TEKNOLOJIA YAWEZESHA MKUTANO WA MAAFISA WAANDAMIZI WA SADC KUEPUKA CORONA ( COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kQWXJ6mg940/Xm9FPhxa5nI/AAAAAAAA-NQ/zW2wRlQ6_HsX1s89CDUmJF9RJoxuhW4KQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Mkutano wa Maafisa Waandamizi ambao ni mkutano wa awali wa maandalizi ya Baraza la Mawaziri la nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaotarajia kufanyika tarehe 18 Machi 2020 umefunguliwa rasmi katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.
Akifungua mkutano huu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Kamati ya Maafisa Waandamizi wa SADC, Balozi Kanali Wilbert Ibuge amewashukuru...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w6eLjw-DUPY/Xm-I6ukTTjI/AAAAAAAC8lc/l0pMVK0sqfwVOa-kkfJNDhyJT_JUZVg-ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Teknolojia Yawezesha Mkutano wa Maafisa Waandamizi wa SADC Kufanyika Kuepuka COVID-19
Akizungumza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q8E2rqKaCpU/XotBUGGKerI/AAAAAAALmNg/mG914dTE_wAjTGnyq7xuAIG-ZkdGlUf2QCLcBGAsYHQ/s72-c/1-10-2048x1342.jpg)
Mkutano wa Dharura wa Maafisa Waandamizi wa SADC kuhusu Covid-19, wafanyika Dar kwa njia ya Mtandao (video conference)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q8E2rqKaCpU/XotBUGGKerI/AAAAAAALmNg/mG914dTE_wAjTGnyq7xuAIG-ZkdGlUf2QCLcBGAsYHQ/s640/1-10-2048x1342.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali. Wilbert Ibuge akiendesha Mkutano wa dharura kwa njia ya video ambao unawahusisha Maafisa Waandamizi Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), kuhusu mwenendo ya mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Corona (Covid-19), mkutano ambao umefanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, Tanzania.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-6-scaled.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-B82OVzKzj0I/Xl69uxiMzuI/AAAAAAALgyQ/mXMQ51av8qA99gAtd8_LNIbfwy0WjbMLwCLcBGAsYHQ/s72-c/N-1.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA: MKUTANO WA MAKATIBU WAKUU, MAAFISA WAANDAMIZI NA WADAU WA UTATU WA SADC SEKTA YA KAZI NA AJIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-B82OVzKzj0I/Xl69uxiMzuI/AAAAAAALgyQ/mXMQ51av8qA99gAtd8_LNIbfwy0WjbMLwCLcBGAsYHQ/s640/N-1.jpg)
5 years ago
MichuziTTCL YAWEZESHA MKUTANO WA SADC KUFANYIKA KWA 'VIDEO CONFERECE'
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-n6CpOulxUw4/VMY2SXUakhI/AAAAAAADMdQ/UNh_C8yaOfk/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Mkutano wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi Mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-n6CpOulxUw4/VMY2SXUakhI/AAAAAAADMdQ/UNh_C8yaOfk/s640/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zk5yt2j0QvM/VMY2SQUPWaI/AAAAAAADMdU/q453yfBLJ-o/s640/unnamed%2B(35).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dAcZYyKP6PU/XrUxMlEBFqI/AAAAAAALpeI/IZ4Az6PNFEwwSrl7rSNyOebX8T_olb4VQCLcBGAsYHQ/s72-c/rr.jpg)
MAJAJI 125 KUTOKA MABARA MANNE DUNIANI WAFANYA MKUTANO KWA NJIA YA MTANDAO KUJADILI UTOAJI HAKI KWA TEHAMA KUEPUKA MAAMBUKIZI YA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dAcZYyKP6PU/XrUxMlEBFqI/AAAAAAALpeI/IZ4Az6PNFEwwSrl7rSNyOebX8T_olb4VQCLcBGAsYHQ/s640/rr.jpg)
Na Magreth Kinabo-Mahakama
Majaji 125 kutoka katika mabara manne duniani wamefanya mkutano kwa njia ya mtandao kujadili jinsi ya kuendelea na shughuli za utoaji haki kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuepuka kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa homa ya mapafu (COVID 19).
Mkutano huo uliandaliwa na Shirika la Miliki Bunifu Duniani (WIPO) ambalo liko chini ya Umoja wa Mataifa (UN), uliofanyika Makao Makuu ya shirika hilo Geneva, kwa njia...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sNFug9irxvg/XozFwEU31LI/AAAAAAALmbc/xTBVSmNuS64LTOCuqlfG5uP0-eWz5GpQgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-13.jpg)
BARAZA LA MAWAZIRI SADC, LARIDHIA USAFIRISHAJI WA BIDHAA MUHIMU, KUDHIBITI MAAMBUKIZI YA CORONA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-sNFug9irxvg/XozFwEU31LI/AAAAAAALmbc/xTBVSmNuS64LTOCuqlfG5uP0-eWz5GpQgCLcBGAsYHQ/s640/1-13.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2.jpeg)
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Maafisa Nigeria wavunja hoteli kudhibiti maambukizi ya Covid-19
5 years ago
MichuziVIKAO VYA BARAZA LA MAWAZIRI WA SADC SASA KUFANYIKA KWA NJIA YA VIDEO KUEPUKA KITISHO CHA KUSAMBAA KWA VIRUSI VYA UGONJWA WA CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Blog ya jamii
NCHI za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika( SADC) zimechukua hatua ya vikao vyake kikiwemo cha Baraza la Mawaziri katika nchi hizo kufanya vikao kwa njia ha Video ikiwa ni moja ya mkakati wa kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa Corona ( CODIC -19 ).
Akizungumza leo Machi 10 mwaka 2020 ,Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert Ibuge amesema kuwa hatua hizo zimetokana na ushauri uliotolewa katika...