TTCL YAWEZESHA MKUTANO WA SADC KUFANYIKA KWA 'VIDEO CONFERECE'
Pichani ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa akiwasalimia wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, SADC (hawapo pichani) alipokuwa akifungua mkutano huo leo jijini Dar es Salaam uliofanyika kwa njia ya mtandao (Video Conference) kufuatia mlipuko wa ugonjwa hatari wa Corona unaoendelea kuzikumba nchi nyingi duniani. Huduma ya 'Video Conference' imewezeshwa na Shirika la Masiliano Tanzania, TTCL.
Pichani ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim...
Michuzi