Msigwa aibana Serikali itoe majibu ripoti ya ITV London
Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa, ameitaka Serikali kutoa majibu sahihi baada ya gazeti la Daily Mail on Sunday la Uingereza, kuchapisha habari inayoeleza kuwa Tanzania ni kinara wa ujangili, huku Rais Jakaya Kikwete akifumbia macho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
Sugu aibana serikali waliounguliwa Mwanjelwa
MBUNGE wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (CHADEMA) ameibana serikali na kuitaka ieleze kama ipo tayari kuwapa kipaumbele wafanyabiashara ambao waliunguliwa mali zao wakati wa kuteketea kwa soko la Mwanjelwa lililopo...
10 years ago
Habarileo08 Mar
Kinana aibana serikali vifo migogoro ya ardhi
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ametaka viongozi wote wa serikali waliozembea na kusababisha kuendelea kutokea kwa mauji baina ya wakulima na wafugaji wilayani Kiteto kuwajibika haraka.
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Serikali itoe ufafanuzi ongezeko hili la kodi
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Serikali itoe tamko michango ya darasa la kwanza
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Serikali itoe tamko mbegu za vinasaba — Wadau
WADAU wa sekta binafsi za kilimo nchini wameitaka serikali kutoa tamko pamoja na takwimu za awali kutokana na uchunguzi unaofanywa juu ya matumizi ya mbegu zilizochanganywa vinasaba. Wadau hao walibainisha...
10 years ago
Mtanzania29 Apr
Mbatia aitaka Serikali itoe tamko anguko la shilingi
Patricia Kimelemeta na Shabani Matutu
WAZIRI kivuli wa Fedha, James Mbatia ameitaka Serikali na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kutoa tamko kutokana na kuporomoka kwa thamani ya shilingi hali ambayo inahatarisha uchumi wa taifa.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mbatia alisema kama Serikali itashindwa kufanya hivyo, atawasilisha taarifa kwenye kikao kijacho cha Bunge mjini Dodoma kinachotarajiwa kuanza Mei 12 ili wabunge wajadili suala hili.
Alisema mzunguko wa fedha za...
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Serikali itoe ulinzi kwa vipaji na ubunifu vya Watanzani
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Msigwa aichana Serikali
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa, amesema Serikali ya Rais Jakaya Kikwete haina dira wala mipango ya maendeleo na kuifananisha na timu ya mpira inayocheza kwenye uwanja usio na...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Moto wa Msigwa wazindua serikali
SIKU chache baada ya Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa kuonyesha video ya jinsi Kampuni ya uwindaji ya Green Miles Safaris Ltd, inavyokiuka sheria za uwindaji kwa...