Teknolojia Yawezesha Mkutano wa Maafisa Waandamizi wa SADC Kufanyika Kuepuka COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-w6eLjw-DUPY/Xm-I6ukTTjI/AAAAAAAC8lc/l0pMVK0sqfwVOa-kkfJNDhyJT_JUZVg-ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Kamati ya Maafisa Waandamizi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Balozi Kanali Wilbert Ibuge amefungua kikao cha Maafisa Waandamizi chenye jukumu la kundaa ajenda za mkutano wa Baraza la Mawaziri utakaofanyika tarehe 18, Machi mwaka huu Jijini Dar es Salaam,Tanzania, ambacho kimefanyika kutokana na maendeleo ya teknolojia ya Habari na Mawasiliano TEHAMA –ICT kwa nchi za SADC.
Akizungumza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kQWXJ6mg940/Xm9FPhxa5nI/AAAAAAAA-NQ/zW2wRlQ6_HsX1s89CDUmJF9RJoxuhW4KQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TEKNOLOJIA YAWEZESHA MKUTANO WA MAAFISA WAANDAMIZI WA SADC KUEPUKA CORONA ( COVID-19)
Akifungua mkutano huu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Kamati ya Maafisa Waandamizi wa SADC, Balozi Kanali Wilbert Ibuge amewashukuru...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q8E2rqKaCpU/XotBUGGKerI/AAAAAAALmNg/mG914dTE_wAjTGnyq7xuAIG-ZkdGlUf2QCLcBGAsYHQ/s72-c/1-10-2048x1342.jpg)
Mkutano wa Dharura wa Maafisa Waandamizi wa SADC kuhusu Covid-19, wafanyika Dar kwa njia ya Mtandao (video conference)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q8E2rqKaCpU/XotBUGGKerI/AAAAAAALmNg/mG914dTE_wAjTGnyq7xuAIG-ZkdGlUf2QCLcBGAsYHQ/s640/1-10-2048x1342.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali. Wilbert Ibuge akiendesha Mkutano wa dharura kwa njia ya video ambao unawahusisha Maafisa Waandamizi Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), kuhusu mwenendo ya mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Corona (Covid-19), mkutano ambao umefanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, Tanzania.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-6-scaled.jpg)
5 years ago
MichuziTTCL YAWEZESHA MKUTANO WA SADC KUFANYIKA KWA 'VIDEO CONFERECE'
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-B82OVzKzj0I/Xl69uxiMzuI/AAAAAAALgyQ/mXMQ51av8qA99gAtd8_LNIbfwy0WjbMLwCLcBGAsYHQ/s72-c/N-1.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA: MKUTANO WA MAKATIBU WAKUU, MAAFISA WAANDAMIZI NA WADAU WA UTATU WA SADC SEKTA YA KAZI NA AJIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-B82OVzKzj0I/Xl69uxiMzuI/AAAAAAALgyQ/mXMQ51av8qA99gAtd8_LNIbfwy0WjbMLwCLcBGAsYHQ/s640/N-1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-n6CpOulxUw4/VMY2SXUakhI/AAAAAAADMdQ/UNh_C8yaOfk/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Mkutano wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi Mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-n6CpOulxUw4/VMY2SXUakhI/AAAAAAADMdQ/UNh_C8yaOfk/s640/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zk5yt2j0QvM/VMY2SQUPWaI/AAAAAAADMdU/q453yfBLJ-o/s640/unnamed%2B(35).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MCoDt97qrXE/VA7byHANvXI/AAAAAAAGiN8/NnXk04Fg8O4/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Mkutano wa Maafisa Mipango kufanyika Oktoba
![](http://2.bp.blogspot.com/-MCoDt97qrXE/VA7byHANvXI/AAAAAAAGiN8/NnXk04Fg8O4/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
5 years ago
MichuziMKUTANO WA KWANZA WA KAMATI YA MAWAZIRI WA MAAFA WA SADC KUFANYIKA ZANZIBAR
Na Khadija Khamis Maelezo Zanzibar .
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed amesema Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri wenye dhamana ya masuala ya Kukabiliana na Maafa wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unatarajiwa kufanyika Zanzibar katika Hoteli ya Madinat al Bahr Februari 18,2020.
Hayo ameyasema huko katika Ukumbi wa Shirika la Utangazaji Zanzibar ( ZBC. TV) Mnazimmoja wakati akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali...
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/mm0igd0To_Y/default.jpg)
5 years ago
MichuziVIKAO VYA BARAZA LA MAWAZIRI WA SADC SASA KUFANYIKA KWA NJIA YA VIDEO KUEPUKA KITISHO CHA KUSAMBAA KWA VIRUSI VYA UGONJWA WA CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Blog ya jamii
NCHI za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika( SADC) zimechukua hatua ya vikao vyake kikiwemo cha Baraza la Mawaziri katika nchi hizo kufanya vikao kwa njia ha Video ikiwa ni moja ya mkakati wa kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa Corona ( CODIC -19 ).
Akizungumza leo Machi 10 mwaka 2020 ,Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert Ibuge amesema kuwa hatua hizo zimetokana na ushauri uliotolewa katika...