Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZAIDI YA TSH. MILIONI 700 KUTUMIKA KUJENGA KITUO CHA TIBA YA METHADONE

   Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amezitaka Halmashauri zote nchini kuhakikisha kuwa wanapotenga asilimia 10 ya mapato yao ya ndani kwa ajili ya kuwapatia mikopo vijana,wanawake na watu wenye walemavu wawape fursa hiyo hasa vijana wanaotaka kuondoka kwenye matumizi ya Dawa za kulevya.

Waziri Ummy ameyasema hayo wakati akizindua kituo cha kutoa Tiba ya methadone kwa waratibu wa Dawa za kulevya ambapo Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya wamekijenga katika hospitali ya rufaa ya...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mlata atoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 5.7 kwa kituo cha afya cha Sokoine

DSC00141

Baadhi ya vifaa tiba na madawa mbalimbali yaliyotolewa msaada na Martha Mosses Mlata kwa kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida.

DSC00145

Katibu wa jumuiya ya umoja wa wanawake Tanzania (UWT) mkoa wa Singida, Anjela Robert (kulia) akimkabidhi moja nguzo ya kutundikia maji ya drip, kwa ajili ya matumizi katika kituo cha afya cha Sokoine, Kaimu mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Omary Kisuda.Katibu Anjela alikabidhi msaada huo uliotolewa na Martha Mosses Mlata uliomgharimu zaidi ya shilingi 5.7...

 

10 years ago

Michuzi

RUGEMALIRA KUJENGA KITUO KIKUBWA CHA TIBA YA SARATANI YA MATITI BUKOBA

 Mshauri wa Biashara wa Kimataifa wa Kujitegemea wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits LTD , James Rugemarila (kushoto) na Mwenyekiti wa kampuni hiyo, Benedicta Rugemalira wakim (kulia) zawadia Daktari Bingwa wa magonjwa ya saratani ya matiti, Profesa Anthony Pais kutoka India ambaye amemaliza ziara nchini baada ya kufanya mihadhara mbalimbali na madaktari kuhusu ugonjwa huo. Profesa Pais alifanyiwa hafla ya kuagwa jana katika Hoteli ya Courty Yard, Dar es Salaam. (PICHA NA RICHARD...

 

5 years ago

Michuzi

MILIONI 780 KUJENGA KLINIKI YA HUDUMA ZA METHADONE MKOA WA TANGA


Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (wa kati kati) akizindua rasmi kliniki ya huduma za methadone zilizopo katika Hospitali ya Rufaa ya Bombo Tanga. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martin Shigela na kulia ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya James Kaji.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu pamoja na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya wakipongeza kwa...

 

5 years ago

Michuzi

MILIONI 700 KUJENGA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA RUANGWA-MAJALIWA

Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa jukwaa kuu katika uwanja wa michezo wa Kassim Majaliwa Juni 21, 2020. Kulia ni Mkuu wa wilaya hiyo, Hashim Mgandilwa.


Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa , Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipotembea katika mitaa ya Ruangwa Juni 21, 2020. Wa pili kulia ni Mkuu wa wilaya ya Ruangwa, Hassim Mgandilwa.



Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipotembelea eneo la Kituo cha Mabasi...

 

5 years ago

CCM Blog

MAJALIWA: SH. MILIONI 700 KUJENGA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA RUANGWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wakati alipowasili katika kijiji cha Chikwale wilayani Ruangwa kuzungumza na wananchi, Juni 22, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Ruangwa, Lindi
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuboresha elimu kwa watoto wa kike nchini kote ikiwemo wilaya ya Ruangwa ambayo imepewa sh. milioni 700 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa shule maalumu ya sekondari ya wasichana.

Amesema Serikali inataka mtoto wa kike asome kuanzia darasa la...

 

10 years ago

Bongo5

Kilio cha Ray C chazusha mjadala kama kweli Methadone ni tiba inayomfaa!

Rehema Chalamila aka Ray C aliyesifika kwa sauti tamu ya kuimba na kiuno chake bila mfupa, bado anakabiliwa na vikwazo vingi katika vita yake ya kurejea kwenye hali yake ya kawaida baada ya kuwa mwathirika wa madawa ya kulevya. Kwa wengi ukiangalia na mahala alipokuwa amefika kabla ya kuanza kupewa tiba, Ray C alipata ‘second […]

 

9 years ago

Bongo5

‘Hello’ ya Adele yafikisha watazamaji zaidi ya Milioni 700 Youtube

adele-25-cover

Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015, muimbaji kutoka Uingereza, Adele anaendelea kufanya vizuri kutokana na album yake mpya ‘25’.

adele-25-cover

Ikiwa zimebaki siku nne video ya hit single yake ‘Hello’ ifikishe mwezi mmoja toka ilipowekwa kwenye mtandao wa Youtube, tayari imetazamwa zaidi ya mara milioni 700.

Mpaka sasa video ya wimbo huo unaopatikana kwenye album yake mpya ‘25’ ina views 739,530,188.

2015 umekuwa ni mwaka mzuri kwa Adele ambaye alikaa kimya kwa miaka mitatu toka alpoachia album yake...

 

10 years ago

Vijimambo

FILIKUNJOMBE AWATIMIZIA AHADI YA MAJI WANANCHI WA KITEWELE ZAIDI YA TSH MILIONI 26 ZATUMIKA

Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kushoto akikabidhi masaada wa vitaa vya maji safi vyenye thamani ya Tsh milioni 26 kwa wananchi wa kijiji cha Kitewele kata ya Mawengi Ludewa leoWananchi wa kijiji cha Kitewele kata ya Mawengi Ludewa wakiwa wamebeba bomba za maji zilizotolewa na mbunge wao Deo Filikunjombe kwenda kijijini kwao umbali wa zaidi ya Km 6 kutoka eneo la barabara ziliposhushwa bomba hizoWananchi wa kijiji cha Kitelewe wakishiriki kubeba bomba za maji...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE FILIKUNJOMBE ATOA MSAADA WA ZAIDI YA TSH MILIONI 15 UKARABATI WA KANISA LA RC MADUNDA

Mbunge  wa  jimbo la  Ludewa  Deo Filikunjombe  akizungumza na  waumini wa kanisa la RC Madunda mara  baada ya  kusaidia kanisa  hilo kiasi cha Tsh milioni 15  za ukarabati wa kanisa na vinanda  viwili  vya kwaya kanisani  hapoViongozi  wa kanisa hilo wakimshangilia mbunge  huyo kwa  msaada wakeWaumini  wa kanisa   hilo  wakifurahia  misaada  ya mbunge  wao.bofya hapa kuona picha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani