MKOA WA KATAVI ,WADAU WAWEKA MKAKATI WA KUJENGA JENGO LA KISASA LA KLINIKI YA TIBA ASILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-nCFr1pBiRm4/XnXckOlp88I/AAAAAAALkog/FOYQnZ0HR6cwnBxEVAYpicUObYJrz6WqwCLcBGAsYHQ/s72-c/5be10df3d5a9d9b84690063962bbfb23.jpg)
Na Mwandishi Wetu,Michuzi Blog ya jamii
MKUU wa Mkoa wa Katavi Juma Homera amesema pamoja na kuendelea na shughuli mbalimbali za maendeleo ndani ya Mkoa huo kwa sasa wanaendelea na mkakati wa kujenga Kliniki ya Tiba asili kwa kushirikiana na wadau mbalimbali.
Kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa Homela ni kwamba wamefikia hatua hiyo baada ya wannanchi wa Mkoa huo na wadau wa tiba asili kutoa ombi hilo na hiyo ni baada ya kuwepo kwa vitendo vya udanganyifu katika utoaji wa tiba asili.
Amesisitiza kwamba ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
Mh. Ummy Mwalimu akutana na wadau wa Tiba Asili
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu katika picha ya pamoja baada ya kufanya mazungumzo na wadau wa Tiba Asili, ofisini kwake makao makuu ya wizara hiyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--bXaTHnfA0g/XvSdHQ2OivI/AAAAAAALvY0/OJQd-jDv8XU3gI5XZ7HW27XgOm4jqPuxACLcBGAsYHQ/s72-c/4AAA-1-768x512.jpg)
MILIONI 780 KUJENGA KLINIKI YA HUDUMA ZA METHADONE MKOA WA TANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/--bXaTHnfA0g/XvSdHQ2OivI/AAAAAAALvY0/OJQd-jDv8XU3gI5XZ7HW27XgOm4jqPuxACLcBGAsYHQ/s640/4AAA-1-768x512.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (wa kati kati) akizindua rasmi kliniki ya huduma za methadone zilizopo katika Hospitali ya Rufaa ya Bombo Tanga. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martin Shigela na kulia ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya James Kaji.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/5AA-1-1024x682.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu pamoja na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya wakipongeza kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cmfzt1go4so/U0RaIIozD9I/AAAAAAACeUs/ZywYt_awK7Y/s72-c/New+Picture+(1).png)
UFUNGUZI WA WARSHA YA KUJENGA UELEWA WA WADAU KUHUSU MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI — TASAF AWAMU YA TATU MKOANI KATAVI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cmfzt1go4so/U0RaIIozD9I/AAAAAAACeUs/ZywYt_awK7Y/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mzdqVN2ywXo/U0RaIihFpoI/AAAAAAACeUw/PP79uIsd4yI/s1600/New+Picture+(2).png)
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Rajabu Rutengwe akihutubia washiriki wa Warsha ya kujenga uelewa wa wadau kuhusu mpango wa kunusuru Kaya maskini – TASAF awamu ya tatu Mkoani Katavi .
![](http://3.bp.blogspot.com/-QdbNOGaS4ik/U0Ralibx5DI/AAAAAAACeVQ/AgUHlrQQ-zw/s1600/New+Picture+(5).png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mlGun7W10OY/XozCcOKnZsI/AAAAAAALmbI/dD9p6eLMtIQFRAJ6BArPMAeqLL5s5lXgACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0304-2048x1369.jpg)
RC Wangabo awataka Waganga wa tiba asili na machifu wa Mkoa kuwa mfano katika mapambano dhidi ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-mlGun7W10OY/XozCcOKnZsI/AAAAAAALmbI/dD9p6eLMtIQFRAJ6BArPMAeqLL5s5lXgACLcBGAsYHQ/s640/DSC_0304-2048x1369.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akitoa maagizo kwa Machifu na Waganga wa Tiba asili wa mkoa wa Rukwa (hawapo pichani) katika kikao kifupi alichokutana nao ili kuwaelimisha juu ya ugonjwa wa Corona
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0341-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0336-scaled.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Makala ya kuongeza uzalishaji mazao ya Nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa na kuondokana na mizinga ya asili katika mkoa wa Singida
Na Jumbe Ismailly, Singida
HALMASHAURI ya wilaya ya Singida ina ukubwa wa kilomita za mraba 3,787 ambazo wananchi wake hujishughulisha na kilimo na ufugaji.
Mazao ya chakula na biashara yanayolimwa na wananchi hao ni pamoja na mtama,uwele,alzeti,vitunguu na dengu na zao la kipaumbele ni asali kwa ajili ya chakula na biashara.
Halmashauri ya wilaya ya Singida ina maeneo mapana ya ufugaji nyuki ikiwemo misitu ya watu binafsi na misitu ya ardhi ya Kijiji ukiwemo msitu wa Hifadhi wa...
10 years ago
GPLBARAZA LA TIBA ASILI, MBADALA LAPIGA MARUFUKU MATANGAZO NA VIPINDI VYA TIBA HIYO
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Wanawake waweka mkakati Bunge la Katiba
WANAWAKE waliobahatika kuteuliwa kuwa wajumbe wa Bunge la Katiba, wametakiwa kuweka tofauti zao kando wakiwa kwenye vikao vya Bunge hilo na kuhakikisha maslahi yao na watoto yanapewa kipaumbele. Wito huo...