Kongamano la kuhamasisha ushiriki wa Diaspora katika kukuza biashara ndogo na za kati kufanyika nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/--0oWK_IzAS0/Va4krqZvE9I/AAAAAAAHqzg/tsqd7Hom8b0/s72-c/unnamed%2B%252896%2529.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Diaspora kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bi. Rosemary Jairo akiongea na waandishi wa Habari kuhusu Maandalizi ya Kongamano la Diaspora (Tanzania and SMEs Partnership Conference 2015) litakalofanyika kuanzia tarehe 13-15 Agosti 2015 Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO), Leo Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa Habari wakimsikiliza Kaimu Mkurugenzi Idara ya Diaspora kutoka Wizara ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/MW56Ws7Qp0c/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/1.Mkurugenzi-Msaidizi-wa-Idara-ya-Habari-Maelezo-Zamaradi-Kawawa-akimtambulisha-kulia-Mkurugenzi-wa-Wizara-ya-Mambo-ya-Nje-na-Ushirikiano-wa-Kimataifa-wa-Diaspora-Rosemary-Jairo..jpg)
SERIKALI KUITISHA KONGAMANO LA UWEKEZAJI WA BISHARA NDOGO NA ZA KATI
11 years ago
Michuzi14 Jul
WAZIRI MKUU: KONGAMANO LA DIASPORA KUFANYIKA JIJINI DAR AGOSTI
Ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki wakati alipokutana na Watanzania wanaoishi Uingereza kwenye mkutano uliofanyika ubalozi wa Tanzania jijini London.
Waziri Mkuu alisema kongamano hilo ambalo limepangwa kufanyika Agosti 14-15, mwaka huu, linalenga kuitambulisha...
11 years ago
Michuzi08 Aug
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/MW56Ws7Qp0c/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9sn7BSdig7w/VcsS-J02ypI/AAAAAAAD3FE/SjYa2dVpICI/s72-c/diaspora%2Btentative%2Bprogramme%2B-%2BFinal%2B1-1%2B%25281%2529.jpg)
KONGAMANO LA DIASPORA KUFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM KUANZA ALHAMISI AGOSTI 14, 2015 HOTELI YA SERENA
1. Kujiandaa kikamilifu kwa kupitia "brief concept Note" ya Kongamano hilo ambayo nimeambatanisha;
2. kupitia ratiba ya masuala yatakayojiri katika kongamano hilo ambayo pia nimeambatanisha; na
3. kuhakikisha kuwa mmejiandikisha kushiriki kongamano hilo kupitia...
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Mkutano wa kukuza biashara na ushirikiano kwa sekta za umeme za Afrika kufanyika mjini Washington DC Januari mwakani
-Umeme Afrika: Mkutano Utafanyika Katika Mji wa Washington DC, Tarehe 28-30 Januari 2015,
-Ahadi Kutoka Nchi 12 za Afrika Kukuza Ushiriki wa Sekta ya Kibinafsi Katika Sekta ya Umeme ya Afrika
Kwa miaka 20 iliyopita EnergyNet imepanga mikutano ya wawekezaji na baadhi ya wakuzaji wa umeme wa kuaminika na mashuhuri wanaoendesha biashara barani Afrika. Symbion Power, GE, Siemens, Copperbelt, Goldwind, Azura Power, Aldwych, Karpowership, Globeleq, Schneider Electric, ESBi, Transcorp, Chint,...
9 years ago
VijimamboWaziri Membe afungua Kongamano la Pili la Diaspora nchini
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Diaspora, Serikali kujadili maendeleo katika kongamano