Mbatia aitaka Serikali itoe tamko anguko la shilingi
Patricia Kimelemeta na Shabani Matutu
WAZIRI kivuli wa Fedha, James Mbatia ameitaka Serikali na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kutoa tamko kutokana na kuporomoka kwa thamani ya shilingi hali ambayo inahatarisha uchumi wa taifa.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mbatia alisema kama Serikali itashindwa kufanya hivyo, atawasilisha taarifa kwenye kikao kijacho cha Bunge mjini Dodoma kinachotarajiwa kuanza Mei 12 ili wabunge wajadili suala hili.
Alisema mzunguko wa fedha za...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Serikali itoe tamko mbegu za vinasaba — Wadau
WADAU wa sekta binafsi za kilimo nchini wameitaka serikali kutoa tamko pamoja na takwimu za awali kutokana na uchunguzi unaofanywa juu ya matumizi ya mbegu zilizochanganywa vinasaba. Wadau hao walibainisha...
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Serikali itoe tamko michango ya darasa la kwanza
9 years ago
StarTV08 Sep
Lowassa aitaka NEC itoe ufafanuzi wa malalamiko
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowassa ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kutoa ufafanuzi juu ya malalamiko yaliyojitokeza, katika uhakiki wa Daftrai la Wapigakura linalodaiwa kutokuwapo kwa baadhi ya majina.
Mgombea huyo amesema, tume hiyo inapaswa kuwa makini katika uendeshaji shughuli zake kwa sababu dunia inawaangalia na kuitaka kurekebisha kasoro hizo mapema.
Akizungumza katika mkutano uliofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Msingi...
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
‘TFDA itoe tamko dawa ya meno inayofaa’
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) na Shirika la Viwango nchini (TBS) wametakiwa kufanya uchunguzi na kutoa tamko kuhusu dawa za meno zinazofaa. Rai hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Serikali itoe ufafanuzi ongezeko hili la kodi
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Serikali itoe ulinzi kwa vipaji na ubunifu vya Watanzani
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Msigwa aibana Serikali itoe majibu ripoti ya ITV London
10 years ago
MichuziWAZIRI KIVULI WA FEDHA, JAMES MBATIA AZUNGUMZIA KUPOROMOKA KWA THAMANI YA SHILINGI TANZANIA
10 years ago
Habarileo17 Dec
CUF yatetea anguko lake serikali za mitaa
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimeelezea sababu za kufanya vibaya katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita.