Zimepotea wapi hamasa za matokeo ya darasa la saba?
Kuna njia nyingi za mtu kujielimisha. Kwa mfano, wapo wanaopata maarifa baada ya kufanya makosa fulani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
TZToday12 Nov
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-M4AZQ7Xoc-NgsyevB-d3LPwl8pAJIs3CISAYeLEbrG3CcrKhvs1ga76cgjM2gXtAEYzgGhXNc3NUkcKosUtTbcKEnsp24e1/nectalogo.png)
ANGALIA MATOKEO YA DARASA LA SABA HAPA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5vkFo25XrAI/default.jpg)
Matokeo ya mtihani wa Kitaifa wa Darasa la Saba 2015
10 years ago
Mtanzania06 Nov
Kanda ya Ziwa yang’ara matokeo darasa la saba
![Jiji la Mwanza](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/jiji-la-mwanza.jpg)
Jiji la Mwanza
Esther Mbussi na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
SHULE za msingi katika mikoa ya Kanda ya Ziwa zimeongoza matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka 2014 kwa kushika namba moja hadi saba kati ya shule 10 bora kitaifa.
Aidha, watahiniwa wamefaulu zaidi somo la Kiswahili na kufeli zaidi somo la Hisabati.
Katika matokeo hayo yaliyotangazwa jana na Baraza la Mitihani la Taifa (NACTE), wavulana wameongoza somo la Hisabati kwa kupata alama 50/50, ambapo 26 wamefaulu kwa kiwango hicho na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ONgxDe_C1PA/VmBYW9p44kI/AAAAAAAAJRU/oWpk_Fp4ykE/s72-c/Hai%2B1.jpg)
RC Makalla afurahishwa na matokeo mazuri ya darasa la saba wilayani Hai
![](http://2.bp.blogspot.com/-ONgxDe_C1PA/VmBYW9p44kI/AAAAAAAAJRU/oWpk_Fp4ykE/s640/Hai%2B1.jpg)
Na Mwandishi Wetu, HaiMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amehudhuria halfa ya kuwapongeza walimu wilayani Hai, mkoani humo, kwa kufanikisha ufaulu mzuri wa darasa la...
9 years ago
Mwananchi31 Oct
Matokeo darasa la saba hadharani, ufaulu juu kwa asilimia 11
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_1HS6SSHyJ0/VBByDntmu8I/AAAAAAAAXEQ/n8gH9mAZJLM/s72-c/22222.jpg)
WANAFUNZI WANAOMALIZA DARASA LA SABA TUWATUNZE KIMAADILI WAKISUBIRI MATOKEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-_1HS6SSHyJ0/VBByDntmu8I/AAAAAAAAXEQ/n8gH9mAZJLM/s1600/22222.jpg)
Hii ni idadi tu ya wale ambao wamejisajili kufanya mitihani hiyo kwa mawa huu na Baraza la Mitihani kuwatambua katika takwimu zao hapa nchini kwa mwaka huu wa 2014 lakini huenda vijana waliostahili kumaliza elimu hiyo ingekuwa kubwa zaidi ukilinganisha na wale waliojindikisha darasa la kwanza 2007.
Nimesema watoto wetu wanamaliza kwakua tu na mimi katika hao 808,111 bimnti yangu ni mmoja wapo wa...
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Taasisi ya IEP yatoa matokeo ya mtihani wa dini wa darasa la saba mwaka huu
Na Ally Daud-MAELEZO
Jopo la Elimu ya Kiislamu nchini (IEP) limetangaza matokeo ya wanafunzi waliofanya mtihani wa dini hiyo wa kuhitimu darasa la saba Agosti 12 mwaka huu.
Kauli hiyo imetolewa na Afisa Mwandamizi wa jopo hilo Bw. Suleimani Daud alipokuwa akiongea na Waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Bw. Suleimani amesema kuwa wanafunzi ambao walifanya mtihani huo idadi yao ilikuwa 86,613 kati ya wanafunzi 93,101 waliojisajili nchini kutoka shule 3094 ambazo wanafunzi walifanya...