Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maige aitaka serikali kumdai ABG

MBUNGE wa Msalala, Ezekiel Maige (CCM), ameitaka serikali kuzungumza na mwekezaji wa Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu ili ilipe Halmashauri ya Wilaya ya Kahama deni la dola milioni nane za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Maige: Idadi ya Serikali si tatizo la Muungano

Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige, ametofautiana na msimamo wa chama chake cha CCM, kuhusu Muundo wa Muungano.

 

11 years ago

Mwananchi

Maige adai kuwa na Serikali tatu nchi itaingia maajabu ya dunia

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Almas Maige amesema endapo wajumbe wa Bunge hilo watapitisha muundo wa Serikali tatu, nchi itaingia katika kitabu cha maajabu ya dunia cha Guiness Book of Records.

 

11 years ago

Habarileo

Malkia wa Uholanzi aitaka Serikali kusaidia wakulima

Malkia Maxima wa UholanziMALKIA Maxima wa Uholanzi, ameitaka Serikali kuelekeza juhudi zaidi katika kusaidia wakulima na kuwatafutia masoko ya mazao wanayozalisha ili waweze kuinua hali zao za maisha.

 

10 years ago

StarTV

Mama Salma aitaka serikali kuongeza uwekezaji.

Na Lilian Mtono,

Dar es Salaam.

Mke wa Rais, mama Salma Kikwete amesema bado serikali inatakiwa kuangalia uwezekano wa kuongeza uwekezaji kwenye eneo la uzazi salama na afya ya mtoto, ikiwa ni sehemu ya kuboresha maisha ya makundi hayo ambayo huwa katika hatari kubwa ya vifo iwapo hawatapata huduma bora ya afya kwa wakati.

 

Alisema, pamoja na huduma za uzazi, elimu kwa watoto wa kike kuhusiana na uzazi nayo inaweza kuchangia mabadiliko, na kupunguza idadi ya vifo vya uzazi.

 

Mama Salma...

 

11 years ago

CloudsFM

SUGU AITAKA SERIKALI KUWASAIDIA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO

Kinachoendelea bungeni mjini Dodoma, baada ya bajeti kusomwa wiki iliy opita, sasa hivi ni wakati wa wabunge kuchangia mawazo na mitazamo yao kwenye bajeti hii ya mwaka wa fedha 2014/2015,, mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu, hivi karibuni aliishauri serikali kuwasaidia wafanyabiashara wadogo wadogo ili kuweza kunyanyua uchumi wao na taifa kwa ujumla.

 

10 years ago

Habarileo

Makinda aitaka Serikali kutekeleza bajeti 2015/16

Spika wa Bunge, Anna Makinda.SPIKA Anne Makinda ameitaka Serikali kuhakikisha bajeti ya mwaka 2015/16 inatekelezwa ipasavyo. Makinda alitoa kauli hiyo bungeni mjini hapa jana wakati alipokuwa akiahirisha Bunge muda mfupi baada ya Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum, kumaliza kusoma bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16.

 

10 years ago

Mtanzania

Keissy aitaka Serikali kulipa riba kwa wakulima

ally kessyNa Debora Sanja, Dodoma

MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, Ali Keissy (CCM), ameitaka Serikali kuwalipa wakulima fedha zao pamoja na riba kutokana na kuwacheleweshea malipo yao kwa muda mrefu.
Akiuliza swali bungeni jana, Keissy alisema Serikali imekuwa ikilipa riba mbalimbali kutokana na kuchelewa kulipa madeni ya wazabuni na kutaka wakulima walioiuzia Serikali mahindi yao walipwe riba.
“Serikali inasema nini kuhusu kuwalipa wakulima hao fedha zao pamoja na riba kwa kuwa toka mwaka jana hadi sasa...

 

10 years ago

Mtanzania

Mbatia aitaka Serikali itoe tamko anguko la shilingi

mbatiaPatricia Kimelemeta na Shabani Matutu

WAZIRI kivuli wa Fedha, James Mbatia ameitaka Serikali na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kutoa tamko kutokana na kuporomoka kwa thamani ya shilingi hali ambayo inahatarisha uchumi wa taifa.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mbatia alisema kama Serikali itashindwa kufanya hivyo, atawasilisha taarifa kwenye kikao kijacho cha Bunge mjini Dodoma kinachotarajiwa kuanza Mei 12 ili wabunge wajadili suala hili.
Alisema mzunguko wa fedha za...

 

10 years ago

Vijimambo

Mbunge aitaka serikali iongeze kasi kuwasaka wauaji wa albino.

Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymaa Kwegyir (pichani), ameapa kufa akipambana kuwatetea watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) kuiomba serikali kuongeza kasi ya kuwasaka na kuwafikisha mahakamani watu wanaojihusisha na vitendo vya utekaji na mauaji hayo.

Alitoa ahadi hiyo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kazi za Jamii iliyofanyika katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Profesa Hubert Hairuki (HKMU) jijini Dar es Salaam jana.

Alisema ipo haja ya kuweka sheria kali hata ikibidi wauaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani