Dar ya kwanza kitaifa matokeo darasa la 7
MKOA wa Dar es Salaam umekuwa wa kwanza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba huku wanafunzi wote 10 bora kwa upande wa wavulana na kumi bora kwa upande wa wasichana wakitoka Shule ya Tusiime ya jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Matokeo ya mtihani wa Kitaifa wa Darasa la Saba 2015
10 years ago
TZToday12 Nov
10 years ago
GPL
10 years ago
GPL
ANGALIA MATOKEO YA DARASA LA SABA HAPA
11 years ago
Habarileo02 May
Darasa la 7 kufanya tena Matokeo Makubwa Sasa
WANAFUNZI wa Darasa la Saba waliofanya mtihani wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) wakiwa darasa la sita, watafanya mtihani mwingine wa aina hiyo kabla ya kufanya mtihani wa mwisho wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu kwa lengo la kuongeza ufaulu.
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Zimepotea wapi hamasa za matokeo ya darasa la saba?
10 years ago
Mtanzania06 Nov
Kanda ya Ziwa yang’ara matokeo darasa la saba

Jiji la Mwanza
Esther Mbussi na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
SHULE za msingi katika mikoa ya Kanda ya Ziwa zimeongoza matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka 2014 kwa kushika namba moja hadi saba kati ya shule 10 bora kitaifa.
Aidha, watahiniwa wamefaulu zaidi somo la Kiswahili na kufeli zaidi somo la Hisabati.
Katika matokeo hayo yaliyotangazwa jana na Baraza la Mitihani la Taifa (NACTE), wavulana wameongoza somo la Hisabati kwa kupata alama 50/50, ambapo 26 wamefaulu kwa kiwango hicho na...
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Uandikishaji Darasa la Kwanza utata mtupu
9 years ago
Michuzi
RC Makalla afurahishwa na matokeo mazuri ya darasa la saba wilayani Hai

Na Mwandishi Wetu, HaiMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amehudhuria halfa ya kuwapongeza walimu wilayani Hai, mkoani humo, kwa kufanikisha ufaulu mzuri wa darasa la...