WAZIRI MKUU: KONGAMANO LA DIASPORA KUFANYIKA JIJINI DAR AGOSTI
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali inaandaa kongamano la siku mbili litakalojadili mustakabali wa wana diaspora wa Tanzania kutoka nchi zote duniani ikiwa ni pamoja na kuwakutanisha na makampuni na wafanyabishara mbalimbali.
Ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki wakati alipokutana na Watanzania wanaoishi Uingereza kwenye mkutano uliofanyika ubalozi wa Tanzania jijini London.
Waziri Mkuu alisema kongamano hilo ambalo limepangwa kufanyika Agosti 14-15, mwaka huu, linalenga kuitambulisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9sn7BSdig7w/VcsS-J02ypI/AAAAAAAD3FE/SjYa2dVpICI/s72-c/diaspora%2Btentative%2Bprogramme%2B-%2BFinal%2B1-1%2B%25281%2529.jpg)
KONGAMANO LA DIASPORA KUFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM KUANZA ALHAMISI AGOSTI 14, 2015 HOTELI YA SERENA
1. Kujiandaa kikamilifu kwa kupitia "brief concept Note" ya Kongamano hilo ambayo nimeambatanisha;
2. kupitia ratiba ya masuala yatakayojiri katika kongamano hilo ambayo pia nimeambatanisha; na
3. kuhakikisha kuwa mmejiandikisha kushiriki kongamano hilo kupitia...
9 years ago
VijimamboKONGAMANO LA WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA NA UWEKEZAJI KUFANYIKA AGOSTI 28-30, 2015 JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi08 Aug
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-JLBjwzslCZg/VaW-uVrpRNI/AAAAAAADx4s/DdMX3el9UW8/s72-c/STanzaniaEm15070919340%2B%25281%2529-page-001.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zVremfb0_ms/VU6tZTSLQwI/AAAAAAAHWec/aHl_gSc0NEM/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AFUNGUA KONGAMANO LA LIONS CLUB JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-zVremfb0_ms/VU6tZTSLQwI/AAAAAAAHWec/aHl_gSc0NEM/s640/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gBOVv9T6VTE/VU6taFReySI/AAAAAAAHWew/hKbZ08cq_og/s640/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-upQ8q7tB5U4/VU6tdehUttI/AAAAAAAHWfM/NYguzpbp7Qc/s640/unnamed%2B(7).jpg)
9 years ago
VijimamboMASHINDANO YA KUTUNISHA MISULI KUFANYIKA AGOSTI 29, 2015 JIJINI DAR
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sxqqKPlV8JI/Vc5bhrcN7mI/AAAAAAAHw3M/kGq18gU5-wc/s72-c/IMGS1580.jpg)
JK katika hafla ya kongamano la pili la Diaspora jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-sxqqKPlV8JI/Vc5bhrcN7mI/AAAAAAAHw3M/kGq18gU5-wc/s640/IMGS1580.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xO18iizd7hU/Vc5bhgW42fI/AAAAAAAHw3Q/nVRweAZIfPE/s640/IMGS1584.jpg)
9 years ago
MichuziKongamano la Diaspora na Wajasiriamali likiendelea kwa siku ya pili jijini Dar es Salaam
9 years ago
Dewji Blog15 Aug
Rais Kikwete katika hafla ya kongamano la pili la Diaspora Hoteli ya Serena Jijini Dar Es Salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-sxqqKPlV8JI/Vc5bhrcN7mI/AAAAAAAHw3M/kGq18gU5-wc/s640/IMGS1580.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xO18iizd7hU/Vc5bhgW42fI/AAAAAAAHw3Q/nVRweAZIfPE/s640/IMGS1584.jpg)