MATUKIO KATIKA PICHA: MKUTANO WA MAKATIBU WAKUU, MAAFISA WAANDAMIZI NA WADAU WA UTATU WA SADC SEKTA YA KAZI NA AJIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-B82OVzKzj0I/Xl69uxiMzuI/AAAAAAALgyQ/mXMQ51av8qA99gAtd8_LNIbfwy0WjbMLwCLcBGAsYHQ/s72-c/N-1.jpg)
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Bw. Andrew Massawe (kulia) akizungumza wakati wa Mkutano wa Makatibu Wakuu, Maafisa Waandamizi na Wadau wa Utatu wa sekta ya Kazi na Ajira wa Nchi Wananchama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuelekea Mkutano wa Mawaziri wa sekta hiyo utakaofunguliwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IXCzsRB1-c8/XmO1BbqPDMI/AAAAAAALhuk/9HXLOnNL-_YWhaspAjvQkIGpOBRK1hGwgCLcBGAsYHQ/s72-c/N-1-3.jpg)
MAWAZIRI NA WADAU WA UTATU WA SADC SEKTA YA KAZI NA AJIRA WAPONGEZA SERIKALI YA TANZANIA KWA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU YA TAIFA YA UKUZAJI UJUZI KWA VIJANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IXCzsRB1-c8/XmO1BbqPDMI/AAAAAAALhuk/9HXLOnNL-_YWhaspAjvQkIGpOBRK1hGwgCLcBGAsYHQ/s640/N-1-3.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (wa pili kulia) akizungumza na Mawaziri na Wadau wa Utatu wa SADC sekta ya Kazi na Ajira walipotembelea eneo la Kaole, Wilaya ya Bagamoyo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/N-2-1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pX9xDW5S_UI/XlkUUe55cMI/AAAAAAALf1o/dk7WIpAJX3o5KWZlpJwY6F0JUuBm8A41ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B-1.jpg)
MKUTANO WA MAWAZIRI WA SADC WA SEKTA YA AJIRA NA KAZI KUANZA DAR
Tanzania inatakuwa mwenyeji wa Mkutano wa Mawaziri na Wadau wa Utatu wa Sekta ya Ajira na Kazi kutoka Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaotarajiwa kufanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 2 hadi 6 Machi 2020.
Mkutano huu ambao utafunguliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, umebeba kaulimbiu isemayo “Kukuza Soko la Ajira na Mahusiano Mema Sehemu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w6eLjw-DUPY/Xm-I6ukTTjI/AAAAAAAC8lc/l0pMVK0sqfwVOa-kkfJNDhyJT_JUZVg-ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Teknolojia Yawezesha Mkutano wa Maafisa Waandamizi wa SADC Kufanyika Kuepuka COVID-19
Akizungumza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kQWXJ6mg940/Xm9FPhxa5nI/AAAAAAAA-NQ/zW2wRlQ6_HsX1s89CDUmJF9RJoxuhW4KQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TEKNOLOJIA YAWEZESHA MKUTANO WA MAAFISA WAANDAMIZI WA SADC KUEPUKA CORONA ( COVID-19)
Akifungua mkutano huu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Kamati ya Maafisa Waandamizi wa SADC, Balozi Kanali Wilbert Ibuge amewashukuru...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-n6CpOulxUw4/VMY2SXUakhI/AAAAAAADMdQ/UNh_C8yaOfk/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Mkutano wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi Mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-n6CpOulxUw4/VMY2SXUakhI/AAAAAAADMdQ/UNh_C8yaOfk/s640/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zk5yt2j0QvM/VMY2SQUPWaI/AAAAAAADMdU/q453yfBLJ-o/s640/unnamed%2B(35).jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
Balozi Sefue afungua mkutano wa mwaka wa makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu leo mjini Dodoma
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza wakati wa kufungua mkutano wa faragha wa mwaka cha makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu mapema leo mjini Dodoma. Kaulimbiu ya mkutano wa mwaka huu ni “Nafasi na Wajibu wa Watendaji wa Wakuu wa Serikali kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 na Kuingia Madarakani Serikali ya Awamu ya Tano.”
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Chiku Gallawa akizungumza kumkaribisha mkoani Dodoma Katibu Mkuu Kiongozi, Makatibu Wakuu,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3z-sGvrcsy8/Va-A_rKCHYI/AAAAAAAHrA4/a-65g-ZwCHY/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA MAKATIBU WAKUU, MAKATIBU TAWALA WA MIKOA NA NAIBU MAKATIBU WAKUU LEO MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3z-sGvrcsy8/Va-A_rKCHYI/AAAAAAAHrA4/a-65g-ZwCHY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yH5rTfyjFA8/Va-A_XtUkII/AAAAAAAHrA0/Vdfh-sdz7hg/s640/2.jpg)
5 years ago
MichuziMKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA SADC NGAZI YA MAKATIBU WAKUU WAANZA
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Maafisa Waandamizi/ Makatibu Wakuu, Balozi Kanali Wilbert Ibuge Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Wajumbe wengine ni waliohudhuria ni Katibu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,...