SERIKALI KUANZISHA KLINIKI SHIKIZI NNE ZA KUTOLEA HUDUMA ZA METHADONE KWA WAATHIRIKA WA DAWA ZA KULEVYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-bV5TLPf6gKI/Xl8kZlbjkHI/AAAAAAALg08/_GbB1xXKS5Ya8Rt86f8R8LvcACKi1GzMwCLcBGAsYHQ/s72-c/a6b16264-ff51-47a9-81a4-548ac0ff74f3.jpg)
Na Englibert Kayombo WAMJW – Dodoma.
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto iko mbioni kuanzisha huduma shikizi za tiba ya methadone kwa waathirika wa madawa ya kulevya ya Heroine.
Hayo yamesemwa na Dkt. Erasmus Mndeme Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Rufaa ya Kitaifa ya Magonjwa ya Akili - Milembe alipokuwa akiwasilisha taarifa ya huduma za tiba kwa waathirika wa madawa ya kulevya kupitia dawa ya methadone na utekelezaji wa majukumu ya Kituo cha kuhudumia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziSERIKALI KUANZISHA KLINIKI SHIKIZI NNE ZA KUTOLEA HUDUMA ZA METHADONE KWA WAATHIRIKA WA MADAWA YA KULEVYA
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto iko mbioni kuanzisha huduma shikizi za tiba ya methadone kwa waathirika wa madawa ya kulevya ya Heroine.
Hayo yamesemwa na Dkt. Erasmus Mndeme Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Rufaa ya Kitaifa ya Magonjwa ya Akili - Milembe alipokuwa akiwasilisha taarifa ya huduma za tiba kwa waathirika wa madawa ya kulevya kupitia dawa ya methadone na utekelezaji wa majukumu ya Kituo cha kuhudumia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--bXaTHnfA0g/XvSdHQ2OivI/AAAAAAALvY0/OJQd-jDv8XU3gI5XZ7HW27XgOm4jqPuxACLcBGAsYHQ/s72-c/4AAA-1-768x512.jpg)
MILIONI 780 KUJENGA KLINIKI YA HUDUMA ZA METHADONE MKOA WA TANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/--bXaTHnfA0g/XvSdHQ2OivI/AAAAAAALvY0/OJQd-jDv8XU3gI5XZ7HW27XgOm4jqPuxACLcBGAsYHQ/s640/4AAA-1-768x512.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (wa kati kati) akizindua rasmi kliniki ya huduma za methadone zilizopo katika Hospitali ya Rufaa ya Bombo Tanga. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martin Shigela na kulia ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya James Kaji.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/5AA-1-1024x682.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu pamoja na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya wakipongeza kwa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Vijana 1,526 waathirika na dawa za kulevya Dar
JUMLA ya vijana 1,526 mkoani Dar es Salaam wanapatiwa huduma ya matibabu yaliyotokana na athari za matumizi ya dawa za kulevya. Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Uchukuzi, Dk....
10 years ago
StarTV07 Jan
Vijana waathirika dawa za kulevya Arusha waomba msaada
Na Ramadhani Mvungi,
Arusha.
Makundi ya vijana wanaoishi katika mazingira hatarishi ambao wameathirika na dawa za kulevya jijini Arusha yameiomba Serikali na wadau wengine wawasaidie kuwapatia matibabu ya afya zao.
Hatua hii itawawezesha kuondokana na maradhi nyemelezi ambayo yanawasababishia vifo baada ya kinga za miili yao kudhoofika.
comprar kamagra baratoKatika zoezi la kuyashawishi makundi ya vijana yaweze kuondoka mitaani na kwenda kuishi kwenye vituo rasmi ili kupatiwa elimu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A3h7TJyGc6g/Xl1llSfRKpI/AAAAAAAAm6M/3y4JZmUFaM4_KJUIz0GXc90xBQ-ELVdcwCLcBGAsYHQ/s72-c/0798f470-e86b-49fc-bc01-9cfff1d5885f.jpg)
SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA METHADONE NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-A3h7TJyGc6g/Xl1llSfRKpI/AAAAAAAAm6M/3y4JZmUFaM4_KJUIz0GXc90xBQ-ELVdcwCLcBGAsYHQ/s320/0798f470-e86b-49fc-bc01-9cfff1d5885f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-V3HOuXNYZ-k/Xl3g-HYgxKI/AAAAAAAAm6w/HLvwSlnjw6AIPSVM3hEqgUOM2ErotygHgCLcBGAsYHQ/s320/6ee185ab-6335-4805-b3ee-8ac5e51bd584.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya Mhe. Oscar Mukasa kwenye picha ya pamoja na mraibu wa madawa ya kulevya anayepata tiba katika kituo cha tiba ya madawa ya kulevya cha Itega Jijini Dodoma,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ar4y1DcmJ9w/VQUefU1C3cI/AAAAAAAHKYk/73EDn6qvn8c/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Serikali yaipongeza Vodacom kwa kuanzisha huduma ya Kilimo Klub
5 years ago
MichuziSERIKALI IMEFANIKIWA KATIKA VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KWA ASILIMIA 90
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa kliniki ya Methadone katika Hospitali ya Bombo jijini Tanga.Kliniki hiyo imejengwa kwa thamani ya Sh milioni 17.Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigela na kushoto kwake ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) James Kaji.
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
9 years ago
Mtanzania13 Aug
Jaguar aiomba Serikali ipambane na dawa za kulevya
NAIROBI, Kenya
MSANII wa muziki nchini Kenya, Charles Kanyi ‘Jaguar’, ameiomba Serikali nchini humo ianzishe mashindano ya shule ili iondoe muda wa wanafunzi kutumia dawa za kulevya.
Jaguar alisema vijana wengi wanaokimbia shule wanakimbilia vijiweni kwa sababu hakuna michezo lakini kama michezo itaanzishwa katika shule itaondoa wanafunzi kukimbilia vijiweni.
“Serikali iangalie jinsi ya kuanzisha michezo shuleni ili kuwafanya vijana wajiingize kwenye michezo hiyo badala ya kurudi mitaani na...