Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msigwa aichana Serikali

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa, amesema Serikali ya Rais Jakaya Kikwete haina dira wala mipango ya maendeleo na kuifananisha na timu ya mpira inayocheza kwenye uwanja usio na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Moto wa Msigwa wazindua serikali

SIKU chache baada ya Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa kuonyesha video ya jinsi Kampuni ya uwindaji ya Green Miles Safaris Ltd, inavyokiuka sheria za uwindaji kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Msigwa ataka serikali ichunguze kampuni kubwa halali za uwindaji

Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa ameitaka Serikali kufanya uchunguzi hata kwa kampuni kubwa za uwindaji zenye leseni halali kwani yapo yanayokiuka sheria.

 

11 years ago

Mwananchi

Msigwa aibana Serikali itoe majibu ripoti ya ITV London

Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa, ameitaka Serikali kutoa majibu sahihi baada ya gazeti la Daily Mail on Sunday la Uingereza, kuchapisha habari inayoeleza kuwa Tanzania ni kinara wa ujangili, huku Rais Jakaya Kikwete akifumbia macho.

 

9 years ago

Habarileo

Msigwa, wengine 62 mbaroni

WATU 62, akiwemo Mbunge wa Iringa Mjini aliyemaliza muda wake, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema), wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuhusika kufanya fujo na kufunga barabara mjini hapa.

 

10 years ago

Mwananchi

Msigwa:Anayemudu uchungaji na Ubunge

Peter Msigwa anavaa kofia mbili katika uongozi wa jamii. Kwanza ni kiongozi wa kiroho yaani mchungaji anayehubiri injili na vilevile ni mwanasiasa anayewawakilisha wananchi wa Iringa Mjini kama mbunge wao.

 

9 years ago

Mwananchi

Msigwa, wafuasi 67 mbaroni Iringa

Mgombea ubunge wa jimbo la Iringa Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mchungaji Peter Msingwa na wafuasi 67 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa sababu ambazo hazijafahamika hadi sasa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msigwa awaasa walimu Iringa

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), amewataka walimu wa Halmashauri ya Iringa, wagome kulipa michango ya lazima kwa ajili ya ujenzi wa maabara. Msigwa alitoa kauli hiyo jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mchungaji Msigwa ajibu mapigo

WAZIRI Kivuli wa Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa, amewataka wamiliki wa Kampuni ya uwindaji ya kitalii ya Green Mile Safari Ltd (GMS), wajibu hoja za msingi dhidi ya tuhuma...

 

11 years ago

Habarileo

Msigwa: Kampuni za uwindaji zichunguzwe

Mchungaji Peter MsigwaWAZIRI Kivuli wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa, ametaka Serikali kufanya uchunguzi wa kina dhidi ya kampuni zote za uwindaji, kubaini matukio ya ukiukwaji wa sheria za wanyamapori, unaosababisha taifa kupata sifa mbaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani