmENGW4hB4pJ-ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200320-WA0020.jpg)
Na Dotto Mwaibale.
MKUU wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Edward Mpogolo amewaagiza maafisa Afya wa wilaya hiyo kupita kwenye maeneo yenye muingiliano wa kila siku wa watu, minadani na maegesho ya malori yaendayo nje ya nchi na yaingiayo nchini kukagua hatua za tahadhari za maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
Mpogolo alitoa maagizo hayo jana wakati akufungua...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MCoDt97qrXE/VA7byHANvXI/AAAAAAAGiN8/NnXk04Fg8O4/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Mkutano wa Maafisa Mipango kufanyika Oktoba
![](http://2.bp.blogspot.com/-MCoDt97qrXE/VA7byHANvXI/AAAAAAAGiN8/NnXk04Fg8O4/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-75mvVqg3r0s/VC5k9DtOIFI/AAAAAAADG3w/OijJeE3ahKk/s72-c/DSC06908.jpg)
MKUTANO WA MAAFISA MIPANGO WAFUNGULIWA RASMI
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano huo, Balozi (Mstaafu) Dkt....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-31a2LoRaCUI/VC45e5RRGWI/AAAAAAACsAg/6fhWqPH5RBs/s72-c/DSC06909.jpg)
BALOZI LUMBANGA AFUNGUA RASMI MKUTANO WA MAAFISA MIPANGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-31a2LoRaCUI/VC45e5RRGWI/AAAAAAACsAg/6fhWqPH5RBs/s1600/DSC06909.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oOlAurlf9_k/VC45fD5TPDI/AAAAAAACsAk/dGYlgCFplhA/s1600/DSC06907.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9OdkHchd0HY/VC45ofRTpkI/AAAAAAACsAw/Mhvmy3in7Yo/s1600/DSC06910.jpg)
11 years ago
Habarileo10 May
Vyama kuondoa makundi Bunge Maalum
VIONGOZI wa vyama vya siasa nchini wameanza kujadili namna ya kuondoa makundi katika Bunge maalumu la Katiba kwa njia ya mazungumzo, yakielezwa ndivyo yanayosababisha migogoro iliyopo.
11 years ago
Habarileo05 Mar
Bunge Maalum kutoapishwa kwa makundi
WAJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba wataapishwa mmoja mmoja badala ya makundi, ingawa utaratibu huo umepingwa na baadhi ya wajumbe kuwa utaitia hasara serikali zaidi ya Sh milioni 500. Uamuzi huo wa kuapa mmoja mmoja, unapingana na ushauri wa Kamati ya Kanuni iliyo chini ya Mwenyekiti wake, Profesa Costa Mahalu iliyopendekeza wajumbe waape kwa makundi, kufuatana na imani za dini zao, kazi ambayo ingechukua siku moja.