Msigwa: Kampuni za uwindaji zichunguzwe
WAZIRI Kivuli wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa, ametaka Serikali kufanya uchunguzi wa kina dhidi ya kampuni zote za uwindaji, kubaini matukio ya ukiukwaji wa sheria za wanyamapori, unaosababisha taifa kupata sifa mbaya.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Msigwa ataka serikali ichunguze kampuni kubwa halali za uwindaji
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Msigwa aonyesha video ya uwindaji haramu
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Mbunge ataka taasisi za fedha zichunguzwe
MBUNGE wa Viti Maalumu, Cecilia Pareso (CHADEMA), ameitaka serikali kuzichunguza taasisi za kifedha zinazotoa mikopo kwa riba kubwa ikiwa ni pamoja na taasisi ya kifedha ya Bayport. Pareso alitoa pendekezo...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB04 Mar
Tuhuma dhidi yangu zichunguzwe-Zitto Kabwe
Tuhuma dhidi yangu zichunguzwe-Zitto Kabwe
Katika kujitetea mbele ya Baraza la Maadili kuhusu tuhuma dhidi yake za kugawiwa mgawo wa fedha kutoka akaunti ya Escrow, mbunge wa Sengerema Bwana William Ngeleja alisema kuwa ni kawaida wabunge kupewa misaada na wafanyabiashara na taasisi za umma. Katika Maelezo yake alirudia tuhuma za kipuuzi dhidi yangu zilizokwisha tolewa huko nyuma kwamba
1) nilipewa fedha na kampuni ya PAP na
2) nilipewa fedha na shirika la NSSF.
Nashambuliwa, tunashambuliwa!...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PJWsq-yWg5U10eetpUsUCOe9t2j-Mhg7vtYEwCGj2Khr3NAsk6DUcCxzlUYHbF6aiabluYxf6yv9WarCAdvWhz*/zkwasanii2.jpg?width=750)
ZITTO KABWE: TUHUMA DHIDI YANGU ZICHUNGUZWE
10 years ago
Dewji Blog22 Sep
Umoja wa Mataifa wataka chanzo cha siasa kali zinazoletea migogoro zichunguzwe
Mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Amani, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Mh. Seif Rashid akiwasili kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja kuhudhuria maadhimisho hayo na kupokelewa na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Albino Tanzania (TAS), Joseph Masasi (wa pili kulia), Kamishna wa Ustawi wa Jamii, Bw. Dunford Makala (katikati) na Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tanzania , Bw. Ali Rajab (kulia) pamoja na viongozi wengine taasisi ya watu wenye ulemavu wa...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_0007.jpg)
UMOJA WA MATAIFA WATAKA CHANZO CHA SIASA KALI ZINAZOLETEA MIGOGORO ZICHUNGUZWE
9 years ago
Habarileo18 Oct
Vibali vya uwindaji vyasitishwa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amezuia utoaji wa vibali vya uwindaji wanyama pori kwa miaka miwili. Sanjari na hilo amezuia uuzaji na upelekaji wa wanyama hao nje ya nchi.
11 years ago
Habarileo29 Jun
Uwindaji wa kitalii wa tembo kupunguzwa
SERIKALI imeamua kuanzia Julai mwaka huu kupunguza uwindaji wa kitalii wa tembo kwa asilimia 50 ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kupunguza upotevu wa idadi ya Tembo nchini.