Serikali itoe tamko michango ya darasa la kwanza
>Kwa muda mrefu sasa wananchi wamekuwa wakilalamikia michango wanayotozwa wazazi/walezi pale wanapokwenda kuwaandikisha watoto wao darasa la kwanza kila ifikapo mwanzoni mwa mwaka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Serikali itoe tamko mbegu za vinasaba — Wadau
WADAU wa sekta binafsi za kilimo nchini wameitaka serikali kutoa tamko pamoja na takwimu za awali kutokana na uchunguzi unaofanywa juu ya matumizi ya mbegu zilizochanganywa vinasaba. Wadau hao walibainisha...
10 years ago
Mtanzania29 Apr
Mbatia aitaka Serikali itoe tamko anguko la shilingi
Patricia Kimelemeta na Shabani Matutu
WAZIRI kivuli wa Fedha, James Mbatia ameitaka Serikali na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kutoa tamko kutokana na kuporomoka kwa thamani ya shilingi hali ambayo inahatarisha uchumi wa taifa.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mbatia alisema kama Serikali itashindwa kufanya hivyo, atawasilisha taarifa kwenye kikao kijacho cha Bunge mjini Dodoma kinachotarajiwa kuanza Mei 12 ili wabunge wajadili suala hili.
Alisema mzunguko wa fedha za...
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
‘TFDA itoe tamko dawa ya meno inayofaa’
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) na Shirika la Viwango nchini (TBS) wametakiwa kufanya uchunguzi na kutoa tamko kuhusu dawa za meno zinazofaa. Rai hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mtvGQMaGEL0/VlqYSW9M6SI/AAAAAAAII4U/eUoUCys3Nd8/s72-c/1.png)
Serikali yafuta rasmi ada kwa elimu ya sekondari kidato cha kwanza hadi cha nne na michango yote katika elimu ya msingi
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Serikali itoe ufafanuzi ongezeko hili la kodi
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Serikali itoe ulinzi kwa vipaji na ubunifu vya Watanzani
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Msigwa aibana Serikali itoe majibu ripoti ya ITV London
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Uandikishaji Darasa la Kwanza utata mtupu
11 years ago
Habarileo02 Jan
Dar ya kwanza kitaifa matokeo darasa la 7
MKOA wa Dar es Salaam umekuwa wa kwanza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba huku wanafunzi wote 10 bora kwa upande wa wavulana na kumi bora kwa upande wa wasichana wakitoka Shule ya Tusiime ya jijini Dar es Salaam.