Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MILIONI 780 KUJENGA KLINIKI YA HUDUMA ZA METHADONE MKOA WA TANGA


Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (wa kati kati) akizindua rasmi kliniki ya huduma za methadone zilizopo katika Hospitali ya Rufaa ya Bombo Tanga. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martin Shigela na kulia ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya James Kaji.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu pamoja na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya wakipongeza kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SERIKALI KUANZISHA KLINIKI SHIKIZI NNE ZA KUTOLEA HUDUMA ZA METHADONE KWA WAATHIRIKA WA MADAWA YA KULEVYA

Na Englibert Kayombo WAMJW – Dodoma.
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto iko mbioni kuanzisha huduma shikizi za tiba ya methadone kwa waathirika wa madawa ya kulevya ya Heroine.
Hayo yamesemwa na Dkt. Erasmus Mndeme Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Rufaa ya Kitaifa ya Magonjwa ya Akili - Milembe alipokuwa akiwasilisha taarifa ya huduma za tiba kwa waathirika wa madawa ya kulevya kupitia dawa ya methadone na utekelezaji wa majukumu ya Kituo cha kuhudumia...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI KUANZISHA KLINIKI SHIKIZI NNE ZA KUTOLEA HUDUMA ZA METHADONE KWA WAATHIRIKA WA DAWA ZA KULEVYA

Na Englibert Kayombo WAMJW – Dodoma.

Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto iko mbioni kuanzisha huduma shikizi za tiba ya methadone kwa waathirika wa madawa ya kulevya ya Heroine.

Hayo yamesemwa na Dkt. Erasmus Mndeme Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Rufaa ya Kitaifa ya Magonjwa ya Akili - Milembe alipokuwa akiwasilisha taarifa ya huduma za tiba kwa waathirika wa madawa ya kulevya kupitia dawa ya methadone na utekelezaji wa majukumu ya Kituo cha kuhudumia...

 

5 years ago

CCM Blog

ZAIDI YA TSH. MILIONI 700 KUTUMIKA KUJENGA KITUO CHA TIBA YA METHADONE

   Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amezitaka Halmashauri zote nchini kuhakikisha kuwa wanapotenga asilimia 10 ya mapato yao ya ndani kwa ajili ya kuwapatia mikopo vijana,wanawake na watu wenye walemavu wawape fursa hiyo hasa vijana wanaotaka kuondoka kwenye matumizi ya Dawa za kulevya.

Waziri Ummy ameyasema hayo wakati akizindua kituo cha kutoa Tiba ya methadone kwa waratibu wa Dawa za kulevya ambapo Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya wamekijenga katika hospitali ya rufaa ya...

 

5 years ago

Michuzi

MKOA WA KATAVI ,WADAU WAWEKA MKAKATI WA KUJENGA JENGO LA KISASA LA KLINIKI YA TIBA ASILI

Na Mwandishi Wetu,Michuzi Blog ya jamii

MKUU wa Mkoa wa Katavi Juma Homera amesema pamoja na kuendelea na shughuli mbalimbali za maendeleo ndani ya Mkoa huo kwa sasa wanaendelea na mkakati wa kujenga Kliniki ya Tiba asili kwa kushirikiana na wadau mbalimbali.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa Homela ni kwamba wamefikia hatua hiyo baada ya wannanchi wa Mkoa huo na wadau wa tiba asili kutoa ombi hilo na hiyo ni baada ya kuwepo kwa vitendo vya udanganyifu katika utoaji wa tiba asili.

Amesisitiza kwamba ...

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA METHADONE NCHINI

Mkurugenzi wa Huduma za Kinga kutoka Wizara ya Afya Dkt. Leonard Subi akisema jambo kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya (hawapo pichani) wakipotembelea kituo cha kutolea tiba ya madawa ya kulevya  -Itega, Jijini Dodoma.


Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya Mhe. Oscar Mukasa kwenye picha ya pamoja na mraibu wa madawa ya kulevya anayepata tiba katika kituo cha tiba ya madawa ya kulevya cha Itega Jijini Dodoma,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa avunja rekodi ya kujizolea wadhamini 33,780 mkoa wa Kilimanjaro

DSC_7753

Mh. Lowassa, aklipokea sehemu ya fomu zilizojazwa na wana CCM waliomhamini kwenye ofisi kuu za chama hicho mkoani Kilimanjaro Alhamisi J 18, 2015. (Pichan na K-VIS MEDIA).

DSC_7944

Mkazi huyu wa Moshi, akiwa amejishika kichwa baaa ya kutoamini macho yake kutokana na umati mkubwa wa watu waliofurika kwenye viwanja vya CCM mkoani Kilimanjaro wakati Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, alipofika kwenye ofisi hizo kuomba wadhamini baada ya kuchukuaf omu za kuomba CCM imteue...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA TANGA AUSIFU MFUKO WA GEPF KWA UBUNIFU NA HUDUMA BORA KWA WATEJA

Meneja Masoko wa Mfuko wa GEPF,Aloyce Ntukamazina (aliesimama) akitoa hotuba ya ufunguzi na kumkaribisha mgeni rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mh. Magalula Saidi Magalula (katikati) kufungua semina maalum kwa maafisa rasilimali watu wa Mkoa wa Tanga,iliyofanyika kwenye Hoteli ya Tanga Beach Resort,jijini humo.wa kwanza kushoto ni meneja wa GEPF mkoa wa Tanga,Silvanus Aloyce. Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mh. Magalula Saidi Magalula akifungua rasmi semina hiyo maalum kwa maafisa rasilimali watu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani