Serengeti Film Awards kufanyika Oktoba
SERENGETI Film Awards Limited imeandaa tuzo kwa ajili ya Wasanii wanaofanya kazi katika tasnia ya filamu Tanzania, ambazo zitakuwa zikifanyika kila mwaka. Tuzo hizo ambazo zimepewa jina la ‘Serengeti Film...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UJS3Lz52ItU/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bZWJZS-hZPU/VYNOh1Q2GFI/AAAAAAAHhRg/3cfIXeRRhBA/s72-c/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
Zuriel Oduwole Shines at Annual WOMEN IN FILM AWARDS in Beverly Hills
10 years ago
Bongo Movies24 May
Hawa Ndio Washindi wa Tuzo za Taifa za Filamu, Tanzania Film Awards (TAFA)
1. Best Actress In Leading Role: Irene Paul
2. Best Comedian: King Majuto
3 .Best Supporting Actress: Grace Mapunda
4. Best Supporting Actor (Male): Tino Hisani Muya
5. Best Screenplay: Irene Sanga
6. Tribute Award (Film Industry Support) : President Jakaya Kikwete
7. Tribute Personality Award: Steven Kanumba
8. Tribute Media : Zamaradi Mketema For Takeone(Clouds TV/Fm)
9. Life Time Achievement Award: Mzee Jangala
10. Best Feature Film : Network
11. Best Director : John Kalaghe
12. Best...
10 years ago
Bongo Movies26 Nov
PICHA: Uzinduzi Wa Tanzania Film Awards 2014/2015 ulivyokuwa New Africa Hotel - Dar
Mkurugenzi wa Bodi ya FIlamu Nchini Mama Fisoo akiongea wakati wa Uzinduzi wa Tuzo za Filamu nchini
Novemba 24, 2014; Zile tuzo zilizosubiriwa kwa muda mrefu na watanzania sasa zimezinduliwa rasmi jijini Dara es Salaam. Zimezinduliwa rasmi kwa shamra shamra za aina yake mwishoni mwa wiki na Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Habari, vijana, utamaduni na michezo Prof. Elisante Ole...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MCoDt97qrXE/VA7byHANvXI/AAAAAAAGiN8/NnXk04Fg8O4/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Mkutano wa Maafisa Mipango kufanyika Oktoba
![](http://2.bp.blogspot.com/-MCoDt97qrXE/VA7byHANvXI/AAAAAAAGiN8/NnXk04Fg8O4/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Tamasha fahari ya Mwafrika kufanyika Oktoba 3
TUNU NASSOR NA LUGOLA CHITAGE (TUDARCO)
TAMASHA la Fahari ya Mwafrika litakaloshirikisha wadau wa sanaa ya mitindo, vichekesho na wapishi wa vyakula vya asili linatarajiwa kufanyika Oktoba 3 mwaka huu.
Mkurugenzi wa kampuni ya Black Sensation ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, Lilian Masuka, alisema tamasha hilo litakalofanyika Escape One linalenga kukuza mila na tamaduni za Kiafrika zinazoelekea kupotea nchini.
“Washindi wa shindano hili hawatachaguliwa kwa kupigiwa kura bali tafiti...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/rasta.jpg)
10 years ago
GPLSIKU YA MSANII TANZANIA KUFANYIKA OKTOBA 25 DAR
10 years ago
GPLKONGAMANO LA MTANDAO WA WANATAALUMA NCHINI KUFANYIKA OKTOBA 24