Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serengeti Film Awards kufanyika Oktoba

SERENGETI Film Awards Limited imeandaa tuzo kwa ajili ya Wasanii wanaofanya kazi katika tasnia ya filamu Tanzania, ambazo zitakuwa zikifanyika kila mwaka. Tuzo hizo ambazo zimepewa jina la ‘Serengeti Film...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Zuriel Oduwole Shines at Annual WOMEN IN FILM AWARDS in Beverly Hills

The annual Women In Film Awards held on June 16th at the Hyatt Regency Hotel in Beverly Hills. The event honors extraordinary Women actors, directors, film makers and producers whose works excelled from the previous year.  The strict invitation only event sponsored by various movie/entertainment studios and global luxury brands, such as Tiffany and BMW drew many women from the industry, including Nicole Kidman, Phylicia Rashad, Sandra Bullock, Kate Mara, Regina King, and Ava DuVernay, who...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hawa Ndio Washindi wa Tuzo za Taifa za Filamu, Tanzania Film Awards (TAFA)

1. Best Actress In Leading Role: Irene Paul
2. Best Comedian:  King Majuto
3 .Best Supporting Actress: Grace Mapunda
4. Best Supporting Actor (Male):  Tino Hisani Muya
5. Best Screenplay:  Irene Sanga
6. Tribute Award (Film Industry Support) : President Jakaya Kikwete
7. Tribute Personality Award: Steven Kanumba
8. Tribute Media : Zamaradi Mketema For Takeone(Clouds TV/Fm)
9. Life Time Achievement Award:  Mzee Jangala
10. Best Feature Film : Network
11. Best Director : John Kalaghe
12. Best...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Uzinduzi Wa Tanzania Film Awards 2014/2015 ulivyokuwa New Africa Hotel - Dar

 Rais Wa TAFF Simon Mwakifamba akiongea wakati wa uzinduzi wa Tuzo za Filamu Nchini zilizozinduliwa hivi karibuni.

Mkurugenzi wa Bodi ya FIlamu Nchini Mama Fisoo akiongea wakati wa Uzinduzi wa Tuzo za Filamu nchini 

Novemba 24, 2014; Zile tuzo zilizosubiriwa kwa muda mrefu na watanzania sasa zimezinduliwa rasmi jijini Dara es Salaam. Zimezinduliwa rasmi kwa shamra shamra za aina yake mwishoni mwa wiki na Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Habari, vijana, utamaduni na michezo Prof. Elisante Ole...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa Maafisa Mipango kufanyika Oktoba

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bi Joyce Mkinga (Kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akitoa taarifa ya kufanyika kwa Mkutano wa Maafisa Mipango unaotarajiwa kufanyika Mwezi wa Oktoba mwaka huu. Kulia ni Mchumi Mkuu (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bw. Omary Juma.

 

9 years ago

Mtanzania

Tamasha fahari ya Mwafrika kufanyika Oktoba 3

FahariTUNU NASSOR NA LUGOLA CHITAGE (TUDARCO)
TAMASHA la Fahari ya Mwafrika litakaloshirikisha wadau wa sanaa ya mitindo, vichekesho na wapishi wa vyakula vya asili linatarajiwa kufanyika Oktoba 3 mwaka huu.

Mkurugenzi wa kampuni ya Black Sensation ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, Lilian Masuka, alisema tamasha hilo litakalofanyika Escape One linalenga kukuza mila na tamaduni za Kiafrika zinazoelekea kupotea nchini.

“Washindi wa shindano hili hawatachaguliwa kwa kupigiwa kura bali tafiti...

 

10 years ago

GPL

SIKU YA MSANII TANZANIA KUFANYIKA OKTOBA 25 DAR

Mmoja wa watayarishaji wa tamasha hilo, Catherine Metili (kushoto), Peter Mwendapole, Abdul Salvador, na Mkurugenzi wa kampuni ya Haak Neel Production, Godfrey Katula wakiwa mbele ya wanahabari (hawapo pichani) jana.
Wanahabari wakiwa…

 

10 years ago

GPL

KONGAMANO LA MTANDAO WA WANATAALUMA NCHINI KUFANYIKA OKTOBA 24

Rais wa mtandao wa wanataaluma nchini, Phares Magesa, akifafanua jambo kwa wanahabari (hawapo pichani). Waandishi wa habari waliokuwa katika hafla hiyo. RAIS wa mtandao wa wanataaluma  nchini (TPN) Phares Magesa, amewaomba Watanzania na wadau mbalimbali kushiriki kongamano la wanataaluma wote nchini litakalofanyika Oktoba 24 mwaka huu…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani