Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Teknolojia Yawezesha Mkutano wa Maafisa Waandamizi wa SADC Kufanyika Kuepuka COVID-19

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Kamati ya Maafisa Waandamizi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Balozi Kanali Wilbert Ibuge amefungua kikao cha Maafisa Waandamizi chenye jukumu la kundaa ajenda za mkutano wa Baraza la Mawaziri utakaofanyika tarehe 18, Machi mwaka huu Jijini Dar es Salaam,Tanzania, ambacho kimefanyika kutokana na maendeleo ya teknolojia ya Habari na Mawasiliano TEHAMA –ICT kwa nchi za SADC.
Akizungumza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TEKNOLOJIA YAWEZESHA MKUTANO WA MAAFISA WAANDAMIZI WA SADC KUEPUKA CORONA ( COVID-19)

Mkutano wa Maafisa Waandamizi ambao ni mkutano wa awali wa maandalizi ya Baraza la Mawaziri la nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaotarajia kufanyika tarehe 18 Machi 2020 umefunguliwa rasmi katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam. 
 Akifungua mkutano huu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Kamati ya Maafisa Waandamizi wa SADC, Balozi Kanali Wilbert Ibuge amewashukuru...

 

5 years ago

Michuzi

Mkutano wa Dharura wa Maafisa Waandamizi wa SADC kuhusu Covid-19, wafanyika Dar kwa njia ya Mtandao (video conference)


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali. Wilbert Ibuge akiendesha Mkutano wa dharura kwa njia ya video ambao unawahusisha Maafisa Waandamizi Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), kuhusu mwenendo ya mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Corona (Covid-19), mkutano ambao umefanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, Tanzania.Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali kutoka...

 

5 years ago

Michuzi

TTCL YAWEZESHA MKUTANO WA SADC KUFANYIKA KWA 'VIDEO CONFERECE'

Pichani ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa akiwasalimia wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, SADC (hawapo pichani) alipokuwa akifungua mkutano huo leo jijini Dar es Salaam uliofanyika kwa njia ya mtandao (Video Conference) kufuatia mlipuko wa ugonjwa hatari wa Corona unaoendelea kuzikumba nchi nyingi duniani. Huduma ya 'Video Conference' imewezeshwa na Shirika la Masiliano Tanzania, TTCL.  Pichani ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim...

 

5 years ago

Michuzi

MATUKIO KATIKA PICHA: MKUTANO WA MAKATIBU WAKUU, MAAFISA WAANDAMIZI NA WADAU WA UTATU WA SADC SEKTA YA KAZI NA AJIRA



 Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Bw. Andrew Massawe (kulia) akizungumza wakati wa Mkutano wa Makatibu Wakuu, Maafisa Waandamizi na Wadau wa Utatu wa sekta ya Kazi na Ajira wa Nchi Wananchama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuelekea Mkutano wa Mawaziri  wa sekta hiyo utakaofunguliwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Mkutano wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi Mjini Dodoma

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi. Chiku Galawa jana wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa maafisa wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi unaoendelea Mkoani Dodoma.Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe.Mathias Chikawe (katikati) wakiongozana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi. Chiku Galawa kuingia ukumbini kwenye hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa maafisa wakuu waandamizi wa Jeshi la...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa Maafisa Mipango kufanyika Oktoba

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bi Joyce Mkinga (Kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akitoa taarifa ya kufanyika kwa Mkutano wa Maafisa Mipango unaotarajiwa kufanyika Mwezi wa Oktoba mwaka huu. Kulia ni Mchumi Mkuu (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bw. Omary Juma.

 

5 years ago

Michuzi

MKUTANO WA KWANZA WA KAMATI YA MAWAZIRI WA MAAFA WA SADC KUFANYIKA ZANZIBAR


Na Khadija Khamis Maelezo Zanzibar .
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed amesema Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri wenye dhamana ya masuala ya Kukabiliana na Maafa wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unatarajiwa kufanyika Zanzibar katika Hoteli ya Madinat al Bahr  Februari 18,2020.

Hayo ameyasema huko katika Ukumbi wa Shirika la Utangazaji Zanzibar ( ZBC. TV) Mnazimmoja wakati akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali...

 

5 years ago

Michuzi

VIKAO VYA BARAZA LA MAWAZIRI WA SADC SASA KUFANYIKA KWA NJIA YA VIDEO KUEPUKA KITISHO CHA KUSAMBAA KWA VIRUSI VYA UGONJWA WA CORONA



Na Said Mwishehe,Michuzi Blog ya jamii


NCHI za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika( SADC) zimechukua hatua ya vikao vyake kikiwemo cha Baraza la Mawaziri katika nchi hizo kufanya vikao kwa njia ha Video ikiwa ni moja ya mkakati wa kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa Corona ( CODIC -19 ).

Akizungumza leo Machi 10 mwaka 2020 ,Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert Ibuge amesema kuwa hatua hizo zimetokana na ushauri uliotolewa katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani